Tunisia nchi tajiri Afrika, hairuhusu hijab, kwanini?

Tunisia nchi tajiri Afrika, hairuhusu hijab, kwanini?

Umesahau! Tanzania wakati wote wa utawala wa Nyerere ilikuwaje? Sheria zilikuwa ni hizo hizo katika maeneo hayo hayo wanawake hawakuruhusiwa kuvaa Hijab. Lakini kwa Uwezo wa Allah, leo Tanzania bila Nyerere wanawake wamepata haki yao. Anayetaka avae, na asiyetaka asivae. Nfikiri hii ndio demokrasia. Halikadhalika Uturuki kabla ya miaka 20 iliyopita nayo ilipiga marufuku Hijabu, Leo ni hiari, unataka vaa, hutaki kichwa wazi.

Masuala ya M Mungu yanataka Subira, Insha Allah, wakati utafika tena kwa amani nao wataruhusiwa kuvaa hijab! Kama Tanzania na Uturuki walitatua suala hilo kwa amani, na Tunisia itakuwa hivyo, Insha Allah!
Achana na huyo mtoa mada

Tunisia hawajazuia hijab badala yake wamezuia burqa au niqabu

Sidhanii ama sijui uislam unalazimisha ama unongeleaje burqa
 
Kwahiyo neno kufila linatokana na ufirauni? Yaani kitendo chenye 'L' kitokane na neno lenye 'R'
Une

Umeishajiuiza kwa nini Papa karuhusu Ushoga kupatizwa Kanisani kufungua ndoa Kanisani wewe umekusaidia nini au umekuwa shoga mkongwe.

labda na mimi nikuulize kwa nini ma gay maarufu karibia wote tanzagiza ni waislamu? kwa nini ufirauni upo sehemu ambazo ni predominantly muslims kama magomeni kulikuwa hata na baa ya ufirauni ya macheni wote waislamu akina anti mudi sasa hivi marehemu walikuwa maarufu na wote walikuwa waislamu, ilala, temeke, kinondoni huko ndiyo ufirauni ulikokithiri na makazi ya waislamu kwa nini unafikiri? Zanzibar 98% muslims ufirauni kama wote, au hata tanga kwa nini unafikiri?

ulishawahi kusikia ufirauni sehemu kama kigamboni?
kwa nini husikii ufiraini sehemu kama kimara au mbezi ?

kwa nini huwezi kusikia ufirauni sehemu kama Mbeya au hata Songea?

hata hapo kenya sehemu yenye ufirauni ni mombasa unafikiri ni kwa nini?
 
Hii unajua wewe, na mashogha yapo mauslamu na makristo

Shida yako nini?

Jenga hoja, hiyo haitakusaidia kuiepuka jehanamu kwa kuwa msemaji wa mashogha na wewe usipoacha ushogha
WEWE MKOSA RINDA HUNA LA KUNIAMBIA NENDA UKAWAFUNDISHE MASHOGA WENZAKO MAKANISANI MKIWA MNAPEWA BARAKA
 
Iran wana akili kutuzidi, waneguka mbali isingekua kwa uzombi wa hiyo dini ya muarabu.
Wewe mbuzi kenya
Umeng'ang'ania Iran wana akili kwahiyo wewe ni mbulula AKA nyani aliyechangamka
Ndio maana East Africa yote imejaa manabii wa kitapeli, vipi wewe hukupita kwa paul mckenzie, yaani hata hiyo surname yake mwenye akili anashtukia,lakini kwa vile nyinyi mlishajikubali ni nyani ndio maana alizika mbulula za kutosha.
 
Binafsi naona aliyeruhusu hijab Tanzania hakuwa na mapenzi mema ya taifa hili. Hili ni bomu litauwa taifa siku za usoni. Hijab inaonesha wazi taifa lilivyogawanyika kidini. Katika mstakabali wa taifa Faida ya hijab ni ndogo kuliko hasara.
Naombea aje kiongozi jasiri apige marufuku hijab na kutumia majina ya kidini tutumie majina ya asili Kwa mfano Fyandomo Mwakalasya
Kwani Othman Kapuya hayupo humu 😀😀 maana ndiyo muasisi
 
Binafsi naona aliyeruhusu hijab Tanzania hakuwa na mapenzi mema ya taifa hili. Hili ni bomu litauwa taifa siku za usoni. Hijab inaonesha wazi taifa lilivyogawanyika kidini. Katika mstakabali wa taifa Faida ya hijab ni ndogo kuliko hasara.
Naombea aje kiongozi jasiri apige marufuku hijab na kutumia majina ya kidini tutumie majina ya asili Kwa mfano Fyandomo Mwakalasya
Mm nikiwa Rais nafuta hijab na masomo ya dini shuleni
 
Chuki! chuki! chuki!

Kwanini usitamani sikumoja aje kiongozi Apige marufuku UVAAJI WA VIMINI!? Na Kwa wanafunzi Apige marufuku wavulana kuvaa vipensi Shuleni!? Na wanafunzi Wasichana wasio na hijabu watimuliwe!!

Ili kuwe na huo uwiano unaoutaka!?

Ila vazi la hijabu #LINAWAKASIRISHA Mpaka mishipa inawavimba....

𝙠𝙪𝙛𝙚𝙣𝙞 𝙣𝙖 𝙘𝙝𝙪𝙠𝙞 𝙯𝙚𝙣𝙪.
Mtoto ana miaka 7 unamvisha hijab na dar es salaam Kuna joto sana.
Islam ni ushetani
 
Mtoto ana miaka 7 unamvisha hijab na dar es salaam Kuna joto sana.
Islam ni ushetani
Kuna ushetani kuzidi huu?
1705009671414.png
 
Inawezekana ni kweli uzombi wa dini ya kiislamu umewalemaza .....unaweza kunitajia ambao hawana huo uzombi wa dini ya kiislam ila wamewashinda au hata kuwakalibia hao Marekani ktk hiyo medani ila usinitajie dubu ....maana yule yupo ktk anga la peke yake

Nakuambia Persians walikua geniouses tangu enzi na enzi, na kilichowaponza ni uzombi wa hiyo dini, hebu waza licha ya uzombi wa dini ila bado kiana wamefanikisha makubwa, je wangekua huru?
 
Waisome hii mazombi wa kidini kama brazaj Bwana Utam
1. Hakuna popote ninazungumzia dini wala kuwa na mahaba na taifa lolote la kigeni, zaidi ya kusimama na haki.

2. Uko wapi ushahidi popote kunihusisha na dini yoyote au mahaba na taifa lolote?

3. Ni wazi kuwa kutaka kunihusisha kwenye utopolo wowote wa huyo ndugu Mdusi94 ni mwendelezo wa ma zombie Yale yale kuongozana:

FutD12pWIAEjDDU.jpeg
 
1. Hakuna popote ninazungumzia dini wala kuwa na mahaba na taifa lolote la kigeni, zaidi ya kusimama na haki.

2. Uko wapi ushahidi popote kunihusisha na dini yoyote au mahaba na taifa lolote?

3. Ni wazi kuwa kutaka kunihusisha kwenye utopolo wowote wa huyo ndugu Mdusi94 ni mwendelezo wa ma zombie Yale yale kuongozana:

View attachment 2869204

Aaah wapi zombi wa kidini tangu mwanzo...
 
Back
Top Bottom