Tuongee Kifamilia leo, kama unataka kuoa au kuolewa na mna imani za dini tofauti jitafakari upya

Mm Nilkua naona tu Mkristo aoe/aoelewe na Mkristo na vice versa, wanaume n wengi kila dini pia wanawake n wengi kila dini tusifanye maisha kuwa magumu.
 

Natamani wazazi wa watu wote wangelijua hili
Ila upeo wa mambo kuhusu hili wengi wanakua hawana
Watu wanapoteza wanaume au wanawake wazuri ambao wangeweza kuvumiliana kisa dini
So hurtful.
 

Nimekuelewa sana
Ndio maana haya nambo weww huyataki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…