Tupac na Biggie wanakuzwa mno

Tupac na Biggie wanakuzwa mno

Pac alikuwa mtu hatari!! Acha awe king tu wa hip hop heshima inamfaa, mie naona yeye ndio kama alibadilisha game kutoka ile style ya kurap ambayo dunia nzima ilikuwa inatumia mpaka ikawa kila mtu anarap anavyojisikia!! Ndani ya umri mdogo alifanya mambo makubwa katika game ya hip hop!!

Mziki kama mziki ninavyotafsiri mimi mziki ili uwe mzuri aidha uwe unasikilizika(kuburudisha) ama uwe unafunza(maneno fulani kuntu) au uwe na vyote.

1. Kusikilizika music, namaanisha uwe mtamu masikioni, hapa hata km mtu haelewi mashairi, haelewi kilichoimbwa, lakini uwe mziki mtamu masikioni utapendwa, kina psy na gungnam style, sijui usiniseme kama napenda kula kina ali kiba, sijui despacito, unakuta mtu hajui kilchoimbwa au mashairi hayana kitu ila kwakuwa ni mtamu masikioni mwake unakuwa mziki mzuri

2.kufundisha, sijui nitumie neno kufundisha ama nisemeje sijui hapa nazungumzia mashairi kuwa mazuri, yaani mtu anaupenda muziki kwa mashairi na sio kusikilizika masikioni,hapa inalenga wanaoelewa mashairi, unamkuta mtu anapenda nyimbo fulani we unaweza kuita wa kawaida kumbe ni mtu anasikiliza message ya mule!

Hip hop kama hip hop imebase kwenye mziki mzuri wa aina ya pili, wasikilize kina fid q, sijui jigga, eminem, kendrick na wengineo utanielewa hapa, hata kama mziki sio mtamu masikioni ila mashairi yake tu yanamfanya mtu akakipenda kitu..

Turud kwa tupac, pac alikuwa na mziki mzuri kwa kusikilizika hata kama huelew kinachoimbwa na mashairi mazuri kwa pamoja
Sikiliza
Dear mama
I aint mad at cha
Untill the end of time
Keap ya head up
So many tears
Change
Me n my girlfriend

Nakadhalika nakadhalika.

Binafsi namuelewa mno pac anahitaji heshima yake, naamin jamaa alikufa akiwa bado hajafikia kilele chake, ndio kwnza alikuwa anasogea kwenye peak yake sijui angeipata peak yake ingekuwaje, now angekuwa na heshima zaidi, sijui kama asingekuwa mwanamuziki milionea pia, tizama toka alipoanza mpaka kifo chake jamaa alikuwa kwenye graph yake ndio kwanza anapanda.
Hapo ndicho nilikua nasema mimi kwamba jamaa ndo alikua anaanza tu na angeweza kuwa zaidi mbele, ila kifo chake kikamwongezea nyota, ila kwa alipo ishia hakustahili kuwa king.
 
Walileta msisimko kwenye hiphop, wakaigawa Marekani pande mbili ktk upande Wa vijana, Serikali ikaingilia kati hata ikaona kuna haja ya kuusambaratisha huu utengano,so kwa hayo tu yanatosha kuwaita kings of hiphop
Ila utengano wa east na west coast ulikuwepo kabla wao ndo walileta amsha amsha.
 
2pac alikuwa na uwezo kuliko Big. 2pac alikuwa target kwa secret society 2pac akawastukia wakaamua kumuundia zengwe na kumnyanyua BIG lengo nikuwagombanisha! Siku Assassination yake ikitokea watu wajue ni ugomvi wao ndiyo umesababisha na hilo lilifanikiwa. 2pac alikuwa kichwa sana.
 
Hapo ndicho nilikua nasema mimi kwamba jamaa ndo alikua anaanza tu na angeweza kuwa zaidi mbele, ila kifo chake kikamwongezea nyota, ila kwa alipo ishia hakustahili kuwa king.
Ndani ya muda wake mchache alifanya makubwa hiki ndio kinampa huo ufalme, katika hiyo top 3 yako tafuta mmoja tu ambae alifanya makubwa kwa muda mchache ambao tupac alifanya kazi..

