Tunduma: Uwanja wenye wingi wa majajusi

Tunduma: Uwanja wenye wingi wa majajusi

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Nchi na Nchi hapa Ulimwengu lazima ziwe na mlango wa kuingilia baina yao.

Mfano pale Tunduma Tanzania ndilo lango kuu la kuingia Zambia ukitokea Tanzania.

Vilevile Rusumo,huko Kagera ndilo lango kuu la Tanzania na Rwanda.

Tunduma,inasemekana ndilo lango linalindwa kwa gharama kubwa kupitia ujasusi!

Katika mji huo mdogo ulio na wingi wa mamia ya watu inasemekana Ulinzi wa eneo lile huwa ni changamoto kubwa kwa vyombo vya Ulinzi na Usalama kwa sababu ya muingiliano usiokoma na usio na masharti makubwa ya kuingia pande zote mbili.

Kwa muktadha ili lango lile liwe salama mbinu za kiintelinjisia na ujasusi hutumika katika masaa yote 24 kwa Usalama wa Nchi yetu.
 
Mmh, sidhani.
Hizi nchi zetu dunia ya tatu zinaenda enda tu, zinajilinda zenyewe.
Naunga mkono hoja!
Nchi zetu hizi zinajiendea tu Sasa pale Tunduma Kwa kipi kikubwa mpaka kuwe na intelijensia kubwa kihivyo?
Labda ya kudeal na vi pombe Uchwara kama rider vinavyoingia nchini kutoka Zambia kimagendo
Nje ya hapo hakuna tishio lolote zaidi ya wadau kupiga posho na per diem kutanua na Malaya tu wa pale!
 
Naunga mkono hoja!
Nchi zetu hizi zinajiendea tu Sasa pale Tunduma Kwa kipi kikubwa mpaka kuwe na intelijensia kubwa kihivyo?
Labda ya kudeal na vi pombe Uchwara kama rider vinavyoingia nchini kutoka Zambia kimagendo
Nje ya hapo hakuna tishio lolote zaidi ya wadau kupiga posho na per diem kutanua na Malaya tu wa pale!
Kabisa,uwa tunaenda nakonde mara kadhaa na vitu kadhaa,naonaga kawaida tu tunavorudi nayo.
 
Km 60 toka Tunduma kuelekea S/wanga kijiji cha Ikana kilichopakana na Zambia unavuka kuingia Zambia bila kikwazo chochote kile kwa mguu au kwa gari uamuzi ni wako, kila unachovuka nacho serikali haigusi hata cent moja.
 
Nchi na Nchi hapa Ulimwengu lazima ziwe na mlango wa kuingilia baina yao.

Mfano pale Tunduma Tanzania ndilo lango kuu la kuingia Zambia ukitokea Tanzania.

Vilevile Rusumo,huko Kagera ndilo lango kuu la Tanzania na Rwanda.

Tunduma,inasemekana ndilo lango linalindwa kwa gharama kubwa kupitia ujasusi!

Katika mji huo mdogo ulio na wingi wa mamia ya watu inasemekana Ulinzi wa eneo lile huwa ni changamoto kubwa kwa vyombo vya Ulinzi na Usalama kwa sababu ya muingiliano usiokoma na usio na masharti makubwa ya kuingia pande zote mbili.

Kwa muktadha ili lango lile liwe salama mbinu za kiintelinjisia na ujasusi hutumika katika masaa yote 24 kwa Usalama wa Nchi yetu.
Hakuna lolote lile Aliyekusimulia naye kasimuliwa
 
Naunga mkono hoja!
Nchi zetu hizi zinajiendea tu Sasa pale Tunduma Kwa kipi kikubwa mpaka kuwe na intelijensia kubwa kihivyo?
Labda ya kudeal na vi pombe Uchwara kama rider vinavyoingia nchini kutoka Zambia kimagendo
Nje ya hapo hakuna tishio lolote zaidi ya wadau kupiga posho na per diem kutanua na Malaya tu wa pale!
Watu siriaz kuingia kwao ni Kenya. Strict hasa. Lkn wakati mtanzania kuvuka hata kwenda magulio ya mpakani unaenda kwa tahadhari, utashangaa wao kwetu wanaingia km mtu yuko sebuleni kwake.

Nenda Rombo Tarakea maguest house ni Wakenya wanajazana humo.

Mtz ukivuka mpaka saa 11 ikikukuta Kenya unaweza tiwa pingu. Hawana utani nyang'au wale.

Bongo ni kudra za mungu tu
 
Nchi na Nchi hapa Ulimwengu lazima ziwe na mlango wa kuingilia baina yao.

Mfano pale Tunduma Tanzania ndilo lango kuu la kuingia Zambia ukitokea Tanzania.

Vilevile Rusumo,huko Kagera ndilo lango kuu la Tanzania na Rwanda.

Tunduma,inasemekana ndilo lango linalindwa kwa gharama kubwa kupitia ujasusi!

Katika mji huo mdogo ulio na wingi wa mamia ya watu inasemekana Ulinzi wa eneo lile huwa ni changamoto kubwa kwa vyombo vya Ulinzi na Usalama kwa sababu ya muingiliano usiokoma na usio na masharti makubwa ya kuingia pande zote mbili.

Kwa muktadha ili lango lile liwe salama mbinu za kiintelinjisia na ujasusi hutumika katika masaa yote 24 kwa Usalama wa Nchi yetu.
Okay
 
Km 60 toka Tunduma kwenda S/wanga kijiji cha Ikana kilichopakana na Zambia unavuka kuingia Zambia bila kikwazo chochote kile kwa mguu au kwa gari uamuzi ni wako, kila unachovuka nacho serikali haigusi hata cent moja.
unazingua wew una waharibia watu
 
unazingua wew una waharibia watu

Ni sawa na kusema serikali haiujua uwanja wa JNIA.

Mipaka yote ipo hivi sehemu yenye ulinzi ni ndogo sana kulinganisha na eneo ambalo lipo wazi. Watu huko mipakani hawajui hata kama wapo nchi mbili tofauti zaidi ya hiyo mistari ya kikoloni.

Nenda kule Manyovu Kigoma mpakani na Burundi uone jinsi hiyo mipaka ilivyo kichekesho.
 
Back
Top Bottom