Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Tunisia ni nchi iliyoendelea zaidi Afrika in terms of economic competivenes, na kama hilo halitoshi Tunisia ni majority waislamu hivyo unaweza hata kuuita an islamic republic kama uwingi wa waislamu ni kigezo but there is a catch, Tunisia hairuhusu wanawake kuvaa hijab shuleni, ofisini au sehemu yoyote ile inayoheshimika, swali ni kwamba kwa nini?
Binafsi naamimi kuna uhusiano mkubwa kati ya falsafa ya dini na maendeleo jamii husika, kwa nini zanzibar haijaendelea kama mauritius kwa mfano?
Watoto wakiwa darasani zanzibar wamevaa hijab
Usafiri mwendokasi mjini Tunis
Binafsi naamimi kuna uhusiano mkubwa kati ya falsafa ya dini na maendeleo jamii husika, kwa nini zanzibar haijaendelea kama mauritius kwa mfano?
Watoto wakiwa darasani zanzibar wamevaa hijab
Usafiri mwendokasi mjini Tunis