Tungejipanga kwenye Majanga kama tulivyowekeza Polisi bila shaka tusingetumia mikono kuondoa tope Hanang

Tungejipanga kwenye Majanga kama tulivyowekeza Polisi bila shaka tusingetumia mikono kuondoa tope Hanang

Yaani hajui kuwa vipo vifaa vya uokoaji sehemu ya tope zito namna hiyo na wapo watu wanasomea kuokoa majanga ya Land slide,Moto mkubwa na muda mwingine wanatumia Wanyama kama Mbwa kugundua mwili wa binadamu..
Weka hizo picha za hivyo vifaa vya uokoaji vikiwa kazini....nakuewekea hii hapa kwanza
iu
 
CHADEMA wapuuzi sana. Endeleeni kuwasengenya Wanajeshi wetu Tanzania, ipo siku mtahitaji msaada wa kutaka kuokolewa.
 
Weka hizo picha za hivyo vifaa vya uokoaji vikiwa kazini....nakuewekea hii hapa kwanza
iu
Mkuu huyo hapo ana vifaa unadhani juu ya Helmet ni nini au hicho kibegi kaweka nguo tunapozungumzia vifaa ni kama hivyo yaani anakua na vitu ambavyo vinamsaidia kwa urahisi hapo unashindwa kuelewa nini? Hiyo picha ya Wajapani utafananisha na uokoaji wetu daah kazi ipo...
 
Weka hizo picha za hivyo vifaa vya uokoaji vikiwa kazini....nakuewekea hii hapa kwanza
iu
Mkuu huyo hapo yupo full na vifaa vya uokoaji ila lazima uende shule utaelewa namaanisha nini unadhani Mjapani kabeba begi la nguo na juu ya Helmet ni nini hicho tunapozungumzia hivyo ni kwamba Serikali itenge fedha ili majanga yanapotokea isiwe kama hivi tunavyofanya sasa hivi..unatuma picha ya Mjapani yupo full gear harafu ujui kitu kumsoma huyo Mjapani kwa kila kitu alichonacho hapo ni swala la shule Mkuu kama shule hauna kama mimi hautaona kitu..
 
Mkuu huyo hapo yupo full na vifaa vya uokoaji ila lazima uende shule utaelewa namaanisha nini unadhani Mjapani kabeba begi la nguo na juu ya Helmet ni nini hicho tunapozungumzia hivyo ni kwamba Serikali itenge fedha ili majanga yanapotokea isiwe kama hivi tunavyofanya sasa hivi..unatuma picha ya Mjapani yupo full gear harafu ujui kitu kumsoma huyo Mjapani kwa kila kitu alichonacho hapo ni swala la shule Mkuu kama shule hauna kama mimi hautaona kitu..
Anatumia mikono au hivyo vifaa alivyovaa?


....Sio mjepu huyo.
 
Mkuu huyo hapo ana vifaa unadhani juu ya Helmet ni nini au hicho kibegi kaweka nguo
Ha Ha
tunapozungumzia vifaa ni kama hivyo yaani anakua na vitu ambavyo vinamsaidia kwa urahisi hapo unashindwa kuelewa nini?
Aliyekudanganya sielewei amevaa nini ni nani? Picha niilete mimi halafu useme sielewi.
Hiyo picha ya Wajapani utafananisha na uokoaji wetu daah kazi ipo...
Kwanza kabisa huyo kwenye picha siyo ya Mjapani.


Itoshe, umeshindwa kuleta picha za kifaa au vifaa vya kuokolea watu kutoka matopeni. Haya niambie, hivyo vifaa ndivyo vinavyokoa watu?

Nyie CHADOMO ndio mnaotaka kufananisha mbinu za uokoaji wetu na wa nje, au ulikuwa unafanya ulinganishi na wapi?

Rudi darasani
 
Wanasiasa wanaonekana wao na matumbo yao walivyonona tu
Hakuna kiongozi hata mmoja unayemuona kabeba machela tope limemjaa mwilini nk
Yaani wako huko wame relax tu

Ova
Nimewaona yaani kuanzia aliyewapeleka PM wote wanakanyaga tope kama hawajawahi kukanyaga chini maisha yao
Yaani utafikiri wanacheza maigizo
Hata aibu hawana aisee
 
Lucas mwashambwa amewaita kule anawataka mumuwekee picha za wana CHADEMA wakitoa misaada.

