Tungejipanga kwenye Majanga kama tulivyowekeza Polisi bila shaka tusingetumia mikono kuondoa tope Hanang

Tungejipanga kwenye Majanga kama tulivyowekeza Polisi bila shaka tusingetumia mikono kuondoa tope Hanang

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Tukio hili la kusikitisha la Hanang linanikumbusha maporomoko kama haya yaliyotokea Uganda miaka kadhaa iliyopita , watu walizikwa na udongo , huku vifaa vya uokozi vikiwa Machepeo na Sululu , kiukweli baada ya jambo lile niliona aibu sana kuzaliwa Africa , na hasa Africa Mashariki , nilijiona kama binadamu aliyeadhibiwa mno kwa kuzaliwa kwenye ukanda duni .

Sasa yanayotokea huko Hanang , achilia mbali kutia aibu lakini yanaonyesha kwamba Nchi ya Tanzania imewekeza zaidi kwenye kuumiza Raia wake badala ya kuokoa , ndio maana karibu kila kituo cha polisi kina gari la washawasha lakini Mikoa haina vifaa vya uokozi

Screenshot_2023-12-05-23-04-11-1.png


Shukrani kubwa kwa Wanajeshi waliofanya kazi kubwa kwa vifaa duni mno !


Screenshot_2023-12-05-17-16-18-1.png


NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
 
Ha Ha Ha

Kama kawaida ya CHADEMA....kuzodoa na kukashifu, halafu wakianza kukwaruzana wanalia ohh Polisi
Shukrani kubwa kwa Wanajeshi waliofanya kazi kubwa kwa vifaa duni mno !
Sasa hiyo ni shukurani au kukejeli?

Wekeni picha zenu mkitoa misaada basi! Hata mkiwa mmevaa Combat zenu

CHADEMA kwisha kabisa.
 
screenshot_2023-12-05-17-16-18-1-png.2834214
😌☝️
Ati wauze magari haya nunueni zimamoto!

Mmesahona wapi zimamoto ina chimba matope?

Hayo magari yapo tayari kwenu nyie wanaharakati waleta fujo na tafrani na siasa zenu za matope!
 
Tukio hili la kusikitisha la Hanang linanikumbusha maporomoko kama haya yaliyotokea Uganda miaka kadhaa iliyopita , watu walizikwa na udongo , huku vifaa vya uokozi vikiwa Machepeo na Sululu , kiukweli baada ya jambo lile niliona aibu sana kuzaliwa Africa , na hasa Africa Mashariki , nilijiona kama binadamu aliyeadhibiwa mno kwa kuzaliwa kwenye ukanda duni .

Sasa yanayotokea huko Hanang , achilia mbali kutia aibu lakini yanaonyesha kwamba Nchi ya Tanzania imewekeza zaidi kwenye kuumiza Raia wake badala ya kuokoa , ndio maana karibu kila kituo cha polisi kina gari la washawasha lakini Mikoa haina vifaa vya uokozi

View attachment 2834219

Shukrani kubwa kwa Wanajeshi waliofanya kazi kubwa kwa vifaa duni mno !


View attachment 2834214

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO

Nje ya mada
Kuna Mada au Kashifu?

Chadema nayo imejipanga vipi na wapi kwenye masuala ya majanga?
Au na hiyo inahitaji Katiba mpya?
Unaweza kuweka kauli au sera yeyote ile ya CHADEMA inayohusisha Uokoaji?
 
Chadema nayo imejipanga vipi na wapi kwenye masuala ya majanga?
Au na hiyo inahitaji Katiba mpya?
Unaweza kuweka kauli au sera yeyote ile ya CHADEMA inayohusisha Uokoaji?
nikikuwekea hapa sera ya Chadema kuhusu majanga , utahama ccm mara moja na utajiona ulikuwa fala sana kuwa kwenye hicho chama
 
Lucas mwashambwa amewaita kule anawataka mumuwekee picha za wana CHADEMA wakitoa misaada.

Mmeshindwa na sasa badala yake mnakuja kumdhihaki mwanajeshi akijituma ili aokoe maisha ya wana Manyara.
Wewe unadai kuua sijui mauaji? Ndicho unaona huyo askari akifanya na mikono yake?

Hatahivyo, tuwekee picha ya hayo magari ya uokoaji watu kutoka kwenye matope basi?
Hoja zangu zimekuwa nzito kwao na sasa wamebaki wanakimbiana mpaka kuogopa vimvuli vyao.
 
Shida ni kuamini kwamba serikali wapo ontop kwenye kila kitu.

