Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Ndio dawa iliyobaki na huu ni mwanzo tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hyo ni mnyakyusa wa Selya babu yake mzaa mama yake tunamjua vizr sana na baba yake ni wa Ngana tunamjua vizuri iweje leo waseme sio Raia..kivip na kwanini na wanataka nini!!?Mnyakyusa wa Mwakaleli huyo, jamaa Ndio Mwenyekiti wa Chadema Tunduma halafu anakubalika hatari.
Wengi walisingiziwa, na sababu ni siasa, sasa hawaaminiki tena, kwanini wasubiri agombee? Hata bashe, ulimwengu yaliwakuta, wamwachie huru!Hata kama siyo raia wa TZ?
Kati ya kosa kubwa analolifanya Magu, ni kudhani kuwa ataiendesha kibabe Tanzania hasa katika uchaguzi wa mwaka huu!!!Mabomu yanapigwa mda huu kituo cha polisi Tunduma, wananchi wameandamana wanataka Polisi wamwachie mgombea Udiwani wa Chadema kata ya Majengo Boniface Mwakabanje ambaye anashikiliwa kituoni hapo tangu jana usiku kwa tuhuma za kutengenezwa na Polisi kwamba sio raia wa Tanzania
Hii ni tweet ya Hilda Newton mwanachadema
Application ya msaidizi wa Angel Gabriel inajibiwa hivi karibuni.Kamongo mkuu kuna shetani anamwita
Safi sana Chadema!!! Mpaka kieleweke mwaka huuMabomu yanapigwa mda huu kituo cha polisi Tunduma, wananchi wameandamana wanataka Polisi wamwachie mgombea Udiwani wa Chadema kata ya Majengo Boniface Mwakabanje ambaye anashikiliwa kituoni hapo tangu jana usiku kwa tuhuma za kutengenezwa na Polisi kwamba sio raia wa Tanzania
Hii ni tweet ya Hilda Newton mwanachadema
Nilishawahi kusema humu kuwa IGP Sirro ataingia kwenye historia kuwa IGP wa hovyo kupata kutokea ndani ya Tanzania huru.Hivi CCM kwa nini mnataka kulichonganisha jeshi letu la Polisi na wananchi? Kwa nini mnataka kila siku kuwe na tension?
Uonevu sasa baaaasi!!Mnyakyusa wa Mwakaleli huyo, jamaa Ndio Mwenyekiti wa Chadema Tunduma halafu anakubalika hatari.
Kwani hao raia Ni idara ya uhamiiaji? Wanamjua raia na asiye raia? Matatizo Mengine ya kujitakia wawache uhamiiaji wafanye kazi zaoMabomu yanapigwa mda huu kituo cha polisi Tunduma, wananchi wameandamana wanataka Polisi wamwachie mgombea Udiwani wa Chadema kata ya Majengo Boniface Mwakabanje ambaye anashikiliwa kituoni hapo tangu jana usiku kwa tuhuma za kutengenezwa na Polisi kwamba sio raia wa Tanzania
Hii ni tweet ya Hilda Newton mwanachadema
Sio atajiaibisha. He is a very potential remandee wa The Hague. Utakuja niambiaNilishawahi kusema humu kuwa IGP Sirro ataingia kwenye historia kuwa IGP wa hovyo kupata kutokea ndani ya Tanzania huru.
Atajiaibisha yeye, familia yake hata na mtoto wake mmoja kule Mwanza ambaye naye ni polisi.
Inasikitisha sanaMabomu yanapigwa mda huu kituo cha polisi Tunduma, wananchi wameandamana wanataka Polisi wamwachie mgombea Udiwani wa Chadema kata ya Majengo Boniface Mwakabanje ambaye anashikiliwa kituoni hapo tangu jana usiku kwa tuhuma za kutengenezwa na Polisi kwamba sio raia wa Tanzania
Hii ni tweet ya Hilda Newton mwanachadema
Mkuu kama huna hoja ni bora kukaa kimya. Issue ya uraia hujajua inatumika tu?? Ukijua hilo ni bora ukakaa kimya na kuviachia vyombo vicheze nalo na baadaye wewe huyo huyo utashangaa hiyo hoja haipo tena.Hata kama siyo raia wa TZ?
Sasa si waachie uhamiaji wafanye kazi zao ?Mnyakyusa wa Mwakaleli huyo, jamaa Ndio Mwenyekiti wa Chadema Tunduma halafu anakubalika hatari.
Kwani hao raia Ni idara ya uhamiiaji? Wanamjua raia na asiye raia? Matatizo Mengine ya kujitakia wawache uhamiiaji wafanye kazi zao