Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,367
- 2,451
- Thread starter
- #41
Kigoma hiyoNenda ngara omba kibarua fanya uchunguzi kwa wahangaza wengi wanasifiwa kuwa wife material mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kigoma hiyoNenda ngara omba kibarua fanya uchunguzi kwa wahangaza wengi wanasifiwa kuwa wife material mkuu
Goma wanawake wamenyooka sana na wameshika diniCongo aingia GOMA hautajutia
Wakiwa bongo hatuwajui wengi Wana behave kama wabongoKwanini uende mbali hivyo wakati wakongo, warwanda tupo hapahapa Bongo
Alipotoa namba tu palepale akufowadia na matatizo yake..Wanawake ni wale wale wale tu mkuu na wazungu waliwatetea sana na kuwekaa 50 Kwa 50 ikawapa jeuri haswaa ...
Ss Ili ww wasikupe presha lipia huduma akupee unachokitaka kwakee nawe mpe pesa yakee pitaa hv,,njee na hapo n Kila cku utauliza uoe wapii..
Jana nimekutana na mmoja hapo shamo tower nikachukua namba ,kufika mchana naombwa lakii ,HAKI nililiaa sanaaa
Naam jembe languKataa ndoa mkuu....
Ndoa ni ukatili...
Mfumo umeshabadilkaa mkuu ,huna budi kwenda mfumo unavyotakaa ,,😂Duh lakini haitakiwi kuoa mwanamke kwaajili ya pesa
KATAA NDOA LINDA UHURU WAKOFormula ile ile.
NAMI nililiaa Sanaa maana lakii n nyingiiii wakt n mshahara wa ufagiaji na kupigaa dekii mazingiraa hapa mkuu😀😀😀Alipotoa namba tu palepale akufowadia na matatizo yake..
Kutokana na mazingira na tamaduni za watu ndio zinajenga watu kama Congo eneo la Goma wanawake wengi wanamaadili ukienda kwa wasukuma wenye maadili utaona wanavyo behave kwahiyo hata eneo Lina mchango mkubwa sana kwasababu ya maadili ya eneo fulaniBeba yeyote mkuu,kote kwa moto
Hapana mkuu mwanamke hatakiwi kunipendea pesa kwani pesa huisha ,Je siku nisipokuwa na Hela itabidi aniache aende kwa mwenye Hela?Mfumo umeshabadilkaa mkuu ,huna budi kwenda mfumo unavyotakaa ,,
Different kabs mkuu hawafanani huwezi mfananisha mu Iraqw na mmasaiWanawake ni wale wale hata ungeoa marekani
I suggest Konde are useful, based on my 20 yes experience and scientific research.Nataka nioe lakini kwa hapa bongo wanawake wengi ni hovyo. Hivyo shauku ya kuoa bongo sina kabisa nilikuwa nafikiri niende Congo ,Rwanda au Ethiopia nadhani angalau wanawake wa huko wana nidhamu na heshima
Konde ni wapi mkuu?I suggest Konde are useful, based on my 20 yes experience and scientific research.
Unaomba ushauri au unaandika warakaNataka nioe lakini kwa hapa bongo wanawake wengi ni hovyo. Hivyo shauku ya kuoa bongo sina kabisa nilikuwa nafikiri niende Congo ,Rwanda au Ethiopia nadhani angalau wanawake wa huko wana nidhamu na heshima
Nimewashindwa wengi ni wa hovyo sana 🚮🚮🚮Kwaiyo ukiachana na sisi wadada wa 90's hao wenzetu wa 2000 nao umewashindwa??