Tupatiane True Story yoyote ila iwe Fupi na Precise

Tupatiane True Story yoyote ila iwe Fupi na Precise

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Miaka hio niko dar, nimepanda dala dala natoka gongo la mboto kuja kariakoo, kufika mitaa ya airport (ndege) naona njiwa anaingia ndani ya dala dala yetu kupitia dirisha la nyuma na akajibanza siti ya nyuma hadi tulipofika kituo cha TAZARA, nikamuona yule njiwa anapaa kutokea dirishani.

Hadi leo najiuliza ina maana yule njiwa alishindwa kuruka na kupaa kutoka Airport to Tazara, hadi apande dala dala? Duh.
 
Kuna mwaka Nilienda kwa wakala kuweka Hela CRDB Sasa yule jamaa akasema Hana Salio la kutosha nikawa napiga nae story mara vuup Kuna limtu lilikuwa linapita barabarani likaona Hela ilivojichora mfukoni likasogea mpaka pale nilipokuwa likawa linajifanya kama ni limteja nalo

Mara paap likaanza kupapasa kwenye mfuko wangu wakati ambao Mimi naongea na yule wakala nikahisi kama naguswa mfukoni niliondoka bila kuaga yaani nilichukuw vitu vyangu na kusepa kama nakimbizwa bahati nzurii kwenda kuangalia nakuta Hela yote ipo nilishukuru mungu maana ningeibiwa KIZEMBE siku ile
 
Ki shule shule! Tumetoka class tunawahi kuoga then turudi kula chakula uck.

Sasa kulikuwa na vyoo vya juu ya ghorofa na vingine vipi chini! Ridochi hiyo Eckenforde

Mimi nikawahi choo kimoja ila Nikakuta kimefungwa afu kama Kuna mtu ndani maana nilikuwa naskia maji yamefunguliwa kwenye ndoo!

Nikamwambia yule wa ndani! Oya Chap chap utoke niingie! Nikaa nje namsubiria atoke! Tena nilikuwa na jamaa angu hapo nje.

Gafla maji yakafungwa! Nikajua mtu yule kamaliza ili atoke! Malango ukafunguka na hakuna mtu ndani!

Weee! Tulitoka ndukiiii! Mambo ya Tanga hayo
 
Kuna mwaka Nilienda kwa wakala kuweka Hela CRDB Sasa yule jamaa akasema Hana Salio la kutosha nikawa napiga nae story mara vuup Kuna limtu lilikuwa linapita barabarani likaona Hela ilivojichora mfukoni likasogea mpaka pale nilipokuwa likawa linajifanya kama ni limteja nalo

Mara paap likaanza kupapasa kwenye mfuko wangu wakati ambao Mimi naongea na yule wakala nikahisi kama naguswa mfukoni niliondoka bila kuaga yaani nilichukuw vitu vyangu na kusepa kama nakimbizwa bahati nzurii kwenda kuangalia nakuta Hela yote ipo nilishukuru mungu maana ningeibiwa KIZEMBE siku ile
Duh pole kaka ila hongera snaa
 
Kuna mwaka Nilienda kwa wakala kuweka Hela CRDB Sasa yule jamaa akasema Hana Salio la kutosha nikawa napiga nae story mara vuup Kuna limtu lilikuwa linapita barabarani likaona Hela ilivojichora mfukoni likasogea mpaka pale nilipokuwa likawa linajifanya kama ni limteja nalo

Mara paap likaanza kupapasa kwenye mfuko wangu wakati ambao Mimi naongea na yule wakala nikahisi kama naguswa mfukoni niliondoka bila kuaga yaani nilichukuw vitu vyangu na kusepa kama nakimbizwa bahati nzurii kwenda kuangalia nakuta Hela yote ipo nilishukuru mungu maana ningeibiwa KIZEMBE siku ile
Sema uliondoka kinyonge
 
Hahahahah

Alafu eckenforde huwa kuna mastori mengi sana
Ki shule shule! Tumetoka class tunawahi kuoga then turudi kula chakula uck.

Sasa kulikuwa na vyoo vya juu ya ghorofa na vingine vipi chini! Ridochi hiyo Eckenforde

Mimi nikawahi choo kimoja ila Nikakuta kimefungwa afu kama Kuna mtu ndani maana nilikuwa naskia maji yamefunguliwa kwenye ndoo!

Nikamwambia yule wa ndani! Oya Chap chap utoke niingie! Nikaa nje namsubiria atoke! Tena nilikuwa na jamaa angu hapo nje.

Gafla maji yakafungwa! Nikajua mtu yule kamaliza ili atoke! Malango ukafunguka na hakuna mtu ndani!

Weee! Tulitoka ndukiiii! Mambo ya Tanga hayo
 
Miaka hio niko dar, nimepanda dala dala natoka gongo la mboto kuja kariakoo, kufika mitaa ya airport (ndege) naona njiwa anaingia ndani ya dala dala yetu kupitia dirisha la nyuma na akajibanza siti ya nyuma hadi tulipofika kituo cha TAZARA, nikamuona yule njiwa anapaa kutokea dirishani.

Hadi leo najiuliza ina maana yule njiwa alishindwa kuruka na kupaa kutoka Airport to Tazara, hadi apande dala dala? Duh.
Alikuwa mkwepa tozo/nauli ya daladala huyo njiwa.Mngemkamata afunguliwe kesi ya uzembe na upaaji hovyo/uzurulaji.
Anyway,umenikumbusha mwaka 1987-90 hivi.Makondakta wa daladala za njia hiyo walikuwa wanasimama na marungu(clubs) makubwa kwa ajili ya kupigapiga mlangoni wakati wa kuondoka au kusimama.
 
Alikuwa mkwepa tozo/nauli ya daladala huyo njiwa.Mngemkamata afunguliwe kesi ya uzembe na upaaji hovyo/uzurulaji.
Anyway,umenikumbusha mwaka 1987-90 hivi.Makondakta wa daladala za njia hiyo walikuwa wanasimama na marungu(clubs) makubwa kwa ajili ya kupigapiga mlangoni wakati wa kuondoka au kusimama.
Hahaha aisee
 
Hiki Cha Mwisho! 😂

Enzi hizo Bado Tanga hotel ni ya moto inamilikiwa na Mzee Tarimo.

Tumetoka breakfast ya saa nane! Kikombe kimoja Cha chai na maandazi mawili. Tulikuwa hatushibi

Mara papa kushuka kwenye ngazi tunakutana na jamaa yetu, amebeba chapati mbili afu yeye kama anatafuna

Akasema nimewaletea chapati ila mle hapa hapa tusije tukaulizwa tumezipataje! Mimi na jamaa acha tufakamie haraka haraka! Ile tumemaliza yule mleta chapati akaanza kucheka mpk analalala chini.

😳😳😳 Tunajiuliza mbona jamaa anacheka!

Ndo mtu mwingine anatokea anatuambia! Kuna jamaa wa form Three alitoroka kwenda kununua chapati akakamatwa na headmaster

Akamnyang'anya chapati afu akazitupa chini akazikanyanga kanyaga na viatu ndo jamaa akaziokota akaja kutulishaa

😂😂
 
Back
Top Bottom