Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Hao sio waislamu ...Kwa sababu uislamu una nguzo ya sala lazima watimize ,wana majina ya kiislamu ila sio waislamu.nenda mbagala wadada wadangaj wengi wanavaa dela na baibui mchana jion ndo mavazi yao kwenda kudanga
Yote tisa jina halimfanyi mtu kuwa muislamu wala wazazi wake, yeyote atakayetamka shahada na kufuata uislamu ni muislamu.