sasa mkuu we umeleta habari hata chanzo haujakijua bado na unaanza kutuhumu mara uamsho, mwembechai, sijui wanafadhiliwa, unalengo gani kama sio kuongeza chuki za kidini?
Halafu unatoa shutma nzito hivi na watu wanashabikia bila hata kuhoji kisa nini?
Umejitambulisha kuwa wewe ni muislam lakini uislam haufundishi hivyo,
UISLAM HAUMRUHUSU YOYOTE YULE KUSEMA JAMBO ASILO NA ELIMU NALO.
ukilewa dini hata uambiwe chochote kuhusu dini yako ambalo ni baya huwezi amini ha a zenji uchomwaji wa makanisa mlisema siyo wa dini yenu.
Wewe nawe ni uamsho nini?kipi ambacho hujaelewa nikuandikie ubaoni?
Kitu kizuri na Cha Faraja Ni vile WAkristo Ni Wanyenyekevu na wanafundisha kwa UwaZi zaiDi 'Upendo' na wAna Ushirika Mkubwa na Jamii..
So then,
Kuna kitu Kinamiss kwa WAislam na Msingi mzima wa KufundiShana dhima Kuu 'Upendo ..
Si zama za JIhad , ama Mtu. Kupoteza Mali hAta Jicho Lake ama Kulinda Territory yake...Ni KufundishAna Kweli Ya Mungu na Matakwa yake
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
bora umeona mkuu, jf nayo imekuwa kijiwe cha porojo.
Watu hata hawahoji wapate taarifa za kutosha wanakimbilia kulaumu na kumwaga povu.
mleta uzi hajatoa taarifa za kutosha kwasababu mwenyewe hajui kinacho endelea, angali ktk post zake utaona kaeleza mwenyewe.
Nimemshauri akatafute taarifa kamili kwanza kabla ya kuongea ananiita mi uamsho, sasa nashangaa alikuwa anatarajia kila atakacholeta jf watu wakiamini tu bila kuhoji?
Nashindwa kuelewa mantiki gani unatumia,nimeshiriki kuzima moto waliochomwa nguruwe jana usiku,nimeona magari yaliyochomwa,we unaniambia nikatafute chanzo,kama hakuna chanzo unamaanisha hayo matukio hayapo?chanzo wanakijua wanaotenda hayo.nimekwambia ni wiki ya tatu sasa tangu matukio haya yaanze lakini hata polisi wenyewe hawajamtia mbaroni yeyote isipokuwa hisia za wengi zinawanyoshea kidole ansar sunna na hii ni kutokana na wao kuonyesha chuki za wazi dhidi ya wakristo huku wakinadi kwamba wamedhulumiwa kwa muda mrefu na kwamba sasa wako tayari kujitoa muhanga dhidi ya makafiri,kama haitoshi kabla ya matukio haya kulikuwa na muhadhara na sihitaji kukwambia ktk mihadhara yao nini huwa kinahamasishwa.lakini si lazima ukubali,tunaambiwa you can wake up the one who is asleep but you cant wake up the one who is pretending to be asleep,
Kazi ni kwako.
Let's keep telling the truth aboutIslam. If the Muslims don't like it, too bad. They choose the prophet ofviolence and the religion of violence. It is their problem, not ours. We shouldnever allow ourselves to be intimidated into silence by seventh century thugs.
Hii thread inaonekana imekaa kiushabiki fulani hivi. Haionyeshi uhakika na ukubwa wa tatizo kiasi cha kuwafanya watanzania tuchangie kwa jazba namna hii. Kama vip jamani MODS block this thread. Inawajaza hasira watu wakati hatuna uhakika kama kweli hicho kinachosemwa kipo hivyo, mbona hatuoni kwenye tv au kusikia kwenye radio kama kweli hayo yametokea?? au hapo tunduru ni mbali kiasi hicho??? MODS P'SE, BLOCK THIS THREAD.
Labda Moderator ana maslahi nao huu uzi !
..........kwa hiyo hiyo dhulma waliofanyiwa ni juu ya nguruwe na magari ? hao watu wamepita wakijinadi kuwa wako tayari kujitowa muhanga, lakini hapo hapo una comment kuwa hawajulikani !
Katika mihadhara walihamasishwa kuwa adui yao ni nguruwe ?
