Akili ulizonazo ni kugawa makalio tu polisi akichunguza urai wa mtu anamlaza ndani magufuli. Wanasema mrundi mbona kawa raisiUraia waweza chunguzwa muda wowote Bila kujali ulishika madaraka lini na muda gani Kiongozi wa vijana CCM mwananyamala alidakwa si raia,mkuu wa wilaya General ulimwengu alidakwa pia na uhamiiaji sembuse huyo mgombea udiwani