double R
JF-Expert Member
- Oct 6, 2011
- 2,399
- 2,541
Wizara ya michezo haiko serious.
Kwenye image ya Taifa tunaharibu sana.
Kuanzia kipindi cha Olympic walizingua, walikosekana hata wa kuwahi kubeba bendera.
Timu zetu za mpira wa miguu wanawake wanafanya vyema kimataifa. Na juzi walikuwa na mechi za kufuzu hapa nyumbani, kimya. Wanashiriki hayo mashindano kama yatima fulani.
Lingine ni hili la Biashara, mambo ya aibu kabisa serikali inasema itawaunga mkono tayari wakiwa wamechelewa na wanajua wazi hii michezo inakuwa na figisu nyingi.
Sidhani kama watanzania tumeshindwa kabisa kuwapa motisha wawakilishi wetu, ila tuna mfumo mbaya wa uongozi na tunapoteza fursa nyingi kizembe.
Kwenye image ya Taifa tunaharibu sana.
Kuanzia kipindi cha Olympic walizingua, walikosekana hata wa kuwahi kubeba bendera.
Timu zetu za mpira wa miguu wanawake wanafanya vyema kimataifa. Na juzi walikuwa na mechi za kufuzu hapa nyumbani, kimya. Wanashiriki hayo mashindano kama yatima fulani.
Lingine ni hili la Biashara, mambo ya aibu kabisa serikali inasema itawaunga mkono tayari wakiwa wamechelewa na wanajua wazi hii michezo inakuwa na figisu nyingi.
Sidhani kama watanzania tumeshindwa kabisa kuwapa motisha wawakilishi wetu, ila tuna mfumo mbaya wa uongozi na tunapoteza fursa nyingi kizembe.