Sifa kubwa ya ndoa kuvunjika kisheria ni ipi ambapo ukifile kesi hakuna mambo marefu maana naona kifo hichooo sonona na insomnia nimeshaanza kuongea peke yanguW
Wajasiri pekee ndo wanatoka na kue delea na maisha....
Hata mimi mkuu 6 yrs tena kama ndo tumeoana jana.all in all ndoa ni taamu
Nakumbuka enzi hizo nilipojilipua kuoa wengi walinitisha sana, mwaka wa sita huu naelekea kuwa legend
Kiapo hata Kila mwisho wa mwezi kwangu poa tu
Pole nduguu.Sifa kubwa ya ndoa kuvunjika kisheria ni ipi ambapo ukifile kesi hakuna mambo marefu maana naona kifo hichooo sonona na insomnia nimeshaanza kuongea peke yangu
walipigana humu kwa maneno kisa "Rolls Roys" ya kijana wa MbagalaKulikoniiii
Naona Extrovert yuko kifungoni...!
walipigana humu kwa maneno kisa "Rolls Roys" ya kijana wa Mbagala
View attachment 1825081
Ndoa nyingi zingekua recycled na wengi wangepata nafasi ya kuingia kwenye ndoa.
Bwana ehh sijui kaingia Chaka gani bovu, nime yamiss matabasamu yake. Mungu mtetee na umlinde Extrovert huko aliko. Mzee wa magari na tabasamuKulikoniiii
Naona Extrovert yuko kifungoni...!
Nimetoka selo jamani, tutajumuika pamoja tena nashukuru kwa upendo wenu π!!! Watu wenye nia mbaya walinipakazia kesi kwa ModsBwana ehh sijui kaingia Chaka gani bovu, nime yamiss matabasamu yake. Mungu mtetee na umlinde Extrovert huko aliko. Mzee wa magari na tabasamu
Pole sana vehicles genius, karibu Tena dimbaniNimetoka selo jamani, tutajumuika pamoja tena nashukuru kwa upendo wenu π!!! Watu wenye nia mbaya walinipakazia kesi kwa Mods
[emoji1787]Nimetoka selo jamani, tutajumuika pamoja tena nashukuru kwa upendo wenu [emoji23]!!! Watu wenye nia mbaya walinipakazia kesi kwa Mods
Asante sana chief, tunaendeleza gurudumuPole sana vehicles genius, karibu Tena dimbani
Umefunzika adabu huko selo au ulipelekwa ukajifunze fujo zaidi.π€£π€£Nimetoka selo jamani, tutajumuika pamoja tena nashukuru kwa upendo wenu π!!! Watu wenye nia mbaya walinipakazia kesi kwa Mods
Yani hapa wameniwasha gari japo kule sio mchezo mbu wakali sanaπ π π ila aluta kontinuaUmefunzika adabu huko selo au ulipelekwa ukajifunze fujo zaidi.π€£π€£
Hiiii point bora kabsa ndan ya mwaka huuu [emoji106]Kama unavaa viatu size 8, unakuta kiatu cha Gucci kwenye mtumba lakini ni size 7. Kwasababu ya jina na uzuri wa kiatu unasema isiwe tabu. Kilazimishe mguuni, marafiki na wapambe wakusifie umependeza lakini maumivu unayo yapata yanakwenda moja kwa moja moyoni.