...............yaaani JF imekuwa kero sana, mada za kijinga jinga kutoka kwa watu mabwegge bwegge zinaendekezwa sana ! na wachangiaji waapuuzi wanamwaga tuu pumba bila tafakuri yeyote. Hii inashusha sana hadhi ya hapa. Mie huichukulia JF kwa uzito wa hali ya juu ya uweledi kiasi siwezi kujibu au kuanzisha uzi wowote mpaka nijridhishe kuwa nimefanya home work ya kutosha.
....ngoja tuangalie twendako !
sasa mkuu we umeleta habari hata chanzo haujakijua bado na unaanza kutuhumu mara uamsho, mwembechai, sijui wanafadhiliwa, unalengo gani kama sio kuongeza chuki za kidini?
Halafu unatoa shutma nzito hivi na watu wanashabikia bila hata kuhoji kisa nini?
Umejitambulisha kuwa wewe ni muislam lakini uislam haufundishi hivyo,
UISLAM HAUMRUHUSU YOYOTE YULE KUSEMA JAMBO ASILO NA ELIMU NALO.
ukilewa dini hata uambiwe chochote kuhusu dini yako ambalo ni baya huwezi amini ha a zenji uchomwaji wa makanisa mlisema siyo wa dini yenu.
wakipanda kwenye majukwaa wanauongelea ukristo, (rejea kwenye nyekundu) elimu ambayo hawana, kuna juzuu umeruka wewe kwenye chuo cha viboko!!!
aja jazba, leta taarifa ilokamilika na sio vipande vya habari.
Hii habari ipo nusu mkuu, kajipange vzr ujetena, usikurupuke.
Watunduru naona hapa umekosa hoja, sorry, nimeshindwa kukuelewa, kukupata na kukutetea pia.
Unless utuambie kilichotokea kwa kwa undani na some element za evidence.
Toa story kamili yenye details. Ukiweza weka picha.....weka maelezo ya polisi na weka maelezo ya waathirika na viongozi wa vijiji na mitaa.
Short of that, hii ni ngumu kumeza.
Mkuu hii habari ni kweli nimeisikia Radio wapo fm jioni ya leo.jamani tutumie busara kdg, hakuna anaependa udini awe muislam au mkristo.
Mleta mada toa ufafanuzi tafadhali, hayo matukio yameanza lini, chanzo ni nini?
Ungetufafanulia manake binafsi hizo taarifa sijazisikia hata kwenye chombo kimoja cha habari.
Siamini kama kuna mtu yoyote mwenye akili timamu anaeweza akafanya hayo uloeleza bila sababu.0ungetoa taarifa kamili bila upendeleo tuweze kujadili vzr manake taarifa yako ya awali inaonekana kuelemea upande mmoja.
Pili hakuna sehemu yoyote katika mafundisho ya uislam panapofundisha kudhulumu, kuharibu mali ya mtu au kuu asie na hatia.
Anaefanya hivyo kakiuka misingi ya uislam na anapaswa ahukumiwe kama mhalifu mwingine na si kuhukumu dini yake kwani uislam haufundishi hivyo.
wakipanda kwenye majukwaa wanauongelea ukristo, (rejea kwenye nyekundu) elimu ambayo hawana, kuna juzuu umeruka wewe kwenye chuo cha viboko!!!
.....ndani ya Qur'an kuna Injil, hivyo tunajua kilicho sahihi katika Biblia na kilicho potoshwa !
Soma hii hoja hapa kama unaweza kuidadavua:
..........Ibrahim hakuwa Myahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu: Muislaam, wala hakuwa katika washirikina. Watu wanaomkaribia zaidi Ibrahim ni wale waliomfuata yeye na Nabii huyu (Muhammad) na walioamini (kuwa Mwenyezi Mungu ni mmoja). Na Mwenyezi Mungu ndiye Mlinzi wa waumini. Qur'an:3:67-68.
.....ndani ya Qur'an kuna Injil, hivyo tunajua kilicho sahihi katika Biblia na kilicho potoshwa !
Soma hii hoja hapa kama unaweza kuidadavua:
..........Ibrahim hakuwa Myahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu: Muislaam, wala hakuwa katika washirikina. Watu wanaomkaribia zaidi Ibrahim ni wale waliomfuata yeye na Nabii huyu (Muhammad) na walioamini (kuwa Mwenyezi Mungu ni mmoja). Na Mwenyezi Mungu ndiye Mlinzi wa waumini. Qur'an:3:67-68.
Mohamedi aliiba mistari ya bible akapotosha.