Wapo wapi wanasayansi na wasomi ambao wangeweza kushauri raia wasijenge kwenye mazingira yenye hatari ya mud floods?
 
Mlima Marapi huko Indonesia umelipuka na mpaka sasa watu 22 wamefariki
Lakini huwezi kuona police wamekaa juu ya bati za nyumba na kupiga selfie 🤳 wala viongozi kupishana kama kawaida tunasema wanawahamasisha vijana waokoaji

Hebu angalia clips za maafa ya Indonesia kwanza wajeda wamepelekwa kufanya kazi haswa unaona wanawabeba wahanga bila kuangalia huyu masikini au kavaa kofia ile
Wao wanahakikisha msaada unatolewa kwa nguvu zote
Vifaa wamepeleka haraka
Sisi sio masikini bali ni ukosaji wa maarifa na wizi wa baadhi ya watu wanaosababisha hata koleo tunaomba kwa majirani
Jeshi wanavyo vifaa vya kila aina na lazima kuna kambi karibu hata kama ni 200 miles yangefika tu
Kuna vitu haviko sawa kabisa
 
Gaidi Mbowe ni tatizo nchi hii. Siku akiondoka madarakani CHADEMA itafufuka tuiondoe CCM madarakani.
 
Ha Ha Ha

Kama kawaida ya CHADEMA....kuzodoa na kukashifu, halafu wakianza kukwaruzana wanalia ohh Polisi

Sasa hiyo ni shukurani au kukejeli?

Wekeni picha zenu mkitoa misaada basi! Hata mkiwa mmevaa Combat zenu

CHADEMA kwisha kabisa.

Hoja zenye akili kama hizi kwa kiwango chako unapaswa kuwa msomaji tuu!
Huu ni ushauri ili usiaibike na kudharaulika, kejeli na kashfa iko wapi hapo katika kuwapongeza waokoaji waliofanya kazi katika mazingira magumu kwa mikono huku viongozi zaidi ya 100 wako huko na magari ya milioni mia tano tano?
Hivi kama kila mkoa achia mbali wilaya, vifaa vya uokoaji vingenunuliwa kwa mapesa hayo yanayo nunua magari ya kifahari yasiyo na sababu za msingi vilio hivi vingekuwapo?
Watu wakisema akili za kawaida ukiziunganisha na uccm inakua disaster muwaelewe.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Uok
Hoja zenye akili kama hizi kwa kiwango chako unapaswa kuwa msomaji tuu!
Huu ni ushauri ili usiaibike na kudharaulika, kejeli na kashfa iko wapi hapo katika kuwapongeza waokoaji waliofanya kazi katika mazingira magumu kwa mikono huku viongozi zaidi ya 100 wako huko na magari ya milioni mia tano tano?
Hivi kama kila mkoa achia mbali wilaya, vifaa vya uokoaji vingenunuliwa kwa mapesa hayo yanayo nunua magari ya kifahari yasiyo na sababu za msingi vilio hivi vingekuwapo?
Watu wakisema akili za kawaida ukiziunganisha na uccm inakua disaster muwaelewe.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Uokoaji kwenye tope vifaa ni kama vipi tueleweshane kwanza. Maana pale kwa zaidi wanatafuta miili iliyokwisha kufariki. So hivyo vifaa ni kama vipi. Tutajieni.
Pia CHADEMA ifikie hatua msijifanye kama nchi hii kijamii itajengwa na CCM tuu pamoja na RAIS,ifikie hatua hata nyie muwekeze nguvu kwenye majanga kama haya maana pengine hao ni wapiga kura wenu wanaohangaikiwa na CCM.

Pole ya mdomo maandishi haitoshi kuwafariji wanamanyara. Nendeni site na nyie mkapige selfie mturushie tuwaone. Unafiki,kejeli na blahblah nyingi acheni.
 
Hakuna kiongozi yeyote wa chadema aliyefika manyara japo kuwapa pole...
Kipindi cha msiba wa magufuli,upinzani ulisusa kwenda kwa kisingizio cha kuumizwa(hapo hatukuwa tunamzika magufuli,tulikuwa tunamzika kiongozi wa kitaifa,mngeonesha japo huo mshikamano wa kitaifa.
Mandela aliteswa s   ana na wazungu lakini alipotoka jela aliwasamehe na akaishi nao....
Upinzani wetu unatuangusha sana kwa kukosa ubunifu na namna nzuri ya kuishauri serikali. Hii ni dhahiri kwamba they are not competent to make us move as a country.
Bora wanaokoa kwa mikono tunawaona kuliko wanaookoa kwenye mitandao.
Yanga na Simba are better at responding to disasters like these than chadema.
 
Back
Top Bottom