Tunduru: Gari ya mchungaji, mfuasi wake pamoja na nguruwe 6 wachomwa moto

Tunduru: Gari ya mchungaji, mfuasi wake pamoja na nguruwe 6 wachomwa moto

Tunduru iko pande zipi?kila nikijitahidi kukumbuka sipati jibu.
 
vipi uaweza kuweka picha ya Nguruwe waliouwawa na picha ya gari lililochomwa????? maana isije tunaongelea hewa tu weka ushahuidi hapa.
 
Hawa watu wabaya sana kushinda hata mafrimason.Influence ya shetan inawadhuru sana.

dada white unakosea sana unapo hukumu watu kwa ujumla wao.
Mafundisho ya uislam ni kunyume kabisa na yanayodaiwa kufanyika tunduru.

Mleta mada angeeleza pande zote za habari, kuna dots zinamis katika habari aloleta.

Uislam ni dini ya amani na ni ustaarabu lakini mtu anaweza kujiita muislam na akafanya mambo kinyume, the same na kwa dini nyingine.
 
kwa tundulu nguruwe hu ni mnya wa polini hafugwa na binadam kama ameuwawa basi aliwafuata maadui zake nguruwe hufugwa mbeya moshi dar.. Pia akionekana nguruwe mtaani pia atauwawa ndio maana wafugaji wa nguruwe huka mbali na mjilani hakyna anae penda halufu ya shwahini .....

hata ID yako tu inatoa mwanga wa who you are.
 
Watunduru, inawezekanaje mambo haya yanatokea na hayapo hata kwenye vyombo vingine vya habari?
nilikusoma hapa juzi, bahati mbaya sijaona update nyingine isipokuwa hii. Inakuaje mtu achome mali yako na wewe umwangalie tu...I mean, katika hali ya kawaida, nikijua wewe ndo umeingia shambani kwangu na kuchoma mifugo yangu, nitalia na wewe mpaka kieleweke.

hebu tuambie, waadhirika wamekwenda polisi? nini maelezo ya polisi? viongozi wa mitaa na vijiji wanasema nini?

Haiwezekani mambo haya kutokea na wanakijiji wakakaa kimya tu...mimi hainiingii akilini.

huu ni ualifu, ukichoma nguruwe wangu nakuchoma wewe .... eye for an eye.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu naomba ungesoma vizuri taarifa hii! Hayo magari nayo ni nguruwe siku hizi? Halafu kwani Moshi ndo wanafuga nguruwe peke yao?
Nina hasira kweli na hao watu,ingekuwa Shehe wa mkoa wetu ana gari ningelitafuta leo hii nikalichomelea mbali,tatizo mashehe wengi wa mikoa ni baiskeli mtindo mmoja,nanyi Tunduru tafuteni msikiti mmoja muupe mambo,uvumilivu una kikomo.
 
kwa tundulu nguruwe hu ni mnya wa polini hafugwa na binadam kama ameuwawa basi aliwafuata maadui zake nguruwe hufugwa mbeya moshi dar.. Pia akionekana nguruwe mtaani pia atauwawa ndio maana wafugaji wa nguruwe huka mbali na mjilani hakyna anae penda halufu ya shwahini .....

Nimetoka patupu hapa!
 
Nina hasira kweli na hao watu,ingekuwa Shehe wa mkoa wetu ana gari ningelitafuta leo hii nikalichomelea mbali,tatizo mashehe wengi wa mikoa ni baiskeli mtindo mmoja,nanyi Tunduru tafuteni msikiti mmoja muupe mambo,uvumilivu una kikomo.

Wangeguswa wao sasa!
 
Nina hasira kweli na hao watu,ingekuwa Shehe wa mkoa wetu ana gari ningelitafuta leo hii nikalichomelea mbali,tatizo mashehe wengi wa mikoa ni baiskeli mtindo mmoja,nanyi Tunduru tafuteni msikiti mmoja muupe mambo,uvumilivu una kikomo.

Do not repel one outrage by another... If somebody slaps you on ya' right cheek, turn your other cheek to him as well...
 
hii mada imekaa kishabiki shabiki tu haina ukweli wowote mtoa mada hatoi taarifa iliyokamilika watu wanashabikia tu.
 
hii mada imekaa kishabiki shabiki tu haina ukweli wowote mtoa mada hatoi taarifa iliyokamilika watu wanashabikia tu.

bora umeona mkuu, jf nayo imekuwa kijiwe cha porojo.
Watu hata hawahoji wapate taarifa za kutosha wanakimbilia kulaumu na kumwaga povu.
 
jamani tutumie busara kdg, hakuna anaependa udini awe muislam au mkristo.
Mleta mada toa ufafanuzi tafadhali, hayo matukio yameanza lini, chanzo ni nini?
Ungetufafanulia manake binafsi hizo taarifa sijazisikia hata kwenye chombo kimoja cha habari.
Siamini kama kuna mtu yoyote mwenye akili timamu anaeweza akafanya hayo uloeleza bila sababu.0ungetoa taarifa kamili bila upendeleo tuweze kujadili vzr manake taarifa yako ya awali inaonekana kuelemea upande mmoja.

Pili hakuna sehemu yoyote katika mafundisho ya uislam panapofundisha kudhulumu, kuharibu mali ya mtu au kuu asie na hatia.
Anaefanya hivyo kakiuka misingi ya uislam na anapaswa ahukumiwe kama mhalifu mwingine na si kuhukumu dini yake kwani uislam haufundishi hivyo.