Mmeshindwa na sasa badala yake mnakuja kumdhihaki mwanajeshi akijituma ili aokoe maisha ya wana Manyara.
Wewe unadai kuua sijui mauaji? Ndicho unaona huyo askari
screenshot_2023-12-05-23-04-11-1-png.2834219
akifanya na mikono yake?

Hatahivyo, tuwekee picha ya hayo magari ya uokoaji watu kutoka kwenye matope basi?
Kutoa msaada au kujiweka tayari kwa majanga lipi ni jambo bora!!??

CHADEMA wana sera ya afya/matibabu kwa wote, CCM wamekurupuka wakaichukua bila ya kuifanyia tafiti.

Unajua nini kimeiua CHF,ICHF na NHIF!!??
Ndicho kinakwenda kutokea.
 
Hakuna kiongozi yeyote wa chadema aliyefika manyara japo kuwapa pole...
Kipindi cha msiba wa magufuli,upinzani ulisusa kwenda kwa kisingizio cha kuumizwa(hapo hatukuwa tunamzika magufuli,tulikuwa tunamzika kiongozi wa kitaifa,mngeonesha japo huo mshikamano wa kitaifa.
Mandela aliteswa s   ana na wazungu lakini alipotoka jela aliwasamehe na akaishi nao....
Upinzani wetu unatuangusha sana kwa kukosa ubunifu na namna nzuri ya kuishauri serikali. Hii ni dhahiri kwamba they are not competent to make us move as a country.
Bora wanaokoa kwa mikono tunawaona kuliko wanaookoa kwenye mitandao.
Yanga na Simba are better at responding to disasters like these than chadema.
Hakuna respond nzuri na bora ya majanga kama kujipanga kwa kuwa na sera na mipango thabiti ya kukabiliana na maafa/majanga ikiwemo vifaa, watendakazi wenye elimu ya uokozi na utayari wa serikali.
 
Chadema ni mbumbumbu sanaaa.
Unadhani jeshi halina vifaa maalum?
Nimeona mahali helkopita ya jeshi la wananchi ikikejeliwa huko Manyara.
Sijui chadema mnataka nini kwa serikali.
Kama ndivyo jigeuzeni basi muwe na "matundu" mnunulike
 
Tukio hili la kusikitisha la Hanang linanikumbusha maporomoko kama haya yaliyotokea Uganda miaka kadhaa iliyopita , watu walizikwa na udongo , huku vifaa vya uokozi vikiwa Machepeo na Sululu , kiukweli baada ya jambo lile niliona aibu sana kuzaliwa Africa , na hasa Africa Mashariki , nilijiona kama binadamu aliyeadhibiwa mno kwa kuzaliwa kwenye ukanda duni .

Sasa yanayotokea huko Hanang , achilia mbali kutia aibu lakini yanaonyesha kwamba Nchi ya Tanzania imewekeza zaidi kwenye kuumiza Raia wake badala ya kuokoa , ndio maana karibu kila kituo cha polisi kina gari la washawasha lakini Mikoa haina vifaa vya uokozi

View attachment 2834219

Shukrani kubwa kwa Wanajeshi waliofanya kazi kubwa kwa vifaa duni mno !


View attachment 2834214

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
"BLACK PEOPLE are not complete human beings because they DON'T HAVE A GOOD BRAIN TO GOVERN THE SOCIETY as white people. They are still under the process of becoming the complete human beings."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
nikikuwekea hapa sera ya Chadema kuhusu majanga , utahama ccm mara moja na utajiona ulikuwa fala sana kuwa kwenye hicho chama
Hatuhitaji sera mana ht ccm wana sera zao nzuri za majanga lkn hakuna kinachotendeka, tunahitaji utendaji kazi kutoka kwenu chama pinzani ili kuonyesha bidii yenu kwa wananchi. Sera/kelele hazisaidii wakati wa kuumia
 
Tukio hili la kusikitisha la Hanang linanikumbusha maporomoko kama haya yaliyotokea Uganda miaka kadhaa iliyopita , watu walizikwa na udongo , huku vifaa vya uokozi vikiwa Machepeo na Sululu , kiukweli baada ya jambo lile niliona aibu sana kuzaliwa Africa , na hasa Africa Mashariki , nilijiona kama binadamu aliyeadhibiwa mno kwa kuzaliwa kwenye ukanda duni .

