TUNU PINDA: Profile

TUNU PINDA: Profile

Anatoka Tabora. Baba yake alikuwa fundi wa magari ya Ikulu enzia ya mwalimu Nyerere na Pinda alimpatia huko, kwa sababu yeye alikuwa Ikulu alikofanya kazi zaidi ya miaka 20 kama mmoja wa MAAFISA USALAMA.

Heko Mwana JF na Kwa Kuongezea tu Kidogo ni Kwamba hata Bibie Tunu Nae ni Mwana Edward Snowden Mzuri tu Kwa Hapa Kwetu TISS. Yupo Vizuri Sana ktk Fani au Kazi Hiyo na Hata Handsome Boy Mtoto wa Mkulima Alimpatia Kazini Humo Humo baada Ya Kufiwa na Mke Wake Wa Kwanza.
 
daaaaah JF noma kwa kweli aiseee yaaani unapachika jina watu wana data zote ......
 
Kweli JF raha sana aisee.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Anatoka Tabora. Baba yake alikuwa fundi wa magari ya Ikulu enzia ya mwalimu Nyerere na Pinda alimpatia huko, kwa sababu yeye alikuwa Ikulu alikofanya kazi zaidi ya miaka 20 kama mmoja wa MAAFISA USALAMA.
c kweli anatokea mkoa wa Mara (Mkurya)
 
Dr Slaa analipwa ruzuku kutokana na kodi yetu vile vile, na anabeba wa wengine, na kujikopesha kujenga nyumba.
Hapo vipi?

Dr. Slaa kama YESU KRISTO, ANATAJWA KILA SAA NA KILA DAKIKA, nawe poti lazima unamuota kuwa ni kiongozi ajaye. Lakini siyo wagonjwa wa kiharusi EL na PM who is immunecompromise
 
La hasha kutokana na mtiririko wa thread hapo juu ni kwamba pinda ilipofika time ya kupewa cheo ilibidi watu wa kitengo maalum pale St Peter (TISS) wafanye juhudi za kumwozesha kwani alikuwa bachela

sasa katika hiyo shortlist kulikuwa na potential spouses 3

lakini wakatumia njia ya X-Factor akashinda huyo Tunu....lakini kukawa na tatizo ambalo Mtoto wa Mkulima aliliweka wazi kuwa hawezi oa mtu ambaye si wa dini yake....(Proof kuwa Pinda naye ana msimamo ) na huyu bibie kuona kuwa alaaaa kumbe kuna ulaji na dini yake ya kiislam akaachana nayo tena kwa maulid (hilo la maulid sina uhakika nalo)

Lakini kuna maneno kuwa huyu Bi Tunu alikuwa ni devout Muslim na aliwahi kuhiji ndio maana jina lake kule Tabata Ni HAJJAT (sema sina hakika kma wanamwita Hajjat nani au wanamwita BINTI ABDALLAH...kwa heshma ya baba yake0

Sasa kwa mtazamo wa ki saikolojia ni napata picha 2 nazo ni:

1. Mtoto wa Mkulima anao msimamo na anaweza kufanya maamuzi mazito kwa manufaa ya taifa lakini tatizo lake kwa miaka hii 2 iliyobaki hataki kuudhi mawaziri wengine

2. Binti Abdallah aka Bi Tunu aka HAJJAT ni very strong kimsimamo na hasa pale alipoamua kumfuata mumewe na kubadili dini (kwa mapenzi yake kwa mtoto wa mkulima na pia kwa kufuata ulaji...hata mie ningebadili dini)...hivyo basi HAJJAT na nguzo imara nyuma ya mtoto wa mkulima kwani aliweza kufanya maamuzi MAGUMU


labda kwa kuendelea kuufanya huu uzi unoge mimi nina maswali mawili ;

1. JE MTOTO WA MKULIMA ANAZO AMBITIONS ZA KUINGOZA NCHI HII IN 2015 (hata mie nikipata nafasi ya kuongoza watu milioni 45 na nijilie sikatai)


2. JE HAJJAT aka TUNU PINDA aka BINTI ABDALLAH alikuwa anaitwa nani kabla hajaolewa na Mtoto wa Mkulima?


na swali la mwisho la nyongeza....kwenye ile mipango ya ku connect the dots....kuna uwezekano kuwa HAJJAT alienda kuchukua degree yake kama preparation za kuwa First Lady in 2015?



JF.....where we dare talk openly when we are bored with real life

kumbe alikuwa msela au bachela au singo.mkapa nae alikuwa hivyohivyo
 
Wananchi wanataka kuona kama kweli pinda napata ushauri pindi atokapo ndani au ni ule wa akina nkamia na komba tu ndo anoutumia. Unaju ukiwa na mke kichwa hata siku moja huwezi kwama katika utekelezaji wa shughuli zako za kila siku.Sasa huyu mzee kila kukicha afadhali ya jana katika utendaji.
ni utovu wa nidham tu hakuna kitu hapo ,, sasa cv ya huyu mama inatuhusu nini sisi,, wekeni na za watu wanao wahusu, kama wake zenu,, mama zenu,, na kaka, wajomba kila mtu hapa aweke cv ya mtu anaemhusu,, utoto tu hakuna kingine
 
Anaitwa Mzee Abdallah Rehani na anaishi Tabata.
Now I understand kwanini Pinda alisimama mbele ya hadhara na kuanza kusimulia hadithi ya Paulo na Sila aliyodai inapatikana katika Zaburi!


tragedy of the commons
 
Hsgo ganabuzu nini sasa watu kikosa kazi duuuu
 
Back
Top Bottom