Tumia piki piki ya kukodi au yako binafsiSijui tunaelekea wapi kwa foleni kali namna hii, hivi kweli unakaa foleni lisaa lizima bila kusogea hata hatua moja?! Kwanini serikali haijatangaza state of emergency mpaka dakika hii?!! Hii ni hatari, ni janga; KWA HILI NAPIGA KURA YA KUTOKUWA NA IMANI NA MAMLAKA HUSIKA, something has to be done immediately!
inamaana "" wewe " uliwahi kukaa zaidi ya huo muda ??Bora yako
Na bado mnapinga serikali kuhamia dodoma ? Hahaha, pole kwa janga, no wonder Dar es salaam inaongoza kwa watu kuugua magonjwa ya akili !Sijui tunaelekea wapi kwa foleni kali namna hii, hivi kweli unakaa foleni lisaa lizima bila kusogea hata hatua moja?! Kwanini serikali haijatangaza state of emergency mpaka dakika hii?!! Hii ni hatari, ni janga; KWA HILI NAPIGA KURA YA KUTOKUWA NA IMANI NA MAMLAKA HUSIKA, something has to be done immediately!
Sio janga kitaifa. Ni janga la dar .. kuna majanga heavy, yanagusa nchi, lazima goverment iingie kazin. Ndio maana unaona hata serikal iko kimya.Wewe huoni kuwa hili ni janga?!
Hii si hatari?!Jana palikuwa na aina ya ujenzi wa flyover pale tazara ndo ilisababisha foleni ya hatari nyerere road na Mandela road, magari yote yaliokuwa yanapita Mandela yalikuwa yanapita single lane! Hivo kusababisha gari zilizotokea upande wa buguruni kusubiri kwanza zilizotokea upande wa taifa zisimamishwe ndo wao wapite, badala ya kupishana! nilitoka ferry saa 11:40 nilifika g.lamboto saa 3: na dk. Usiku.
Makontena yanayotokea Dar yanakua na gharama kubwa sana yakishafika huko mikoani sababu ya foleni, hivyo hili ni janga la kitaifaSio janga kitaifa. Ni janga la dar .. kuna majanga heavy, yanagusa nchi, lazima goverment iingie kazin. Ndio maana unaona hata serikal iko kimya.
Nopw hiyo sio sababu ya kujitosheleza. Kisa makontenna yanayoka dar. Mbona mengine yanatokea mipakani, bandari za nchi jirani.Makontena yanayotokea Dar yanakua na gharama kubwa sana yakishafika huko mikoani sababu ya foleni, hivyo hili ni janga la kitaifa
Mfanye kama wanavyofanya Nairobi. Magari ya binafsi hayaruhusiwi kwenda city centre isipokuwa siku za week ends tu. Siku zingine wote mpande public transport except government ministers and senior government officials kwa magari ambayo plate numbers zake zinaonyesha utambulisho huo pamoja na magari ya wagonjwa. This is the best, easiest and cheapest solution. Kwani lazima uende na gari lako kazini? Kumuonyesha nani? Hamieni mikoani kama mnataka kwenda kazini na magari yenu.
Jana palikuwa na aina ya ujenzi wa flyover pale tazara ndo ilisababisha foleni ya hatari nyerere road na Mandela road, magari yote yaliokuwa yanapita Mandela yalikuwa yanapita single lane! Hivo kusababisha gari zilizotokea upande wa buguruni kusubiri kwanza zilizotokea upande wa taifa zisimamishwe ndo wao wapite, badala ya kupishana! nilitoka ferry saa 11:40 nilifika g.lamboto saa 3: na dk. Usiku.
Hajaona jinsi Kimara stand ya BRT abiria wanavyosongamana na kucheleweshwa vituoni utadhani wanapanda bure, kumbe wanalipaHizo public transport zinatosha? tuazia hapo kwanza watu wanajazana pele kimara kusubiria mwendo kasi usingesubutu kusema hivyo.
Zitaboreshwa na ni rahisi kuziboresha baada ya amri hiyo ya kupiga ban magari binafsi kuingia city centre siku za kazi.Hizo public transport zinatosha? tuazia hapo kwanza watu wanajazana pele kimara kusubiria mwendo kasi usingesubutu kusema hivyo.
Apande daladala. Atafika mjini haraka kama enzi zile tulizokuwa tunatumia dakika 3 kutoka Mlimani hadi Kariakoo kwa mabasi ya DMT. Sasa hivi ni dakika zaidi ya 120 kwa sababu ya utitiri ya magari ya binafsi.Sasa unakuta mtu unaenda tu mjini kufanya kitu dk 5 then unaendelea na mishe zako nyingine, hapo vipi
Pole sana, kukiwa na ajali balaa lake si mchezoAiseee'' ilikuwa balaaa"" ...palikuwa na ajari Area...za Kimara suka
Zitoshe wapi, watu mnajazana kama dagaa waliojazwa kwenye guniaHizo public transport zinatosha? tuazia hapo kwanza watu wanajazana pele kimara kusubiria mwendo kasi usingesubutu kusema hivyo.
Kweli Mzee!Lile ni daraja bwana hakuna flyover pale.
Ili kupunguza foleni na kuongeza ajira, Ofisi za serikali ziwe na nightshift...!Suggest what has to be done?
Pole mjukuu wangu. Hutaweza tena kwenda nako mjini hako kagari kako siku za kazi. Hiyo ndiyo hali halisi itakavyokuwa hivi punde. Jiji la Nairobi limeanza. Miji mingi tu mikubwa duniani inafanya hivyo including baadhi ya nchi za ulaya.Yani nimeshindwA hata kukutukana nimeona nikupe pole wewe na hiyo bongo yako uliyotumia kufikiri
Kwa hiyo hata huko Nairobi, ulaya na kwingineko ambako tatizo hili liko, unafikiri ni kwa sababu ya kuproject? Lazima kuwe na udhibiti wa magari haya kuingia maeneo fulani ya miji. Lazima kuwe na udhibiti wa kuingiza magari nchini. Sasa hivi hapa kwetu katika baadhi ya miji idadi ya wanaotumia magari binafsi ni sawa na wale wenye simu janja (smartphone). Yaani hata mchoma mishikaki, mhudumu wa bar, housegirl, mlinzi wa nyumbani nk wanaendesha na kumiliki gari binafsi. Utakuta housegirl anatumwa kwenda sokoni kariakoo anaambiwa ataambiwa atatumia gari fulani. Mlinzi wa nyumbani anapewa kutumia gari fulani kupeleka kitu fulani mahali fulani na kadhalika. Hali hii lazima idhibitiwe. Hata tukijenga barabara na fly overs eneo lote la DSM, hali ikiachwa hivi bado hayatatosha.Ilo sio tatzo. Tatizo ni serikali iliyoshindwa kuproject mbele maisha yatakuaje idadi ya magari itakua vip na kuweza kudesign accordingly.