Tungekuwa na waandishi kama hawa wachache tu tungekuwa mbali sana

Tungekuwa na waandishi kama hawa wachache tu tungekuwa mbali sana

ungepitia hiyo interview mkuu, very interesting, ila ni ndefu kidogo inahitaji MB za kutosha
Leo nipo desperate sijui what's going on kichwani mwangu..I do not feel anything..not happy...hope itakua labda kwa kua next week ntaenda clinic kuangalia maendeleo ya mguu wangu..
 
Tatizo sa hiv hatuna waandishi wa habar bali kuna mareporter na machawa weng tu katika tasnia

Kabisa mkuu, kuna sehemu anaeleza humo kwenye mahojiano jinsi alivyowachana vijana wa Tiss baada ya kujipenyeza kwenye class aliyokuwa akiwapa training vijana.
 
Ana

Itwa salim said salim
ni mzanzibar zamani akiandikia rai nguvu ya hoja. Acha kabisa hilo gazeti lilikuwa na nguli wengi.
Kumbe ndio huyu pia nakumbuka enzi za RAI NGUVU YA HOJA

Nawakumbuka kina MAGGID MJENGWA (MIRABA YA MAGID MJENGWA)

KINA MAREHEMU PREVITUS KARUGENDO R.I.P
 
Back
Top Bottom