Chuki! chuki! chuki!Binafsi naona aliyeruhusu hijab Tanzania hakuwa na mapenzi mema ya taifa hili. Hili ni bomu litauwa taifa siku za usoni. Hijab inaonesha wazi taifa lilivyogawanyika kidini. Katika mstakabali wa taifa Faida ya hijab ni ndogo kuliko hasara.
Naombea aje kiongozi jasiri apige marufuku hijab na kutumia majina ya kidini tutumie majina ya asili Kwa mfano Fyandomo Mwakalasya
Kwanini usitamani sikumoja aje kiongozi Apige marufuku UVAAJI WA VIMINI!? Na Kwa wanafunzi Apige marufuku wavulana kuvaa vipensi Shuleni!? Na wanafunzi Wasichana wasio na hijabu watimuliwe!!
Ili kuwe na huo uwiano unaoutaka!?
Ila vazi la hijabu #LINAWAKASIRISHA Mpaka mishipa inawavimba....
𝙠𝙪𝙛𝙚𝙣𝙞 𝙣𝙖 𝙘𝙝𝙪𝙠𝙞 𝙯𝙚𝙣𝙪.