Tuongee yajayo: Manzoki anaenda China kulipwa bilioni 1 kwa miezi 6

Tuongee yajayo: Manzoki anaenda China kulipwa bilioni 1 kwa miezi 6

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Haya sasa haina shida mzungu wetu keshazoeana na team plus kiyombo, phiri, boko hao ndiyo strikers wetu ndugu zangu tuzoeee tu hali halisi

Hili la manzoki limekwisha sasa hata dirisha dogo december haji ni uongo , hela anayolipwa china ni nyingi sana nitashangaa sana kama atakubali kurudi nyuma kuchukua vimshahara vidogo labda kama pale mwanzoni watu wangekubali kutoa ile usd 200k tungekuwa naye

Huku aliahidiwa usd 8000k a month alikubali shida ikawa kutoa transfer fee watu wakawa wanavizia wampate bure sasa wachina kwa miezi 6 wanampa billion 1 wakati simba miezi sita angepata millioni 100
zonki.JPG

UPDATES:
sssss.JPG
 
Nimeitafsiri hii Habari kwa kingereza imenipa maana tofauti, kiswahili imenipa maana nyingine, kilingala imetofautiana na hao wengine. Ngoja nijaribu Kichina nione itaniletea tafsiri gani.

Eti not yet to be named club. Hatoi mtu pesa huyu anakwenda msimbazi free. Msitake kuforce biashara vipers hawaamini kama wanapoteza mcheza bulee
 
Nimeitafsiri hii Habari kwa kingereza imenipa maana tofauti, kiswahili imenipa maana nyingine, kilingala imetofautiana na hao wengine. Ngoja nijaribu Kichina nione itaniletea tafsiri gani.

Eti not yet be named club. Hatoi mtu pesa huyu anakwenda msimbazi free. Msitake kuforce biashara vipers hawaamini kama wanapoteza mcheza bulee
inawezekana pia mkuu unachosema na chokochoko zinakuwa zinapitia kwa huyuhuyu Mugumisa ambaye inasemeka kwa Uganda ndiye mzee wa habari za ndaaaaaani
Ni kama vile management ya Mayele kwa kushirikiana na Nuhu adams wa Ghana walivyoijambisha yanga kuongeza mkataba mnono kwa madai kaizer chiefs wanamtaka
 
inawezekana pia mkuu unachosema na chokochoko zinakuwa zinapitia kwa huyuhuyu Mugumisa ambaye inasemeka kwa Uganda ndiye mzee wa habari za ndaaaaaani
Ni kama vile management ya Mayele kwa kushirikiana na Nuhu adams wa Ghana walivyoijambisha yanga kuongeza mkataba mnono kwa madai kaizer chiefs wanamtaka
kwaiyo mayele kaizer walikuwa hawamtaki⁉️
 
Jamaa punguza mihemko na huyu Manzoki, kila ukiambiwa Manzoki is Red huelewi, au hujui kizungu?
 
Hivi watanzania ujinga utatuisha lini?? Kila siku unakuja na nyuzi za manzoki kwani Africa nzima Simba mmekosa mchezaji? Huyu manzoki ana maajabu yapi kumzidi kagere au mpole? Kawa mfungaji Bora misimu mingap?.

Punguza mihemko na vitu vya kawaida, huyu anaweza akaja na akafloap vibaya.
 
Hivi watanzania ujinga utatuisha lini?? Kila siku unakuja na nyuzi za manzoki kwani Africa nzima Simba mmekosa mchezaji? Huyu manzoki ana maajabu yapi kumzidi kagere au mpole? Kawa mfungaji Bora misimu mingap?.

Punguza mihemko na vitu vya kawaida, huyu anaweza akaja na akafloap vibaya.
tulia basi acha papaar au una njaa? kureport habara ya huyu mtu ni mihemko? wenye mihemko ni hao waliohangaika naye na kukataa kutoa hela ya usajili ilihali afrika ina mastrikers wengi, kiu ya wana simba ni kupata striker mkali mwenye mbio kujua kupunguza mabeki na anayeweza kufunga hata impossible angles, hapo sijaongelea kiu ya wanasimba kupata kiungo mkali mkabaji
 
Nimeitafsiri hii Habari kwa kingereza imenipa maana tofauti, kiswahili imenipa maana nyingine, kilingala imetofautiana na hao wengine. Ngoja nijaribu Kichina nione itaniletea tafsiri gani.

Eti not yet to be named club. Hatoi mtu pesa huyu anakwenda msimbazi free. Msitake kuforce biashara vipers hawaamini kama wanapoteza mcheza bulee
sssss.JPG
 
Back
Top Bottom