Sasa yanayotokea huko Hanang , achilia mbali kutia aibu lakini yanaonyesha kwamba Nchi ya Tanzania imewekeza zaidi kwenye kuumiza Raia wake badala ya kuokoa , ndio maana karibu kila kituo cha polisi kina gari la washawasha lakini Mikoa haina vifaa vya uokozi

View attachment 2834219

Shukrani kubwa kwa Wanajeshi waliofanya kazi kubwa kwa vifaa duni mno !


View attachment 2834214

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
Kstibu Mwenezi bado hajaenda Hanang?
 
Hatuhitaji sera mana ht ccm wana sera zao nzuri za majanga lkn hakuna kinachotendeka, tunahitaji utendaji kazi kutoka kwenu chama pinzani ili kuonyesha bidii yenu kwa wananchi. Sera/kelele hazisaidii wakati wa kuumia
Wao wanawekeza kwenye mapangashaa
 
Hakuna respond nzuri na bora ya majanga kama kujipanga kwa kuwa na sera na mipango thabiti ya kukabiliana na maafa/majanga ikiwemo vifaa, watendakazi wenye elimu ya uokozi na utayari wa serikali.
Sahihi kikubwa ambacho huwa naona ni kero ni kushindwa kutenganisha siasa na taaluma.
 
Hebu, tuache masihara.
Katika pita pita zako mitandaoni au kupitia vyombo vikuu vya habarai Duniani, umeshawahi kuona kifaa au vifaa wanavyotumia waokoaji wakati kuna mafuriko ya matope?

Kama umeona, mosi, niwekee picha hiyo hapa na nitakuwa tayari kufuta posti hii.


pili, usinibadilishie kibao, wacha kuspini... hizo picha zilizowekwa huko juu zimewekwa kuwazodoa Wanajeshi au hapa Mjeshi, kwamba anafanya uokoaji kwa kutumia mikono. Hebu tuambie in that situation, ukatumie grader au kifaa chechote kizito, kweli hautakuwa unaenda kuzika wahanga walioko kwenye tope ambalo tayari ni zito kwao?

Ni nani anayetaka kuwafanya askari wetu waonekane wapumbavu hapa?

...hata huko mnapotaka kufanya ulinganishi, kqzi za mikono ndizo huwa zinatumika, initialy, sasa kwanini mnataka kuleta dhana potofu? to what end?

Hicho kifaa bora hapo ndio kipi?

..na wewe nionyeshe kifaa chochote chenye ubora unaolingana na maderaya, mawashawasha, na ma-V8, mliyonayo ambacho kimetumika ktk uokoaji.
 
Mlima Marapi huko Indonesia umelipuka na mpaka sasa watu 22 wamefariki
Lakini huwezi kuona police wamekaa juu ya bati za nyumba na kupiga selfie [emoji1702] wala viongozi kupishana kama kawaida tunasema wanawahamasisha vijana waokoaji

Hebu angalia clips za maafa ya Indonesia kwanza wajeda wamepelekwa kufanya kazi haswa unaona wanawabeba wahanga bila kuangalia huyu masikini au kavaa kofia ile
Wao wanahakikisha msaada unatolewa kwa nguvu zote
Vifaa wamepeleka haraka
Sisi sio masikini bali ni ukosaji wa maarifa na wizi wa baadhi ya watu wanaosababisha hata koleo tunaomba kwa majirani
Jeshi wanavyo vifaa vya kila aina na lazima kuna kambi karibu hata kama ni 200 miles yangefika tu
Kuna vitu haviko sawa kabisa

Wewe unasema sisi siyo masikini!! Are you serious?

Mimi naamini sisi ni maskini kupindukia. Ila umaskini wenu siyo mali bali ni umaskini wa akili, maadili na uongozi katika taasisi mbalimbali, ambao ni umaskini mbaya kuliko mwingine wowote.
 
Back
Top Bottom