Mimi ni muislam ninaejitambua,na pia nafahamu ktk nchi kama tz hakuna kitu kitatugharimu kama machafuko ya kidini,kwanza utambue tunduru hakuna waandishi wa habari lakini piga simu kwa OCD NO.0754612559 AU MKUU WA WILAYA ATAKUTHIBITISHIA KWAMBA NI WIKI 3 SASA TANGU MATUKIO HAYA YAANZE LAKINI KWA KUWA HATUNA WAANDISHI INAKUWA SHIDA KWA KINACHOTUKIA KURIPOTIWA MPAKA LABDA KIFIKIE HATUA YA KUTISHA ZAIDI.
 
Tunaposema udini na ukabila vilerindima awamu ya nne hatukosei. Haya mambo hayakuwa yanavumilika kipindi kilichopita lakini kwa sasa hivi inaonekana wazi hadi katika kazi na vyeo serikalini kwa sasa hasa managerial/management/Senior posts. Ila nina amini yana mwisho haya.
 
Mimi ni muislam ninaejitambua,na pia nafahamu ktk nchi kama tz hakuna kitu kitatugharimu kama machafuko ya kidini,kwanza utambue tunduru hakuna waandishi wa habari lakini piga simu kwa OCD NO.0754612559 AU MKUU WA WILAYA ATAKUTHIBITISHIA KWAMBA NI WIKI 3 SASA TANGU MATUKIO HAYA YAANZE LAKINI KWA KUWA HATUNA WAANDISHI INAKUWA SHIDA KWA KINACHOTUKIA KURIPOTIWA MPAKA LABDA KIFIKIE HATUA YA KUTISHA ZAIDI.

wewe tumekuchagua piga simu then utuletee taarifa iliyokamilika hapa jukwaani, sasa kama una habari nusu nusu kwa nini huzikamilishi kwanza, tuelezee chanzo cha machafuko mkuu.
 
kwahiyo kuchomewa gari na mifugo si hatua ya kutisha?
 
Mimi ni muislam ninaejitambua,na pia nafahamu ktk nchi kama tz hakuna kitu kitatugharimu kama machafuko ya kidini,kwanza utambue tunduru hakuna waandishi wa habari lakini piga simu kwa OCD NO.0754612559 AU MKUU WA WILAYA ATAKUTHIBITISHIA KWAMBA NI WIKI 3 SASA TANGU MATUKIO HAYA YAANZE LAKINI KWA KUWA HATUNA WAANDISHI INAKUWA SHIDA KWA KINACHOTUKIA KURIPOTIWA MPAKA LABDA KIFIKIE HATUA YA KUTISHA ZAIDI.

mkuu kidogo umeanza kufunguka,
mmesha fanya jitihada ya kuripoti ngazi za juu zaidi?
Waandishi wa habari nadhani wanakaa mkoani, vp mmejaribu kuwaita waje kuripoti?

Hebu tueleze kwa kirefu chanzo cha hayo matukio, napata ugumu kuamini yalianza bila ya sababu.

Mwisho huna haja ya kunitajia dini yako, we weka mambo wazi utaeleweka.
 
Watunduru, inawezekanaje mambo haya yanatokea na hayapo hata kwenye vyombo vingine vya habari?
nilikusoma hapa juzi, bahati mbaya sijaona update nyingine isipokuwa hii. Inakuaje mtu achome mali yako na wewe umwangalie tu...I mean, katika hali ya kawaida, nikijua wewe ndo umeingia shambani kwangu na kuchoma mifugo yangu, nitalia na wewe mpaka kieleweke.

hebu tuambie, waadhirika wamekwenda polisi? nini maelezo ya polisi? viongozi wa mitaa na vijiji wanasema nini?

Haiwezekani mambo haya kutokea na wanakijiji wakakaa kimya tu...mimi hainiingii akilini.

huu ni ualifu, ukichoma nguruwe wangu nakuchoma wewe .... eye for an eye.

Naona wengi hawasadiki hii taarifa kwa kuwa hawajaipata ktk nipashe au itv,musibeze kila kitu,mimi kama mwana jf nimeona vizuri nilete taarifa hii hapa jamvini kwa kuamini jf pia ni chombo cha kupashana habari,lakini kwa asieamini kwa nia njema tu ajaribu kupata taarifa kwa OCD 0754612559.halafu naomba sana masuala yanayohusu amani ya nchi yetu tusiweke utani,na waandishi kama mpo anzeni sasa kufuatilia kisha mripoti vizuri.
 
Last edited by a moderator:
Daima kuna kuvumiliana na kusameheana,vyote vikipotea ndo vita itaanza tunaiomba serikali yetu japo imetulia iamke japo kidogo
 
mkuu kidogo umeanza kufunguka,
mmesha fanya jitihada ya kuripoti ngazi za juu zaidi?
Waandishi wa habari nadhani wanakaa mkoani, vp mmejaribu kuwaita waje kuripoti?

Hebu tueleze kwa kirefu chanzo cha hayo matukio, napata ugumu kuamini yalianza bila ya sababu.

Mwisho huna haja ya kunitajia dini yako, we weka mambo wazi utaeleweka.

Chanzo cha matukio haya hakipo wazi isipokuwa kuna watu wanahamasisha chuki za kidini,lakini kwa tanzania ya leo hili si jambo la ajabu kwa kuwa inasemekana hawa ni wale wale wana uamsho,wazee wa mwembe chai na mabucha ya nguruwe dar enzi za mzee ruksa.ule mche bado unastawi.kuna askari mmoja amenieleza kwamba hawa watu wametoka nje ya tunduru kwa ufadhili maalum na wanashirikiana na baadhi ya wenyeji ktk kazi hiyo ya uhalifu,na polisi bado hawana taarifa za kutosha hasa juu ya namna ya kuwatia mbaroni.mpaka sasa inakadiriwa nguruwe wenye thamani isiyozidi milioni 20 wameteketezwa,kabla ya magari mawili yaliyochomwa usiku wa jana kuamkia leo.
 
Back
Top Bottom