GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Anatoka Tabora. Baba yake alikuwa fundi wa magari ya Ikulu enzia ya mwalimu Nyerere na Pinda alimpatia huko, kwa sababu yeye alikuwa Ikulu alikofanya kazi zaidi ya miaka 20 kama mmoja wa MAAFISA USALAMA.
Heko Mwana JF na Kwa Kuongezea tu Kidogo ni Kwamba hata Bibie Tunu Nae ni Mwana Edward Snowden Mzuri tu Kwa Hapa Kwetu TISS. Yupo Vizuri Sana ktk Fani au Kazi Hiyo na Hata Handsome Boy Mtoto wa Mkulima Alimpatia Kazini Humo Humo baada Ya Kufiwa na Mke Wake Wa Kwanza.