hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Hahaha Naipenda pia cause ina message kali. .Pia ile beat iliyo tumika ni beat ya laye mj msanii ambaye na muelewa kuliko wasanii wote dunianiletter to my unborn child vp..huipendi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha Naipenda pia cause ina message kali. .Pia ile beat iliyo tumika ni beat ya laye mj msanii ambaye na muelewa kuliko wasanii wote dunianiletter to my unborn child vp..huipendi
Umeongea kinyume mzee cardi B ndio yupo overrated lakini hao wengine ni moto wa kuotea mbali kwenge game la hiphop ya sasa..Migos wana influence kubwa sana kwenye Trap(The new subgenre of hiphop) hata hao wengine kina Travis scott wanajua aisee..anyway bado nafatilia mjadala nilitaka nichangie kuhusu hii tuHao uliowataja sasa ukimuondoa card b..ndio wako overrated. .Majina makubwa lakini uwezo 0
sikiliza na keep on keeping on ya mc lyte,biti ni hyohyo ila imepelekwa slow...'beat all my drums if you feel the need to'...lyte anatukana sana humo ndani...halafu leo uje unisikilizishe nyege nyegezi..swezi elewaHahaha Naipenda pia cause ina message kali. .Pia ile beat iliyo tumika ni beat ya laye mj msanii ambaye na muelewa kuliko wasanii wote duniani
Umeongea kinyume mzee cardi B ndio yupo overrated lakini hao wengine ni moto wa kuotea mbali kwenge game la hiphop ya sasa..Migos wana influence kubwa sana kwenye Trap(The new subgenre of hiphop) hata hao wengine kina Travis scott wanajua aisee..anyway bado nafatilia mjadala nilitaka nichangie kuhusu hii tu
Hii ngoma ilinitiaga uchizi
Give us Tupac back take that nigga suge/Walikuwa Violent sana hasa Tupac na Suge Knight na waligawa jamii ya waafrika nchini Marekani....hasa makundi kama Blood and Clip vijana wakawa wanauana sana......nadhani hata vifo vyao kuna mkono wa Serikali ya Marekani
sikiliza na keep on keeping on ya mc lyte,biti ni hyohyo ila imepelekwa slow...'beat all my drums if you feel the need to'...lyte anatukana sana humo ndani...halafu leo uje unisikilizishe nyege nyegezi..swezi elewa
Pac kafa na miaka 26 tu... wewe mtoa mada katika hiyo age ume achieve kitu gani!? Yaani hapa najaribu kumuelezea pac kidogo..
Hahaha hebu fanya huo utafiti mkuu Migos kitaa wapo popular si mchezo sidhan kama kuna mtu hawajui kwa sasaKwangu mimi naona tofauti kabisa. .utanisamehe. .hao migos hamna kitu kabisa '- Ila wana promo kubwa tu. . Hata ukiingia mtaani then ukafanya utafiti wa kuwauliza vijana kama wa nazijua nyimbo zao sidhani kama watakuwa wanawajua
Kumbe point yangu unaielewa, Kwa hio unavyodhani shakur na biggie wangekuwepo hadi leo wamgekua wakali kama jigga na Eminem.
Tunao Wajua migos. .ni sisi ambao hatukauki mitandaoni na ambao tu nafuatilia media mbali mbali za burudani kutoka Majuu ...Lakini mitaani migos hakuna anaye Wajua mkuu ....Hahaha hebu fanya huo utafiti mkuu Migos kitaa wapo popular si mchezo sidhan kama kuna mtu hawajui kwa sasa
Sidhani kama unaujua mziki vizuri! Sidhani!Umeona Tupac alikua mhuni sana na known clip member naweza sema PAC ni kati ya watu waliofanya hip hop uonekane mziki wa kihuni.
Sasa Nipsey Hussle unamchukulia kawaida? Inawezekana umemjua juzi juzi baada ya kufarikiWengi tu sema mtu akifa anaongezewa heshima flani mfano juzi juzi tu Nipsey Hussle.
Media ndo inawakuza sana hao MigosTunao Wajua migos. .ni sisi ambao hatukauki mitandaoni na ambao tu nafuatilia media mbali mbali za burudani kutoka Majuu ...Lakini mitaani migos hakuna anaye Wajua mkuu ....
Ndio maana hauwezi kukuta dala dala .Au t-shirt zenye sura zao zikiwa zimevaliwa na watu ..Pia hauwezi kukuta wakiwa wame chorwa kwenye mabanda ya wasanii au picha zao kuwa printing kwenye barbershop -- wakati hayo yalikuwa yanafanyika sana kwa watu walio itendea haki game kuanzia pac.big .Eminem. Jigga. Lil tunch. 50 cent .drake. Kanye. Etc
Yaani itoshe tu kusema kuwa migos wana pewa chance ya kuhit kwa sababu muziki wa sasa una uhaba wa kuwa na wasanii wa kali. ..
Media ndo inawakuza sana hao Migos