Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Hauwezi kuwa mzima ...Jay Z, Nas na Eminem
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hauwezi kuwa mzima ...Jay Z, Nas na Eminem
Unaongelea mafanikio ya kifedha.... Mtaje mwenye album platinum 9 ..kati yao hao unaowapenda unaoona wanastahili tena akiwa 25 yrs tu .Waliopata mafanikio zaidi hata ya Tupac kwa muda mfupi kuna Lil wayne, Eminem na hawa wangekufa ingukua zaidi ya story. Mimi sikatai kama jamaa alikua juu ila kifo chake kime mwongezea nyota sio siri kama huyu jamaa ya juzi Nipsey Hussle wengi hata hawaelewi alifanya nini kwenye game ila ndo ka boom ghafla.
Jay z ,Diddy, walikuw na bifu pia na pack,inasemekana nao kama walihusika ktk assassin's ya pack kiasi flani.coz Jay z alikuw secret society na pack alikuw akiwasumbua kwenye game.wakamtengenezea zengwe na big kisha waka m fire.Jiggah mwenyewe anakuambia yeye kwasasa ndo King kwasababu Biggie is no more. Means anatambua Biggie was a King.
Pac alikuwa mtu hatari!! Acha awe king tu wa hip hop heshima inamfaa, mie naona yeye ndio kama alibadilisha game kutoka ile style ya kurap ambayo dunia nzima ilikuwa inatumia mpaka ikawa kila mtu anarap anavyojisikia!! Ndani ya umri mdogo alifanya mambo makubwa katika game ya hip hop!!
Mziki kama mziki ninavyotafsiri mimi mziki ili uwe mzuri aidha uwe unasikilizika(kuburudisha) ama uwe unafunza(maneno fulani kuntu) au uwe na vyote.
1. Kusikilizika music, namaanisha uwe mtamu masikioni, hapa hata km mtu haelewi mashairi, haelewi kilichoimbwa, lakini uwe mziki mtamu masikioni utapendwa, kina psy na gungnam style, sijui usiniseme kama napenda kula kina ali kiba, sijui despacito, unakuta mtu hajui kilchoimbwa au mashairi hayana kitu ila kwakuwa ni mtamu masikioni mwake unakuwa mziki mzuri
2.kufundisha, sijui nitumie neno kufundisha ama nisemeje sijui hapa nazungumzia mashairi kuwa mazuri, yaani mtu anaupenda muziki kwa mashairi na sio kusikilizika masikioni,hapa inalenga wanaoelewa mashairi, unamkuta mtu anapenda nyimbo fulani we unaweza kuita wa kawaida kumbe ni mtu anasikiliza message ya mule!
Hip hop kama hip hop imebase kwenye mziki mzuri wa aina ya pili, wasikilize kina fid q, sijui jigga, eminem, kendrick na wengineo utanielewa hapa, hata kama mziki sio mtamu masikioni ila mashairi yake tu yanamfanya mtu akakipenda kitu..
Turud kwa tupac, pac alikuwa na mziki mzuri kwa kusikilizika hata kama huelew kinachoimbwa na mashairi mazuri kwa pamoja
Sikiliza
Dear mama
I aint mad at cha
Untill the end of time
Keap ya head up
So many tears
Change
Me n my girlfriend
Nakadhalika nakadhalika.
Binafsi namuelewa mno pac anahitaji heshima yake, naamin jamaa alikufa akiwa bado hajafikia kilele chake, ndio kwnza alikuwa anasogea kwenye peak yake sijui angeipata peak yake ingekuwaje, now angekuwa na heshima zaidi, sijui kama asingekuwa mwanamuziki milionea pia, tizama toka alipoanza mpaka kifo chake jamaa alikuwa kwenye graph yake ndio kwanza anapanda.
bado hii sio justification.Jay z ,Diddy, walikuw na bifu pia na pack,inasemekana nao kama walihusika ktk assassin's ya pack kiasi flani.coz Jay z alikuw secret society na pack alikuw akiwasumbua kwenye game.wakamtengenezea zengwe na big kisha waka m fire.
Biggie was a King full stop.Jipe kwanza thamani / mental freedom ndio uanze kutoa maoni sahihi mkuu
Tupac na Notorious BIG walikuwa violent kweli, makundi yao yalikuwa ya kihuni Sanaa
Lakini hakuna muhuni kabla yao kama EAZY E then ndio kina DRE na 2PAC
NI KWELI, Vifo vyao vilifanywa na serikali ya marekani....askari wa kizungu ndio aliyempelekea rafiki yake Wallace risasi za kumshoot Tupac usiku ule Tyson akiwa anajiandaa kuingia ulingoni
Huyohuyo akatengeneza mazingira ya BIG kuuwawa.
Hata wale washkaji zake Tupac aliochana nao kwenye nyimbo nyingi...wale. Wahuni wote waliokuwa wanajiita Idd Amin, San Abacha, Mobutu n.k. wote walikuja kuuawa kinamna namna.....!
Mmoja wao alitoroka akaenda kuishi Nairobi then akaishi Arusha, pale uzunguni nyumba yake ya ghorofa moja inaangaliana na uwanja wa uzunguni pale karibu na shule ya Prime...!
Yeye ndiye alikuwa anawapa itikadi na kampani kina JCB, Spark na wana hiphop wa mwanzoni Arusha.
Hahaha...alikuwa anasema wazi kabisa akiwa serious kuwa ukikuta Mtu mweupe (Mzungu) mahali popote muue tu, na alishamtemea mate usoni mzungu pale mbele ya NBC bank akiwa anatoka nje.
Kauli yake ilikuwa ''Just kill them All n I ll take your case''
Alikuja kuwa rasta na mama yake ni Mjamaica.
Ukipata wasaa wa kukutana naye atakueleza mengi sana kuhusu BIG na 2PAC na vifo vyao na atakuonesha picha tangu wakiwa wadogo shuleni na kina 2pac.
Mbona Jay-Z mwenyewe ana bow down kwa Biggie! Mara kadhaa amesikika kwenye nyimbo zake akimu appreciate Biggie!Jay Z
Katika suala la violence, basi kulikuwa na kiumbe Eric Wright au Easy E, huyu jamaa alikuwa mtata sijaona tena!Walikuwa Violent sana hasa Tupac na Suge Knight na waligawa jamii ya waafrika nchini Marekani....hasa makundi kama Blood and Clip vijana wakawa wanauana sana......nadhani hata vifo vyao kuna mkono wa Serikali ya Marekani
Nan Ni origin wa hip hop tutajie?Wanaonekana kama wao ndo the origins wa hip hop kitu amabacho si kweli.
Ndio Mkuu, japo sijamuona muda ila wana nyumba kabisa Uzunguni anaishi na mama yake Mjamaica mwenye dread....!Du,kwa hiyo jamaa anaish hapa bongo
Ni Eazy E...sio Easy EKatika suala la violence, basi kulikuwa na kiumbe Eric Wright au Easy E, huyu jamaa alikuwa mtata sijaona tena!
Ndio Mkuu, japo sijamuona muda ila wana nyumba kabisa Uzunguni anaishi na mama yake Mjamaica mwenye dread....!
Yule alisoma shule moja na Tupac na wamekuwa pamoja na kuna picha mama yake tupac anawakumbatia wawili wakiwa machalii wadogo kabisa.
Nenda Mitaa ya Gymkhana barabara ya kuelekea mahakama kuu / Ikulu ndogo ulizia kwa Blackii.
@Daudi Mchambuzi aliyeinjinia vifo vya hawa niggaz ni Mzungu haswaa aliyekuwa anaitwa Adams na alikuwa rafiki na familia ya kina Christopher Wallace (Biggie)bado hii sio justification.
pia hayo mastory ya kifo cha biggie na 2pac kila mtu ana theory yake anayopenda kuamini.
Narudia tena, theory za kifo cha 2pac na biggie zipo zaidi ya 10 ni wewe tu unaamua uchague ipi utakayoridhika nayo.@ Daudi Mchambuzi aliyeinjinia vifo vya hawa niggaz ni Mzungu haswaa aliyekuwa anaitwa Adams na alikuwa rafiki na familia ya kina Christopher Wallace (Biggie)
BIG na kundi lake walikuwa wahuni lakini hawakuwahi kununua wala kumiliki Guns kabisa, jiulize walipata wapi usiku ule?
Tupac alikuwa rafiki wa karibu sana na Mike Tyson hata ule usiku anapigwa risasi alikuwa anaenda kwenye pambano la Tyson na Tyson alishawahi kukiri kuwa Adams anahusika.
Usiongelee influence kwa sababu hata hapa bongo clouds kuna wasanii wasio na uwezo iliwabeba na wakawa na influence ila baada ya kuwatema hawakuweza kufurukuta tena na wametopea kwenye umaskini, yupo wapi mtu kama Best naso? Dullayo? PNC? Gosby?Umeongea kinyume mzee cardi B ndio yupo overrated lakini hao wengine ni moto wa kuotea mbali kwenge game la hiphop ya sasa..Migos wana influence kubwa sana kwenye Trap(The new subgenre of hiphop) hata hao wengine kina Travis scott wanajua aisee..anyway bado nafatilia mjadala nilitaka nichangie kuhusu hii tu
Mkuu ilikuwa vipi jamaa kumtukana Dre ,wakati anakata roho ,chimba kidogo mkuuNi Eazy E...sio Easy E
Alimtukana Dre mpaka anakata roho kutokana na HIV
Alizikwa na jeans, raba, T-shirt kubwa na kofia yake ya NW
Huyu alikuwa na watoto zaidi ya 10 kwa wanawake tofauti.
Narudia tena, theory za kifo cha 2pac na biggie zipo zaidi ya 10 ni wewe tu unaamua uchague ipi utakayoridhika nayo.
hiyo unayosema hapo ni moja wapo na hakuna mwenye uhakika hata moja, sana-sana Suge Knight ndiyo anasuffer gerezani.