Tunisia nchi tajiri Afrika, hairuhusu hijab, kwanini?

Tunisia nchi tajiri Afrika, hairuhusu hijab, kwanini?

Haya mambo ya hijabu yamekuja miaka ya karibuni baada ya kuibuka Islamic fanatism. Mimi nilisoma sekondari ya kiislamu hapa dar, mabinti hawakuwa wakivaa mavazi ya kidini enzi hizo kama ilivyo leo
Sasa ndio tunapata picha kamili
Kuwa huu mjadala ni wa kuijadili hijabu inayovaliwa na wanafunzi wa kiislamu tena bila shuruti specially kwenye shule zisizo za kiislamu.
Na sio kulinganisha uchumi wa Tunisia na Zanzibar ?
 
Tunisia ni nchi iliyoendelea zaidi Afrika in terms of economic competivenes, na kama hilo halitoshi Tunisia ni majority waislamu hivyo unaweza hata kuuita an islamic republic kama uwingi wa waislamu ni kigezo but there is a catch, Tunisia hairuhusu wanawake kuvaa hijab shuleni, ofisini au sehemu yoyote ile inayoheshimika, swali ni kwamba kwa nini?

Binafsi naamimi kuna uhusiano mkubwa kati ya falsafa ya dini na maendeleo jamii husika, mfano kwa nini zanzibar haijaendelea kama mauritius kwa mfano?

Watoto wakiwa darasani zanzibar wamevaa hijab
View attachment 2867594

Usafiri mwendokasi mjini Tunis
View attachment 2867600
Ila nyie jamaa either washamba na watupu kichwani ama mnapotosha makusudi, Tunisia haijaban Hijab Bali imeban Niqab vitu viwili tofauti. Kilichokuwa banned ni kujifunika ukabaki macho tu, wanafunzi Bado wanajifunika vichwa. Na si mnasema Waisilamu/waarabu watupu ila mkileta mada zenu za bias mnawasifia sio?
 
Tunisia ni nchi iliyoendelea zaidi Afrika in terms of economic competivenes, na kama hilo halitoshi Tunisia ni majority waislamu hivyo unaweza hata kuuita an islamic republic kama uwingi wa waislamu ni kigezo but there is a catch, Tunisia hairuhusu wanawake kuvaa hijab shuleni, ofisini au sehemu yoyote ile inayoheshimika, swali ni kwamba kwa nini?

Binafsi naamimi kuna uhusiano mkubwa kati ya falsafa ya dini na maendeleo jamii husika, mfano kwa nini zanzibar haijaendelea kama mauritius kwa mfano?

Watoto wakiwa darasani zanzibar wamevaa hijab
View attachment 2867594

Usafiri mwendokasi mjini Tunis
View attachment 2867600
Niliwaambia waisihalamu wa tz hijabu mashuleni ni kosa na upumbavu mkubwa sana kwa taifa letu aliye leta wazo la hijabu kwenye mashule alistaili kunyongwa kwa sababu mambo kama hayo yana zalisha taifa lenye ushabiki kidini na kuligawa taifa
 
Kwahiyo hijab inamfanya binti asisikie au inauzuia ubongo?
Wakati sisi tunasoma mambo ya hijabu ayakuwepo ila mabinti walikuwa siyo malaya kama hawa wa sasa licha ya kuvaa hijabu ....tatizo watu wanapenda sana uarabu... dini ni tabia za nyoyoni na siyo mavazi ...TATIZO WA AFRIKA NI MASHABIKI WA DINI
 
Huu mlinganisho ni wa kijinga na kipumbavu
Hii inaonyesha jinsi gani ulivyo imbecilic humanoid
Zanzibar hawalazimishi watoto wa kiislamu kuvaa hijab, na hakuna sheria inayowataka kufanya hivyo mashuleni.
Wewe ni mpumbavu mmoja unataka kuchochea mjadala kidini.
Ndugu yangu mkristo anaishi Zenji

Watoto ni marufuku kwenda shule bila hijab unarudishwa nyumbani iwe mkristo au muislam

Watoto wake wanavaa sababu hawana jinsi plus somo la elimu ya dini ni lazima.
 
Si nenda kawaulize? wewe na wajinga wenzako hamfurahi mpaka muone Tanzania imetumbwikia kwenye migogoro ya kidini!
wap kaitaja Tanzania ? Je Hijab ndo italeta mgogoro wa kidini , je Tz hijab ni lzm kwa wanafunz au maofisin ? hv waislam nan kawaloga ? kichwan huwa mpo watupu kbs
 
Binafsi naona aliyeruhusu hijab Tanzania hakuwa na mapenzi mema ya taifa hili. Hili ni bomu litauwa taifa siku za usoni. Hijab inaonesha wazi taifa lilivyogawanyika kidini. Katika mstakabali wa taifa Faida ya hijab ni ndogo kuliko hasara.
Naombea aje kiongozi jasiri apige marufuku hijab na kutumia majina ya kidini tutumie majina ya asili Kwa mfano Fyandomo Mwakalasya
hii ilishawakuta Rwanda
 
Huu mlinganisho ni wa kijinga na kipumbavu
Hii inaonyesha jinsi gani ulivyo imbecilic humanoid
Zanzibar hawalazimishi watoto wa kiislamu kuvaa hijab, na hakuna sheria inayowataka kufanya hivyo mashuleni.
Wewe ni mpumbavu mmoja unataka kuchochea mjadala kidini.
Zanzibar ni lzm acha ubish wa kijinga
 
Huu mlinganisho ni wa kijinga na kipumbavu
Hii inaonyesha jinsi gani ulivyo imbecilic humanoid
Zanzibar hawalazimishi watoto wa kiislamu kuvaa hijab, na hakuna sheria inayowataka kufanya hivyo mashuleni.
Wewe ni mpumbavu mmoja unataka kuchochea mjadala kidini.
wakijaga bara na wakafikia kwa wakristu huwa hawazivai muda mwingine , hijab inaficha uchaf wa kichwan muda mwingine
 
==

Kwahiyo hijab inamfanya binti asisikie au inauzuia ubongo?


