Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Haya yote source ni Shetani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kulala mpaka kieleweke makamanda. Watajua hawajui mwaka huuHyo ni mnyakyusa wa Selya babu yake mzaa mama yake tunamjua vizr sana na baba yake ni wa Ngana tunamjua vizuri iweje leo waseme sio Raia..kivip na kwanini na wanataka nini!!?
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Siasa tu mkuu.!Hyo ni mnyakyusa wa Selya babu yake mzaa mama yake tunamjua vizr sana na baba yake ni wa Ngana tunamjua vizuri iweje leo waseme sio Raia..kivip na kwanini na wanataka nini!!?
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Hakuna Cha uhamiaji wala nini shida yenu mnataka kupita bila kupingwa.Sasa si waachie uhamiaji wafanye kazi zao ?
Uraia waweza chunguzwa muda wowote Bila kujali ulishika madaraka lini na muda gani Kiongozi wa vijana CCM mwananyamala alidakwa si raia,mkuu wa wilaya General ulimwengu alidakwa pia na uhamiiaji sembuse huyo mgombea udiwaniHuyo wanaedai sio raia wa Tz aliingia lini nchini?
Kwanini hawakumkamata muda wote huo wamesubiri mpaka mchakato wa uchaguzi uanze?
.c
Au alipitishwa na chama kugombea udiwani mara tu baada ya kuingkuwaia nchini?
Mnawaponza wakubwa wenu, yakiwafika mnawaacha wajijue wenyewe. Kweli nyie ndio wapambe nuksiKwani hao raia Ni idara ya uhamiiaji? Wanamjua raia na asiye raia? Matatizo Mengine ya kujitakia wawache uhamiiaji wafanye kazi zao
Tupo njiani tunakuja kusaidia haki.Nadhani polisi wameanza vitimbi vya kumwandalia mazingira Silinde, wananchi kabeni kila kona muwadhibiti hawa wachumia matumbo CCM na Silinde wao!
Siyo raia wa Tanzania kivipi wewe unaamini ni intelligence gani iliyowaambia hao polisi kwamba siyo raia wa Tanzania kuzidi hao wananchi wanaotaka kumchagua?Hata kama siyo raia wa TZ?
Huyo YEHODAYA, aliwahi kujitangaza humu kuwa anaomba tenda ya kumuua Lissu na haukupita muda Lissu akamiminiwa risasi. Labda anasahau JF kwa utunzaji wa kumbukumbu...ushahidi upoMnawaponza wakubwa wenu, yakiwafika mnawaacha wajijue wenyewe. Kweli nyie ndio wapambe nuksi
Wote wanaodai sio raia ni wale wasiokuwa sambamba na serikali.Uraia waweza chunguzwa muda wowote Bila kujali ulishika madaraka lini na muda gani Kiongozi wa vijana CCM mwananyamala alidakwa si raia,mkuu wa wilaya General ulimwengu alidakwa pia na uhamiiaji sembuse huyo mgombea udiwani
Jamani huko tuendako hatufiki tu?Tuendako sio kuzuri
Hakuna kazi wanafanya hapo zaidi ya siasa uchwara. Yaani 2020 bado tunatumia mbinu za akina Mkapa (R.I.P), alafu wewe unatetea upuuzi wa kama huo.Sasa si waachie uhamiaji wafanye kazi zao ?
Do not instigate violence hii sio Burundi mpumbavu wee.Wachomeni Moto hao police ili wajifunze
Kweli waueni wote ili tupate ushahidi mzuri!!! Lazima mteme ndoano mwaka huu nyie nzi wa kijani dadekiUongozi JF ni waombe jukwa la siasa ikifika ijumaa saa6 usiku lifungeni mpaka jumatatu watu wakishakunywa supu kuondoa hangover. Michango kwenye hii thread mingi ni ya kilevi kilevi. Watu wameshalewa.
Hao wananchi wanaondamana kwenda kituo cha polisi wawe wa mfano kwa wengine maana Lissu keshawalisha ujinga.
Hakuna kurudi nyumaNdio dawa iliyobaki na huu ni mwanzo tu.