Estone
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 622
- 630
Wa Tukuyu Busokelo bossMnyakyusa wa Mwakaleli huyo, jamaa Ndio Mwenyekiti wa Chadema Tunduma halafu anakubalika hatari.
Njia pekee ya CCM kushinda Tunduma ni kukamata wagombea wa Chadema kuwaweka ndani hadi zoezi la kurejesha fomu liishe halafu wapite bila kupingwa.
Kinyume na hapo ni ndoto ya mchana.