Tuongeeni tu ukweli, foleni za Dar kwa sasa zinatisha!

punguza michepuko ha ha ha hiyo kitu ulimdanganya mkeo unataka kutudanganya na sie JF Great Thinkers
ha haha "" umeanza...Mkuu nikweli " that day""..palikuwa na ajali"...maeneo ya Kimara suka .
 
Sababu ya mkutano mkuu tu!
Itaisha!
 


Picha na barabara husika.
 
hata europé ukienda unalipa kuingia na kutoka , japo wao wanamiundo mbinu kuliko cc
 
Mbona hii hali ya kawaida sana mkuu kwani una X-Mass ngapi hapa jijini
 
Hao wafanyakazi wa serikali wako wangapi mpaka kwenda kwao Dodoma kukaathiri idadi ya watu na magari Dar es Salaam????? Sidhani kama wanafika hata 60,000.
 
Hao wafanyakazi wa serikali wako wangapi mpaka kwenda kwao Dodoma kukaathiri idadi ya watu na magari Dar es Salaam????? Sidhani kama wanafika hata 60,000.
Sidhani kama hata wote wana magari, so sidhani kama effect yao itaonekana kwa haraka
 
Hao wafanyakazi wa serikali wako wangapi mpaka kwenda kwao Dodoma kukaathiri idadi ya watu na magari Dar es Salaam????? Sidhani kama wanafika hata 60,000.
ni wao wenyewe ndyo waliotuaminisha kuwa ndiyo moja ya vichocheo vya kuhamishia ofisi kule.
sasa kama haijasaidia basi ni failure!
 
nyie mnaotakiwa kazini saa mbili ndo mwapata tabu ila sie wa saa za mashetani wala hatupati hizo tabu
 
Hizo public transport ziko wapi?
 
Hujui usemalo!
 
Na bado mnapinga serikali kuhamia dodoma ? Hahaha, pole kwa janga, no wonder Dar es salaam inaongoza kwa watu kuugua magonjwa ya akili !
Hebu nisaidie uhusiano wa hii foleni na kuhamia Dom
 
Zitaboreshwa na ni rahisi kuziboresha baada ya amri hiyo ya kupiga ban magari binafsi kuingia city centre siku za kazi.
Kwanini wasiboreshe sasa ili mtu asione umuhimu wa kwenda na Gari lake. Eti wataboresha baada ya kupiga ban, mwajiri/mteja anakuvumilia tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…