TUNU PINDA: Profile

Anatoka Tabora. Baba yake alikuwa fundi wa magari ya Ikulu enzia ya mwalimu Nyerere na Pinda alimpatia huko, kwa sababu yeye alikuwa Ikulu alikofanya kazi zaidi ya miaka 20 kama mmoja wa MAAFISA USALAMA.

Heko Mwana JF na Kwa Kuongezea tu Kidogo ni Kwamba hata Bibie Tunu Nae ni Mwana Edward Snowden Mzuri tu Kwa Hapa Kwetu TISS. Yupo Vizuri Sana ktk Fani au Kazi Hiyo na Hata Handsome Boy Mtoto wa Mkulima Alimpatia Kazini Humo Humo baada Ya Kufiwa na Mke Wake Wa Kwanza.
 
daaaaah JF noma kwa kweli aiseee yaaani unapachika jina watu wana data zote ......
 
Kweli JF raha sana aisee.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Anatoka Tabora. Baba yake alikuwa fundi wa magari ya Ikulu enzia ya mwalimu Nyerere na Pinda alimpatia huko, kwa sababu yeye alikuwa Ikulu alikofanya kazi zaidi ya miaka 20 kama mmoja wa MAAFISA USALAMA.
c kweli anatokea mkoa wa Mara (Mkurya)
 
Dr Slaa analipwa ruzuku kutokana na kodi yetu vile vile, na anabeba wa wengine, na kujikopesha kujenga nyumba.
Hapo vipi?

Dr. Slaa kama YESU KRISTO, ANATAJWA KILA SAA NA KILA DAKIKA, nawe poti lazima unamuota kuwa ni kiongozi ajaye. Lakini siyo wagonjwa wa kiharusi EL na PM who is immunecompromise
 

kumbe alikuwa msela au bachela au singo.mkapa nae alikuwa hivyohivyo
 
Wananchi wanataka kuona kama kweli pinda napata ushauri pindi atokapo ndani au ni ule wa akina nkamia na komba tu ndo anoutumia. Unaju ukiwa na mke kichwa hata siku moja huwezi kwama katika utekelezaji wa shughuli zako za kila siku.Sasa huyu mzee kila kukicha afadhali ya jana katika utendaji.
ni utovu wa nidham tu hakuna kitu hapo ,, sasa cv ya huyu mama inatuhusu nini sisi,, wekeni na za watu wanao wahusu, kama wake zenu,, mama zenu,, na kaka, wajomba kila mtu hapa aweke cv ya mtu anaemhusu,, utoto tu hakuna kingine
 
Anaitwa Mzee Abdallah Rehani na anaishi Tabata.
Now I understand kwanini Pinda alisimama mbele ya hadhara na kuanza kusimulia hadithi ya Paulo na Sila aliyodai inapatikana katika Zaburi!


tragedy of the commons
 
Hsgo ganabuzu nini sasa watu kikosa kazi duuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…