Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tukio hili la kusikitisha la Hanang linanikumbusha maporomoko kama haya yaliyotokea Uganda miaka kadhaa iliyopita , watu walizikwa na udongo , huku vifaa vya uokozi vikiwa Machepeo na Sululu , kiukweli baada ya jambo lile niliona aibu sana kuzaliwa Africa , na hasa Africa Mashariki , nilijiona kama binadamu aliyeadhibiwa mno kwa kuzaliwa kwenye ukanda duni .
Sasa yanayotokea huko Hanang , achilia mbali kutia aibu lakini yanaonyesha kwamba Nchi ya Tanzania imewekeza zaidi kwenye kuumiza Raia wake badala ya kuokoa , ndio maana karibu kila kituo cha polisi kina gari la washawasha lakini Mikoa haina vifaa vya uokozi
Shukrani kubwa kwa Wanajeshi waliofanya kazi kubwa kwa vifaa duni mno !
NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
Sasa yanayotokea huko Hanang , achilia mbali kutia aibu lakini yanaonyesha kwamba Nchi ya Tanzania imewekeza zaidi kwenye kuumiza Raia wake badala ya kuokoa , ndio maana karibu kila kituo cha polisi kina gari la washawasha lakini Mikoa haina vifaa vya uokozi
Shukrani kubwa kwa Wanajeshi waliofanya kazi kubwa kwa vifaa duni mno !
NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO