Tupate Katiba Mpya haraka ili tumfute kazi Rais Samia na Bunge kibogoyo la CCM

Tupate Katiba Mpya haraka ili tumfute kazi Rais Samia na Bunge kibogoyo la CCM

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Bila Katiba Mpya dalili zinaonyesha tunakwenda kuumia kabisa.

Tunakwenda kuuzwa kama manyumbu.

Mradi wa LNG lindi hauta tufaidisha hata kidogo bali utafaidisha Samia na genge lake la CCM ya wajanja.

Tupate katiba mpya ambayo itatupa wananchi nguvu ya kumkataa.

Nguvu ya kuvunja bunge kibogoyo kama hili linaloangalia raia wanauliwa na ardhi yao inaporwa.
 
Kuna watu wanasema ccm itatawala milele na milele kwa kuwa hakuna chama cha upinzani kinachoweza kuwatoa madarakani.. wapo sahihi . Lakini pia wasisahau tawala kama za rumi ,ashuru uajemi zilianguka na watawala wake wenye nguvu kina farao, alexander mkuu, dario na wengine wengi waliamini watatawala milele na wananchi walikuwa wanaamini hivyo kwamba hazitakuja kuanguka maana zimekaa katika madaraka for a couple of hundreds of years na zika fall.. sembuse ccm yenye. Miaka 60 sijui 50 ...hata kama watu hawatauondoa utawala wa ccm madarakan .kuna nature nayo ita take place.

MÊmENtO HoMO
 
Kuna watu wanasema ccm itatawala milele na milele kwa kuwa hakuna chama cha upinzani kinachoweza kuwatoa madarakani.. wapo sahihi . Lakini pia wasisahau tawala kama za rumi ,ashuru uajemi zilianguka na watawala wake wenye nguvu kina farao, alexander mkuu, dario na wengine wengi waliamini watatawala milele na wananchi walikuwa wanaamini hivyo kwamba hazitakuja kuanguka maana zimekaa katika madaraka for a couple of hundreds of years na zika fall.. sembuse ccm yenye. Miaka 60 sijui 50 ...hata kama watu hawatauondoa utawala wa ccm madarakan .kuna nature nayo ita take place.

MÊmENtO HoMO
Ni jambo la wakati tu
 
Kuna watu wanasema ccm itatawala milele na milele kwa kuwa hakuna chama cha upinzani kinachoweza kuwatoa madarakani.. wapo sahihi . Lakini pia wasisahau tawala kama za rumi ,ashuru uajemi zilianguka na watawala wake wenye nguvu kina farao, alexander mkuu, dario na wengine wengi waliamini watatawala milele na wananchi walikuwa wanaamini hivyo kwamba hazitakuja kuanguka maana zimekaa katika madaraka for a couple of hundreds of years na zika fall.. sembuse ccm yenye. Miaka 60 sijui 50 ...hata kama watu hawatauondoa utawala wa ccm madarakan .kuna nature nayo ita take place.

MÊmENtO HoMO
Hata dikteta aliamini atatawala milele lakini kaishia miaka 5 na miezi 5
 
tusipo cheza na vyombo vya dola kuwa sehemu yetu basi hawa ccm ndio itakuwa katiba yao maalumu
 
Back
Top Bottom