Tupac alileta mabadiliko fulani kwenye game.

Wamekufa wangapi mzee achia mbali kuwa kings, ila pia dunia ishawasahau.
 
Ila utengano wa east na west coast ulikuwepo kabla wao ndo walileta amsha amsha.
Madhara ya kabla ya wao hayakuwa makubwa na sura mbaya kama kipindi chao. Tena huo utengano Wa kabla sana sana uliegemea kwenye kutambiana kimashari,utajiri nk. Hawa walileta vivo vingi ktk utengano wao kitu ambacho kilikuwa tishio sana kwa serikali
 
2pac alikuwa na uwezo kuliko Big. 2pac alikuwa target kwa secret society 2pac akawastukia wakaamua kumuundia zengwe na kumnyanyua BIG lengo nikuwagombanisha! Siku Assassination yake ikitokea watu wajue ni ugomvi wao ndiyo umesababisha na hilo lilifanikiwa. 2pac alikuwa kichwa sana.
Na serikali 2pac alikua akijihusisha sana na gangs kutokana na influence yake ilikua ni tishio sana kiusalama na kusambaza itikadi za ki thug ndo maana jela ilikua inamtafuta sana huyu jamaa.
 
Ndani ya muda wake mchache alifanya makubwa hiki ndio kinampa huo ufalme, katika hiyo top 3 yako tafuta mmoja tu ambae alifanya makubwa kwa muda mchache ambao tupac alifanya kazi..

Tupac alileta mabadiliko fulani kwenye game.

Wamekufa wangapi mzee achia mbali kuwa kings, ila pia dunia ishawasahau.
Waliopata mafanikio zaidi hata ya Tupac kwa muda mfupi kuna Lil wayne, Eminem na hawa wangekufa ingukua zaidi ya story. Mimi sikatai kama jamaa alikua juu ila kifo chake kime mwongezea nyota sio siri kama huyu jamaa ya juzi Nipsey Hussle wengi hata hawaelewi alifanya nini kwenye game ila ndo ka boom ghafla.
 
Madhara ya kabla ya wao hayakuwa makubwa na sura mbaya kama kipindi chao. Tena huo utengano Wa kabla sana sana uliegemea kwenye kutambiana kimashari,utajiri nk. Hawa walileta vivo vingi ktk utengano wao kitu ambacho kilikuwa tishio sana kwa serikali
Nakubali Tupac alikua mtu wa gangs sana.
 
Waliopata mafanikio zaidi hata ya Tupac kwa muda mfupi kuna Lil wayne, Eminem na hawa wangekufa ingukua zaidi ya story. Mimi sikatai kama jamaa alikua juu ila kifo chake kime mwongezea nyota sio siri kama huyu jamaa ya juzi Nipsey Hussle wengi hata hawaelewi alifanya nini kwenye game ila ndo ka boom ghafla.
Hakuna cha kubooma wala nin nipsey alichokipata ni ule mshituko wa kifo, tizama kama sasa kuna mtu anzungumizia..

Mkuu unaweza kunitajia mafanikio ya hao watu wawili kwa muda huo mfupi..
Hawa wameikuta njia imeahchongwa.
 
Ni kweli pac alivuma kwa muda mfupi kabla hajafikwa na umauti --''lakini mambo aliyo yafanya kwa muda mfupi kutokana na ubunifu wake alionao katika Sanaa --Ni makubwa sana. . Imewachukua muda mrefu sana wasanii wengine kama jay z .Eminem. Na Nas kuweza kuwa na fan base kubwa katika tasnia ya music wa hip hop --kitu ambacho ilikuwa ni tofauti na pac..

