evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Unahakika na hizo data za kodi?Vitu vikapanda bei watu hawanunui kama hawanunui kodi ingetoka wapi?
Hivi umerudia kuusoma utoko uliondika.Kama si mama nani angemng'ofoa nduli ndugai kwa aibu...
nani angewaparua benchi plofeza kabundi na lukumvi!
Nani angesafisha mitaa navurugu za machinga!
Nani angemsuuza kitwila mkundo!
Nani angewatuliza mpolipoli na bashilu!
Nani angemtuliza saambaya,murokiherehere nk.!
Nani angestopisha Chato kuwa dubei!!
Nani angepangua kandaziwa madarakani!!
Mambo nimengi telee mama kazi isongeee
Ili la umeme kukatika hovyo na lambowe tutahoji kesho eeeh!
Jamaa anajiona alicho kiandika yupo sahihi, najaribu kuwaza kwa sauti hivi huyu mtu anajuwa hali ilivyo mbaya kitaa, hasa vijijini,Acha kumchonganisha ni Msigwa mkuu 😀😀
Bei za vitu zimepanda dunia nzima mbona mkuu!!Unahakika na hizo data za kodi?
Kiukweli vitu vya ujenzi havitoki kabisa sasa hivi, mfano tulikuwa na dili la kumfungia mtu madirisha ya alminium tulikubaliana bei laki 2,elfu20 kwa dirisha kaja kumaliza kazi stock ya zamani imekwisha tumekwenda kariakoo tukamwambia bei imepanda kila dirisha toutamfanyia laki3 very fair price wenzetu wanafanya laki 3.5 jamaa akasema ni hela ndefu kwa dirisha zake zipo 18.
Tuacheni utani biashara yaujenzi imeshrink site nyingi za ujenzi za watu binafsi zimesimama tusidanganyane ili kupata millage ya kisiasa
Mkuu hujanielewa 😀😀Jamaa anajiona alicho kiandika yupo sahihi, najaribu kuwaza kwa sauti hivi huyu mtu anajuwa hali ilivyo mbaya kitaa, hasa vijijini,
1,Mbowe kuwa gerezanToka ndani ya mioyo yetu tutafakari haya kwa pamoja huku tukimshirikisha Mungu wetu:
1. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu,Je watu wasiojulikana wangekuwa wamepoteza wenzetu wengine wangapi mpaka leo,Wewe unayempinga Rais Samia leo Je umewahi kujiuliza kama ungekuwa hai mpaka leo kama sio huyu Rais Samia unayempinga na kumbeza kila leo?
2. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu tungefanyaje kumaliza upungufu wa madarasa wa miaka mingi yanayofikia elfu 15 sawa na wastani wa madarasa matatu katika kila Shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima na mengine zaidi ya elfu 3 kwa shule za msingi Shikizi najua mnajua kabla tulisema Tanzania hatuna maambukizi ya Covid 19 hivyo tusingeweza kupata mkopo ule usio na riba,
3. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nilini tungekusanya kodi inayofikia Shilingi trilioni 2.51 kwa mwezi mmoja tena bila kunyanyasa wala kukimbiza walipakodi wetu,Kwani simnakumbuka Mzee Jakaya yeye alikusanya wastani wa trilioni 10 kwa mwaka mzima pesa tunayoweza kuikusanya kwa miezi minne tu sasa!!
4. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angeweza kuongeza mzunguko wa fedha kwenye nchi ( M3 ) kwa mara mbili zaidi kutoka asilimia 6.5 hadi asilimia 12.7 tena kwa miezi tisa tu,
5. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angeufikisha Uchumi wetu kwenye ukuaji wa Pato la Taifa wa asilimia 5.4 kutoka mdororo wa asilimia 2.1 wakati wa mtangulizi wake,
6. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu ni lini tungeifikia sera yetu ya 50/50 kwenye nyadhifa mbalimbali za Kivyama, kiserikali na taasisi nyingine mbalimbali kwani kupitia yeye Tanzania na dunia vimejifunza kuwa ni kweli kuwa " A Woman Can Lead anywhere at any Post "
7. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angeinusuru miradi hii mikubwa ya kimkakati ya SGR na SG iliyokuwa ikijengwa kwa mikopo ya masharti ya kibiashara,Je umewahi kuwaza nini ingekuwa hatma ya Tanzania na Watoto wa Watanzani kwa madeni haya hatari ya kibiashara?
8. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angewaachilia huru Mashekhe wetu wa uamsho waliosota gerezani kwa miaka zaidi ya 10 bila kosa au Nani angewaachia Wana-CHADEMA waliokuwa wametapakaa karibu kila gereza hapa Tanzania?
9. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angeifungua Tanzania kimataifa baada ya kuchafuliwa vibaya na kwa muda mrefu na akina Tundu Lissu na wenzake kiasi cha kunyimwa misaada na mikopo ya masharti|riba nafuu kulikotulazimu kama Taifa kuanza kuiingiza nchi yetu kwenye mikopo ya kibiashara wakati nchi haifanyi biashara ila inatoa huduma tu hili lilikuwa ni bomu kwa nchi,
10. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angewaongezea mishahara na madaraja makubwa makubwa watumishi wetu wa Serikali waliosota miaka mitano mfululizo bila kuona senti ya Serikali?
11. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angewaondolea Wasomi wetu VRF ya asilimia 6 toka makato ya asilimia 15 toka HESLB kwani leo wanakatwa asilimia 9 tu tena mpaka upate kazi ndio uanze kukatwa,
12. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angekivusha Chama Changu cha Mapinduzi Salama mwaka wa Uchaguzi 2024|25 ikiwa ni baada ya Rais Samia kurudisha Ushawishi wa Chama kwa jamii|Umma kutokana na matendo mema na mazuri ya Chama Chake na Serikali yake,
#Kama Sio katazo la Katiba kwa kudra za mwenyezi Mungu huyu Mama alitakiwa apewe miaka 20 ila katiba iheshimiwe twende na Mama mpaka 2030 itatufaa sana,Wewe unasemaje?
Ila sasa mbona sasa viroba vimerudi?Kongole mama mitano tena!
Msamaha wa nini,eti Mbowe amuombe msamaha SSh neverMbowe simmekataa msamaha?
Umeona ehh, lazima tukubali samia ametuokoa kiasi flan,Toka ndani ya mioyo yetu tutafakari haya kwa pamoja huku tukimshirikisha Mungu wetu:
1. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu,Je watu wasiojulikana wangekuwa wamepoteza wenzetu wengine wangapi mpaka leo,Wewe unayempinga Rais Samia leo Je umewahi kujiuliza kama ungekuwa hai mpaka leo kama sio huyu Rais Samia unayempinga na kumbeza kila leo?
2. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu tungefanyaje kumaliza upungufu wa madarasa wa miaka mingi yanayofikia elfu 15 sawa na wastani wa madarasa matatu katika kila Shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima na mengine zaidi ya elfu 3 kwa shule za msingi Shikizi najua mnajua kabla tulisema Tanzania hatuna maambukizi ya Covid 19 hivyo tusingeweza kupata mkopo ule usio na riba,
3. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nilini tungekusanya kodi inayofikia Shilingi trilioni 2.51 kwa mwezi mmoja tena bila kunyanyasa wala kukimbiza walipakodi wetu,Kwani simnakumbuka Mzee Jakaya yeye alikusanya wastani wa trilioni 10 kwa mwaka mzima pesa tunayoweza kuikusanya kwa miezi minne tu sasa!!
4. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angeweza kuongeza mzunguko wa fedha kwenye nchi ( M3 ) kwa mara mbili zaidi kutoka asilimia 6.5 hadi asilimia 12.7 tena kwa miezi tisa tu,
5. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angeufikisha Uchumi wetu kwenye ukuaji wa Pato la Taifa wa asilimia 5.4 kutoka mdororo wa asilimia 2.1 wakati wa mtangulizi wake,
6. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu ni lini tungeifikia sera yetu ya 50/50 kwenye nyadhifa mbalimbali za Kivyama, kiserikali na taasisi nyingine mbalimbali kwani kupitia yeye Tanzania na dunia vimejifunza kuwa ni kweli kuwa " A Woman Can Lead anywhere at any Post "
7. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angeinusuru miradi hii mikubwa ya kimkakati ya SGR na SG iliyokuwa ikijengwa kwa mikopo ya masharti ya kibiashara,Je umewahi kuwaza nini ingekuwa hatma ya Tanzania na Watoto wa Watanzani kwa madeni haya hatari ya kibiashara?
8. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angewaachilia huru Mashekhe wetu wa uamsho waliosota gerezani kwa miaka zaidi ya 10 bila kosa au Nani angewaachia Wana-CHADEMA waliokuwa wametapakaa karibu kila gereza hapa Tanzania?
9. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angeifungua Tanzania kimataifa baada ya kuchafuliwa vibaya na kwa muda mrefu na akina Tundu Lissu na wenzake kiasi cha kunyimwa misaada na mikopo ya masharti|riba nafuu kulikotulazimu kama Taifa kuanza kuiingiza nchi yetu kwenye mikopo ya kibiashara wakati nchi haifanyi biashara ila inatoa huduma tu hili lilikuwa ni bomu kwa nchi,
10. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angewaongezea mishahara na madaraja makubwa makubwa watumishi wetu wa Serikali waliosota miaka mitano mfululizo bila kuona senti ya Serikali?
11. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angewaondolea Wasomi wetu VRF ya asilimia 6 toka makato ya asilimia 15 toka HESLB kwani leo wanakatwa asilimia 9 tu tena mpaka upate kazi ndio uanze kukatwa,
12. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angekivusha Chama Changu cha Mapinduzi Salama mwaka wa Uchaguzi 2024|25 ikiwa ni baada ya Rais Samia kurudisha Ushawishi wa Chama kwa jamii|Umma kutokana na matendo mema na mazuri ya Chama Chake na Serikali yake,
#Kama Sio katazo la Katiba kwa kudra za mwenyezi Mungu huyu Mama alitakiwa apewe miaka 20 ila katiba iheshimiwe twende na Mama mpaka 2030 itatufaa sana,Wewe unasemaje?
Kumbe unalaumu bure tu, hata wewe hujui cha kufanya.Ndio maana nipo hapa JF na sio ikulu, kama hawawezi awaachie wengine wanaojua nini cha kufanya.
Ngoja aje Rais mwingine,mtaanza kumshambulia Samia,machawa ni kama funza
Daaah nchi ngumu mno hii,Hakuna anachofanya zaidi ya kurembua tu
Ndio hoja zenu tu hiziKama kila kitu unanunuliwa na shemeji yako mpaka boxer utajuwaje kama vitu vimepanda bei!!??
Kama wewe ni kiongozi katili ni katili, Magufuli mbona alishambuliwa sana akiwa madarakani, hatutamsahau kwa uonevu wake kwa watanzania, na kuumiza watu kwa wasiojulikana kisa kimkosoa utafikiri yeye Mungu kwamba kakamilika kwa kila kitu,,
Mama amejitahidi sana kurudisha furaha na amani ya watanzania iliyokuwa inaendelea kupotea kwa kasi kali
You nailed it.Samia hajapewa kibali na Mungu kapewa kibali na katiba
Ukatili anaomfanyia Mbowe huuoni?Kama wewe ni kiongozi katili ni katili, Magufuli mbona alishambuliwa sana akiwa madarakani, hatutamsahau kwa uonevu wake kwa watanzania, na kuumiza watu kwa wasiojulikana kisa kimkosoa utafikiri yeye Mungu kwamba kakamilika kwa kila kitu,,
Mama amejitahidi sana kurudisha furaha na amani ya watanzania iliyokuwa inaendelea kupotea kwa kasi kali
Huelewi maana ya mifano utanipotezea muda tu.Kwahyo cost of living ya USA ikipanda na Tanzania ipande?? Mbona unaakili za kifala sana, kwahiyo USA ni Tz? Na serikali inafanya jitihada zipi kupambana na inflation? Naomba nijibu hili swali kichumi zaidi