Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Huwa nalisema hili kila siku mkuu na niko na wewe kwa kila ulilosemaWewe unasema sisi siyo masikini!! Are you serious?
Mimi naamini sisi ni maskini kupindukia. Ila umaskini wenu siyo mali bali ni umaskini wa akili, maadili na uongozi katika taasisi mbalimbali, ambao ni umaskini mbaya kuliko mwingine wowote.
Umasikini wa akili mbaya sana