Wewe una dhani hayo makundi yote yanamchukia Kama mnavyopandikiza chuki.watampigia Makundi yote kwa taarifa yako.Mkuu kwenye haya makundi katika jamii ni kundi lipi linaweza piga kura kwa jiwe?
1. Wanafunzi)Elimu ya juu)
2. Wafanyakazi(Serikali na Sekta binafsi)
3. Wakulima (Korosho,Mahindi ....etc)
4. Wafanyabiashara
5. Machinga(20,000 za vitabulisho)
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Kama tune sio huru sasa chama chetu kimeweka wagombea wa nini? Na miaka yote ya uchaguzi tunashiriki. Kwani tume ndio ina mchango gani kuig'oa Ccm kama sio kuwa na mikakati na sera nzuri.Huyu mtu pamoja na kiburi alichonacho, hivi sasa anaishi kwa hofu na mashaka kwani anajua lolote linaweza kutokea Oktoba 28 na ndio maana mnamuona anahangaika kutoa kauli za kujaribu kurekebisha makosa yake ya Siku za mwanzo (kavurugwa).
Ukweli ni kwamba, anajua uwezekano wa yeye kushinda ni mdogo, ila kutokwepo kwa Tume Huru, ndio kunampa matumaini ya asilimia fulani ya kutangazwa mshindi pasipo kushinda, na matumaini hayo, ndio yanamfanya aweze walau kuwa na nguvu ya kuendelea na kampeni, vinginevyo angekuwa frustrated zaidi ya sasa na pengine angefikia hatua hata ya kupiga magoti majukwaani kuomba kura.
Hata wafuasi wake wamepoteza matumaini na nao wao wanategemea mbeleko ya Tume kama mgombea wao.
Yeye na wafuasi wake wakiangalia video za mpinzani wake, wanatamani hata uchaguzi usiwepo au ilitokea jambo uchaguzi usifanyike, ila wajue hakuna kitachobadilika na safari hii wanalo.
Huyu mtu pamoja na kiburi alichonacho, hivi sasa anaishi kwa hofu na mashaka kwani anajua lolote linaweza kutokea Oktoba 28 na ndio maana mnamuona anahangaika kutoa kauli za kujaribu kurekebisha makosa yake ya Siku za mwanzo (kavurugwa).
Ukweli ni kwamba, anajua uwezekano wa yeye kushinda ni mdogo, ila kutokwepo kwa Tume Huru, ndio kunampa matumaini ya asilimia fulani ya kutangazwa mshindi pasipo kushinda, na matumaini hayo, ndio yanamfanya aweze walau kuwa na nguvu ya kuendelea na kampeni, vinginevyo angekuwa frustrated zaidi ya sasa na pengine angefikia hatua hata ya kupiga magoti majukwaani kuomba kura.
Hata wafuasi wake wamepoteza matumaini na nao wao wanategemea mbeleko ya Tume kama mgombea wao.
Yeye na wafuasi wake wakiangalia video za mpinzani wake, wanatamani hata uchaguzi usiwepo au ilitokea jambo uchaguzi usifanyike, ila wajue hakuna kitachobadilika na safari hii wanalo.
Leo Magu kafanya mini?Hayo magoti umeyaona au hujayaona?chadema wasahaulifu sana
Kama tune sio huru sasa chama chetu kimeweka wagombea wa nini? Na miaka yote ya uchaguzi tunashiriki. Kwani tume ndio ina mchango gani kuig'oa Ccm kama sio kuwa na mikakati na sera nzuri.
Kama Chama chetu ruzuku zinaliwa ndio tunaweza kuwag'oa Ccm?
Lete picha ya mtu kapiga magoti ndio itapendeza
Tundu Lissu bado sana kupambana na Magufuli, Sema ni mchafuzi tu wa muda,
Kila anapopita pia kuna makundi yanarudi kufuta nyayo zake,
Sisi kazi yetu ni kuwazibua hizo akili zenu ili kuwarudishia kumbukumbuView attachment 1576958View attachment 1576960View attachment 1576961View attachment 1576962
Kumbe wewe ulimgundua toka kitambo.Huyu mtu pamoja na kiburi alichonacho, hivi sasa anaishi kwa hofu na mashaka kwani anajua lolote linaweza kutokea Oktoba 28 na ndio maana mnamuona anahangaika kutoa kauli za kujaribu kurekebisha makosa yake ya Siku za mwanzo (kavurugwa).
Ukweli ni kwamba, anajua uwezekano wa yeye kushinda ni mdogo, ila kutokwepo kwa Tume Huru, ndio kunampa matumaini ya asilimia fulani ya kutangazwa mshindi pasipo kushinda, na matumaini hayo, ndio yanamfanya aweze walau kuwa na nguvu ya kuendelea na kampeni, vinginevyo angekuwa frustrated zaidi ya sasa na pengine angefikia hatua hata ya kupiga magoti majukwaani kuomba kura.
Hata wafuasi wake wamepoteza matumaini na nao wao wanategemea mbeleko ya Tume kama mgombea wao.
Yeye na wafuasi wake wakiangalia video za mpinzani wake, wanatamani hata uchaguzi usiwepo au ilitokea jambo uchaguzi usifanyike, ila wajue hakuna kitachobadilika na safari hii wanalo.
Ukizoom hii picha unaona anatokwa na machozi live. zoom utaona
Mkuuu, Ushaipata? [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Lete picha ya mtu kapiga magoti ndio itapendeza
Mkuuu, Ushaipata? [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Inaumbua nini wakati mwenzio anaombakura kwa kuonesha unyenyekevuMjasi1 ulitukana na kukashifu ila hiyo picha leo inakuumbua.