20141018_MAP004_0.jpg
 
Chuki! chuki! chuki!

Kwanini usitamani sikumoja aje kiongozi Apige marufuku UVAAJI WA VIMINI!? Na Kwa wanafunzi Apige marufuku wavulana kuvaa vipensi Shuleni!? Na wanafunzi Wasichana wasio na hijabu watimuliwe!!

Ili kuwe na huo uwiano unaoutaka!?

Ila vazi la hijabu #LINAWAKASIRISHA Mpaka mishipa inawavimba....

𝙠𝙪𝙛𝙚𝙣𝙞 𝙣𝙖 𝙘𝙝𝙪𝙠𝙞 𝙯𝙚𝙣𝙪.
hakuna anaeruhusu vimini , sio makanisani wala mtaani , ila hijab inaleta utofauti ktk jamii , km una akili ndogo hutoelewa mpk bomu likilipuka ndo utakuja kuelewa , pia hiz nguo zenu waislam zinatunza uchaf sana , nliwai pita na demu mmoja wa kiislam nlikuta nywele chafu sana yaan zinanuka mpk radha ya show ilikata nlipiga kimoja nkamdanganya nmeitwa job nkampa mpunga wa kumpunguza mawazo kila mtu akapita njia yake
 
Kwa nn usiseme kuvaa visketi vifupi inafanywa na wagalatia ila inalazimishwa kwa watu wote ,ina maana shule zinazovaa ina rasimisha ugalatia kuliko dini yeyote ile..

Ina maana kuvaa visketi vifupi ni ugalatia mbona watu wakibaa visketi waislamu hawasemi huko shule? Kuvaa muislamu inaonekana ni udini ila nyie mmevaa miaka na miaka hivyo visketi vyenu 🤣😅⚰️

Hakuna sheria ya Tz imemlazimu mwanamke kuvaa hijabu ,kama anataka atavaa ile imetolewa kama ruhusu tu watu kuvaa ila sio lazima yale ni mavazi ya aina mbili ,kila moja na sheria zake .

Mavazi yeyote ile unaweza kuvaa , waislamu wanafuata hijab basi ni haki yao nyie vaeni hivyo visketi vyenu wala hamna shida wote mulemule
 
hakuna anaeruhusu vimini , sio makanisani wala mtaani , ila hijab inaleta utofauti ktk jamii , km una akili ndogo hutoelewa mpk bomu likilipuka ndo utakuja kuelewa , pia hiz nguo zenu waislam zinatunza uchaf sana , nliwai pita na demu mmoja wa kiislam nlikuta nywele chafu sana yaan zinanuka mpk radha ya show ilikata nlipiga kimoja nkamdanganya nmeitwa job nkampa mpunga wa kumpunguza mawazo kila mtu akapita njia yake
Yale mawigi plus nyie hamchambi chanzo cha UTI sugu husemi ...Kanisani mtu anaingia na viatu vina mavi ya kuku ,mtu anakojoa haoshi mtupu mpaka chupi zina ramani kuwa makini.

Kama ingekuwa nyie hamtaki kufunika kichwa hizo nywele zenu ,msingekuwa mnavaa mawigi yale ni machafu yani nikila mtu kavaa yale madude naweza kutapika kwa sababu ni nywele za maiti.
 
Si nenda kawaulize? wewe na wajinga wenzako hamfurahi mpaka muone Tanzania imetumbwikia kwenye migogoro ya kidini!
Kuna jambo haliko sawa
Nilidhania mie tu naona tofauti na wengine wengi
Ila kuna wapuuzi wachache wameona kwenye siasa sio rahisi wanatafta upande wapili
Nimewaza tu
 
Binafsi naona aliyeruhusu hijab Tanzania hakuwa na mapenzi mema ya taifa hili. Hili ni bomu litauwa taifa siku za usoni. Hijab inaonesha wazi taifa lilivyogawanyika kidini. Katika mstakabali wa taifa Faida ya hijab ni ndogo kuliko hasara.
Naombea aje kiongozi jasiri apige marufuku hijab na kutumia majina ya kidini tutumie majina ya asili Kwa mfano Fyandomo Mwakalasya
Kwa iyo hata jina langu la 2pak niachane nalo[emoji848]
 
Hakuna nchi inayoweza kuban hijab labda niqad kwa sababu hijabu haina tatizo ni vazi kama mengine..

Huwezi kuwa na akili timamu ukafungia hijab hata uwe mdini kwa sababu hakuna dini ambayo hawavai hijab...Sio manasara wale masister wao wanavaa tena .

Huwezi kufungia hijab ukaruhusu mawigi😅😅...Mawigi ni machafu na utapeli mkubwa
 
Back
Top Bottom