Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waislam kichwan ni hamnazo kbs , kilichoulizwa na unachojibu ni tofaut
Umalaya unaletwa na hijab!?Wakati sisi tunasoma mambo ya hijabu ayakuwepo ila mabonti walikuwa siyo malaya kama hawa wa sasa licha ya kuvaa hijabu ....tatizo watu wanapenda sana uarabu dini ni tabia za nyoyoni na siyo mavazi ...TATIZO WA AFRIKA NI MASHABIKI WA DINI
Tena hili swala la kuoa mke mmoja tu naona lipo nchi nyingi tu za kiarabu huku kwetu sijui vipi..wakati hata uarabu koko hatuna.Tena huko hkn ujinga wa kuoa wake wanne. Hkn
Ndoa Ni ya watu wawili tu
😑🤣🤣Kwani mtoa mada kalenga nini?Mbona Masister wa kanisa la Roma wanavaa hijabu ?
Huyu jamaa Nina wasiwasi nae.kwann unawaza ushoga ? huna hoja nyingine zaid ya ushoga ? kwa hapa Tz mashoga wengi ni waislam mf Juma Lokole na wengine wengi tu
Sasa kukataza wakataze wengine swalu la kwa nini umuulize mwengineswali zuri, unafikiri kww nini wanakatakaza watoto kuvaa hijab shuleni ?
Huna hoja hapoBinafsi ili vazi hasa mashuleni naona lina athari kwakuwabagua wanafunzi kwa Imani ili swala lakujua yule pale ni Islamic na yule sio nimbaya sana
Miaka zaidi ya 60 tokea mupate huo unaoitwa uhuru lini umewahi kuona athari hasi ya hijab?Binafsi naona aliyeruhusu hijab Tanzania hakuwa na mapenzi mema ya taifa hili. Hili ni bomu litauwa taifa siku za usoni. Hijab inaonesha wazi taifa lilivyogawanyika kidini. Katika mstakabali wa taifa Faida ya hijab ni ndogo kuliko hasara.
Naombea aje kiongozi jasiri apige marufuku hijab na kutumia majina ya kidini tutumie majina ya asili Kwa mfano Fyandomo Mwakalasya
Kwa akili zako unaona hijabu inaathiri nini kwenye kusoma na maendeleo kwa ujumla??Tunisia ni nchi iliyoendelea zaidi Afrika in terms of economic competivenes, na kama hilo halitoshi Tunisia ni majority waislamu hivyo unaweza hata kuuita an islamic republic kama uwingi wa waislamu ni kigezo but there is a catch, Tunisia hairuhusu wanawake kuvaa hijab shuleni, ofisini au sehemu yoyote ile inayoheshimika, swali ni kwamba kwa nini?
Binafsi naamimi kuna uhusiano mkubwa kati ya falsafa ya dini na maendeleo jamii husika, mfano kwa nini zanzibar haijaendelea kama mauritius kwa mfano?
Watoto wakiwa darasani zanzibar wamevaa hijab
View attachment 2867594
Usafiri mwendokasi mjini Tunis
View attachment 2867600
Naona wameamua kudhirisha chuki zao wazi wazi siku baada ya sikuChuki! chuki! chuki!
Kwanini usitamani sikumoja aje kiongozi Apige marufuku UVAAJI WA VIMINI!? Na Kwa wanafunzi Apige marufuku wavulana kuvaa vipensi Shuleni!? Na wanafunzi Wasichana wasio na hijabu watimuliwe!!
Ili kuwe na huo uwiano unaoutaka!?
Ila vazi la hijabu #LINAWAKASIRISHA Mpaka mishipa inawavimba....
𝙠𝙪𝙛𝙚𝙣𝙞 𝙣𝙖 𝙘𝙝𝙪𝙠𝙞 𝙯𝙚𝙣𝙪.
Hijabu imeruhusiwa Rasmi kutumika taasisi za serikali wakati wa Mwinyi. Athari kubwa ni mgawanyiko wa taifa ukienda maofisini, mashuleni wavaa hijab wanajenga taswira ya udini. Unaweza ukadhani ni ofisi ya waislamu kumbe ya serikali.Miaka zaidi ya 60 tokea mupate huo unaoitwa uhuru lini umewahi kuona athari hasi ya hijab?
Nakama umeiona ni ipi?
Sio kweliHijabu imeruhusiwa Rasmi kutumika taasisi za serikali wakati wa Mwinyi. Athari kubwa ni mgawanyiko wa taifa ukienda maofisini, mashuleni wavaa hijab wanajenga taswira ya udini. Unaweza ukadhani ni ofisi ya waislamu kumbe ya serikali.
Hawaelewi hili wengi wao ikiwemo mtoa madaKuna watu wanachanganya dini na culture.
Waarabu wanavaa kanzu , baraghashia na hijabu kutokana na hali ya hewa kule kwao ni asili ya jangwa hivyo mavazi yale ni ideal.
Ila kuna watu wengine wanachukulia kuvaa hivyo ndio dini yenyewe.
Mada inahusiana na hijabu lakini wala sio niqabuZanzibar Mji Mkongwe, kuna maduka mengi, tena ya waislam, na wengine wana asili ya Uarabuni, kwenye maduka yao, nje wameweka vibao, "Ninja marufuku kuingia dukani". Mmoja alionekana kuwa very friendly, nikamwuliza wanamaanisha nini, na kwa nini? Akanijibu kuwa ninja ni yale mahijabu yanayoficha sura wanayovaa wanawake. Akasema wengi wao ni watu waovu. Wanafanya uhalifu ikiwa ni pamoja na kuiba vitu madukani na kuficha kwenye yale manguo yao, halafu hata ukiwa na security camera huwezi kumtambua.
Ikanikumbusha jamaa mmoja msabato aliyezaa na binti ya ustaadhi. Akasema mzazi mwenziye huyo akiwa bado msichana, muda mwingine alikuwa anavaa mtandio wa kawaida, ila alipokuwa anataka kuja kwa huyo bwana, ili asitambulike, alikuwa akijivika hijab ya nguvu, kuificha sura yote.
Nanyie huko kwenu mnalemazwa nanini au mnaongozwa na mas haf kama katiba ya nchi😀🤣😀Serikali kuongozwa kidini hulemaza sana taifa, kwa mfano Iran ni watu wenye akili ila wanacheleweshwa sana na dini ya Kiislamu, sasa hivi wangekua supapawa.
Na wale masister nao wanavaa ili kuuonesha uislam wao?Ungeelewa vizuri uvaaji wa hijabu ni unafki na ubaguzi. Wengine maandiko yetu yanatuasa kuwa ukisali unaongea na babako aliye sirini, sala zako zisikike, ukitoa sadaka kwa mkono wa kulia hata mkono wa kushoto usijue. Ss wanaovaa hicho kitambaa wanataka wajulikane ni waislam, unafiki na upumbavu hakuna zaidi ya hapo. Mengine ni matangazo ya dini. Wataacha tu nchi yetu bado changa.