Tuoneshe your phone HOME PAGE tuone your FAVORITE APPS

Sio bundle.... ku-update inahitaji strong WI-FI na iwe kwa chaji af iwe imezimwa

mwenyewe imekua mtihan .... ila naitafutia siku yake nimalizane nayo in shaa Allah[emoji1431]
Unaeza update na data kawaida bila Wi-Fi
👇👇 omba update hakikisha mpaka unaltewa kias cha file unalotakiwa kuaupdate
Kabadili mwaka uwe ujao halafu update kama kawaida mwisho install hilo file then rudisha mwaka kama wa mwanzo
 
Unaeza update na data kawaida bila Wi-Fi
[emoji116][emoji116] omba update hakikisha mpaka unaltewa kias cha file unalotakiwa kuaupdate
Kabadili mwaka uwe ujao halafu update kama kawaida mwisho install hilo file then rudisha mwaka kama wa mwanzo

sijaelewa rafiki angu
 
Paubae5 pitia hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…