Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bufoon!Zanzibar ni lzm acha ubish wa kijinga
Unatengeneza ujingaNdugu yangu mkristo anaishi Zenji
Watoto ni marufuku kwenda shule bila hijab unarudishwa nyumbani iwe mkristo au muislam
Watoto wake wanavaa sababu hawana jinsi plus somo la elimu ya dini ni lazima.
Wawe supapawa mara ngapi....!!!! Ukiona taifa linaogopewa na huyo unaemtambua wewe kama supapawa ujue hilo taifa nalo ni supapawaSerikali kuongozwa kidini hulemaza sana taifa, kwa mfano Iran ni watu wenye akili ila wanacheleweshwa sana na dini ya Kiislamu, sasa hivi wangekua supapawa.
Tunisia ni nchi iliyoendelea zaidi Afrika in terms of economic competivenes, na kama hilo halitoshi Tunisia ni majority waislamu hivyo unaweza hata kuuita an islamic republic kama uwingi wa waislamu ni kigezo but there is a catch, Tunisia hairuhusu wanawake kuvaa hijab shuleni, ofisini au sehemu yoyote ile inayoheshimika, swali ni kwamba kwa nini?
Binafsi naamimi kuna uhusiano mkubwa kati ya falsafa ya dini na maendeleo jamii husika, kwa nini zanzibar haijaendelea kama mauritius kwa mfano?
Watoto wakiwa darasani zanzibar wamevaa hijab
View attachment 2867594
Usafiri mwendokasi mjini Tunis
View attachment 2867600
Unakosea sana kwa kutueleza kuwa wanaovaa kile kitambaa ni waislam huku ukijua kabisa ya kwamba masista wa kikatoliki wanavaa pmj na wafuasi wa kakobe nao wanavaaUngeelewa vizuri uvaaji wa hijabu ni unafki na ubaguzi. Wengine maandiko yetu yanatuasa kuwa ukisali unaongea na babako aliye sirini, sala zako zisikike, ukitoa sadaka kwa mkono wa kulia hata mkono wa kushoto usijue. Ss wanaovaa hicho kitambaa wanataka wajulikane ni waislam, unafiki na upumbavu hakuna zaidi ya hapo. Mengine ni matangazo ya dini. Wataacha tu nchi yetu bado changa.
Kwanini nchi za Ghuba zenye utajiri wa mafuta zina maendeleo makubwa kuliko nchi zenye utajiri wa mafuta kama Nigeria, Angola n.k.....hapa pia dini inahusika ?
Kwanini nchi kama Malaysia, Singapore zina maendeleo kuliko mataifa mengi ya Africa ukikusanya kwa pamoja, hapa pia utataja dini ?
MBONA UNAKWEPA WEWE MKOSA RINDA! KAFIRI MKUBWA WEWE UMESAHAU YESU MUNGU MTU WENU JUZI JUZI AMETOA AMRI MUWE MASHOGA MAKAFIR WOTE ULIMWENGUNI
Huko kwenu msipovaa hijab na kubishiana dini mumeizidi nini saudia?kama kutwa mnashindia kuvalishana mahijabu na kujadili dini maendeleo mtayatoa wapi
Mtoa mada ndio hajielewiWenzetu wanajiaelewa sana hakuna kuchanganya dini siasa na reality...
Unalijua joto la Jangwa wewe hadi nyuzi 50, Hapa dar tu joto likipanda hadi 36 unaweza vua nguo zote ubaki na boksa sembuse huko kwenye majangwa? Hijab sio vazi la waarabu ni vazi la kiisilamu, kabla Amri ya Hijab haijaja hawakuwa wakivaa na mpaka kesho waarabu wakristo hawavai ama waisilamu ambao sio religious.Kuna watu wanachanganya dini na culture.
Waarabu wanavaa kanzu , baraghashia na hijabu kutokana na hali ya hewa kule kwao ni asili ya jangwa hivyo mavazi yale ni ideal.
Ila kuna watu wengine wanachukulia kuvaa hivyo ndio dini yenyewe.
Katika suala la kuendelea hapo Kaka umetereza.Tunisia ni nchi iliyoendelea zaidi Afrika in terms of economic competivenes, na kama hilo halitoshi Tunisia ni majority waislamu hivyo unaweza hata kuuita an islamic republic kama uwingi wa waislamu ni kigezo but there is a catch, Tunisia hairuhusu wanawake kuvaa hijab shuleni, ofisini au sehemu yoyote ile inayoheshimika, swali ni kwamba kwa nini?
Binafsi naamimi kuna uhusiano mkubwa kati ya falsafa ya dini na maendeleo jamii husika, kwa nini zanzibar haijaendelea kama mauritius kwa mfano?
Watoto wakiwa darasani zanzibar wamevaa hijab
View attachment 2867594
Usafiri mwendokasi mjini Tunis
View attachment 2867600
Katika suala la kuendelea hapo Kaka umetereza.
Egypt Ina maendeleo kuliko Tunisia .
Labda useme Tunisia ndio inapiga hatua za maendeleo YA kiuchumi Ila haijaendelea kama usemavyo.
Tunisia ndio nchi YA kwanza Afrika ikifuatiwa na Morocco kuwa Na illegal migrants kuelekea Ulaya Kwa ukosefu mkubwa Wa ajira Na Maisha magumu.
Ulikuwepo kabla ya Amri ya kuvaa hijabu??Unalijua joto la Jangwa wewe hadi nyuzi 50, Hapa dar tu joto likipanda hadi 36 unaweza vua nguo zote ubaki na boksa sembuse huko kwenye majangwa? Hijab sio vazi la waarabu ni vazi la kiisilamu, kabla Amri ya Hijab haijaja hawakuwa wakivaa na mpaka kesho waarabu wakristo hawavai ama waisilamu ambao sio religious.
Achana Na hao raia Wa Afrika magharibi Na Afrika ya Kati wanaotumia mkondo Wa Bahari ya Tunisia Kama njia.illegal immigrants Tunisia wanapita kutokea sub saharan afrika kama vile waethiopia wanavyopita tanzagiza kwenda afrika kusini, misri …
hakuna anaeruhus kuvaa nywele za marehem , hayo mawigi wavaaj wakubwa ni waislamYale mawigi plus nyie hamchambi chanzo cha UTI sugu husemi ...Kanisani mtu anaingia na viatu vina mavi ya kuku ,mtu anakojoa haoshi mtupu mpaka chupi zina ramani kuwa makini.
Kama ingekuwa nyie hamtaki kufunika kichwa hizo nywele zenu ,msingekuwa mnavaa mawigi yale ni machafu yani nikila mtu kavaa yale madude naweza kutapika kwa sababu ni nywele za maiti.
Tukahesabu Kanisani na msikitini 😅😅😅😅..Huwezi kuyakuta msikitini labda muislamu jina.hakuna anaeruhus kuvaa nywele za marehem , hayo mawigi wavaaj wakubwa ni waislam
Kwani lazima niwepo ili nijue, Vitabu vya historia na wataalamu wa historia wapo kwa ajili hioUlikuwepo kabla ya Amri ya kuvaa hijabu??
Nioneshe hicho kitabu .Kwani lazima niwepo ili nijue, Vitabu vya historia na wataalamu wa historia wapo kwa ajili hio