Tuoneshe your phone HOME PAGE tuone your FAVORITE APPS

Tuoneshe your phone HOME PAGE tuone your FAVORITE APPS

Mimi kuna mdogo wangu nikishika simu yake nafungua notification zote ananuna.

Niliwahi kuwa naye mmoja nikatafsiri kama aina flani ya mtu kujifanya anahitajika sana. Ndio team blue tick na no replies. Ndio wale wale anasema nakuja kesho jioni ila ikifika haji wala hasemi sababu. Mpaka umpigie mara 10 uko
Hahahahahahha ananuna sababu anaona taizi simu kuwa na notifications.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tulia kwanza.
Kuna mtu siku moja aliona namna App zangu zilivyopangwa..akaniuliza "Hii simu ni yako?"[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwamba cha msingi mawasiliano, app zitajijua zenyewe!
 
...
Screenshot_20211105-111205_One%20UI%20Home.jpg
 
Acha DHARAU DOGO [emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] asa hutaki

masimu marefu ka miche ya sabuni

by the way its okey kila mtu na interest zake[emoji847][emoji846]
 
Back
Top Bottom