So pac ana deserve kuwa king. .kwa sababu hizo nilizo zitaja. .aliweza kufanya mambo makubwa ndani ya muda mfupi tena akiwa na umri mdogo tu. ..mbaya zaidi music wake mpaka sasa hivi bado Unaishi. .. wimbo kama wa pac life ulitoka mwaka 2007 miaka 11 baada ya kifo chake. .Lakini ni wimbo ambao ulifanya vizuri sana sokoni licha ya yeye kutokuwa hai -''hiyo ni moja ya alama ya kuweza kutambua uwezo mkubwa alionao hayati 2pac. ...
Hapo ndicho nilikua nasema mimi kwamba jamaa ndo alikua anaanza tu na angeweza kuwa zaidi mbele, ila kifo chake kikamwongezea nyota, ila kwa alipo ishia hakustahili kuwa king.
 
Na serikali 2pac alikua akijihusisha sana na gangs kutokana na influence yake ilikua ni tishio sana kiusalama na kusambaza itikadi za ki thug ndo maana jela ilikua inamtafuta sana huyu jamaa.
Hapana mkuu 2pac alikuwa anawatetea sana weusi sema wazungu kuna mengi wamedanganya ili kumshusha mtu mweusi.
 
Tupac alikuwa vizuri shida tu matusi alizidisha kwa kweli nyimbo nzima unakuta matusi tu.


Japo baadhi aliimba fresh na huwa nazikubali sana

Kama dear mama, changes na baby dont cry.
Ila nyingine nyingi matusi mengi kwa kweli.
 
Pac alikuwa mtu hatari!! Acha awe king tu wa hip hop heshima inamfaa, mie naona yeye ndio kama alibadilisha game kutoka ile style ya kurap ambayo dunia nzima ilikuwa inatumia mpaka ikawa kila mtu anarap anavyojisikia!! Ndani ya umri mdogo alifanya mambo makubwa katika game ya hip hop!!

Mziki kama mziki ninavyotafsiri mimi mziki ili uwe mzuri aidha uwe unasikilizika(kuburudisha) ama uwe unafunza(maneno fulani kuntu) au uwe na vyote.

1. Kusikilizika music, namaanisha uwe mtamu masikioni, hapa hata km mtu haelewi mashairi, haelewi kilichoimbwa, lakini uwe mziki mtamu masikioni utapendwa, kina psy na gungnam style, sijui usiniseme kama napenda kula kina ali kiba, sijui despacito, unakuta mtu hajui kilchoimbwa au mashairi hayana kitu ila kwakuwa ni mtamu masikioni mwake unakuwa mziki mzuri

2.kufundisha, sijui nitumie neno kufundisha ama nisemeje sijui hapa nazungumzia mashairi kuwa mazuri, yaani mtu anaupenda muziki kwa mashairi na sio kusikilizika masikioni,hapa inalenga wanaoelewa mashairi, unamkuta mtu anapenda nyimbo fulani we unaweza kuita wa kawaida kumbe ni mtu anasikiliza message ya mule!

Hip hop kama hip hop imebase kwenye mziki mzuri wa aina ya pili, wasikilize kina fid q, sijui jigga, eminem, kendrick na wengineo utanielewa hapa, hata kama mziki sio mtamu masikioni ila mashairi yake tu yanamfanya mtu akakipenda kitu..

Turud kwa tupac, pac alikuwa na mziki mzuri kwa kusikilizika hata kama huelew kinachoimbwa na mashairi mazuri kwa pamoja
Sikiliza
Dear mama
I aint mad at cha
Untill the end of time
Keap ya head up
So many tears
Change
Me n my girlfriend

Nakadhalika nakadhalika.

Binafsi namuelewa mno pac anahitaji heshima yake, naamin jamaa alikufa akiwa bado hajafikia kilele chake, ndio kwnza alikuwa anasogea kwenye peak yake sijui angeipata peak yake ingekuwaje, now angekuwa na heshima zaidi, sijui kama asingekuwa mwanamuziki milionea pia, tizama toka alipoanza mpaka kifo chake jamaa alikuwa kwenye graph yake ndio kwanza anapanda.
Kweli wewe makaveli10 unajua muzik salute kwako mkuu
 
Back
Top Bottom