Tupatiane True Story yoyote ila iwe Fupi na Precise

Tupatiane True Story yoyote ila iwe Fupi na Precise

Miaka hio niko dar, nimepanda dala dala natoka gongo la mboto kuja kariakoo, kufika mitaa ya airport (ndege) naona njiwa anaingia ndani ya dala dala yetu kupitia dirisha la nyuma na akajibanza siti ya nyuma hadi tulipofika kituo cha TAZARA, nikamuona yule njiwa anapaa kutokea dirishani.

Hadi leo najiuliza ina maana yule njiwa alishindwa kuruka na kupaa kutoka Airport to Tazara, hadi apande dala dala? Duh.
Ndege njiwa aligundua hatari ya kumezwa na injini ya ndege hapo airport kwa usalama wake akajihami....
 
Hiki Cha Mwisho! 😂

Enzi hizo Bado Tanga hotel ni ya moto inamilikiwa na Mzee Tarimo.

Tumetoka breakfast ya saa nane! Kikombe kimoja Cha chai na maandazi mawili. Tulikuwa hatushibi

Mara papa kushuka kwenye ngazi tunakutana na jamaa yetu, amebeba chapati mbili afu yeye kama anatafuna

Akasema nimewaletea chapati ila mle hapa hapa tusije tukaulizwa tumezipataje! Mimi na jamaa acha tufakamie haraka haraka! Ile tumemaliza yule mleta chapati akaanza kucheka mpk analalala chini.

😳😳😳 Tunajiuliza mbona jamaa anacheka!

Ndo mtu mwingine anatokea anatuambia! Kuna jamaa wa form Three alitoroka kwenda kununua chapati akakamatwa na headmaster

Akamnyang'anya chapati afu akazitupa chini akazikanyanga kanyaga na viatu ndo jamaa akaziokota akaja kutulishaa

😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Inashangaza! Mi nami nilishangazwa na ndege mmoja kudandia mwewe angani na kubebwa mgongoni wakatokomea kusikojulikana. Kuna siku natembea kando ya ufukwe ghafla mwewe akatua kichwani kwangu bila kuniogopa, nikamtimua aruke, ila hakunijeruhi.
 
Kipindi nasoma nipo darasa la pili nilikuwa natoka shule nimeshuka kwenye haisi/daladala kwa wanaopajua mabatini (mwanza) zamani kulikuwa na kama kimtaro kirefu mno pale stendi ya mabatini huu apande wa laini polisi.

Nikiwa navuka kwenye daraja bahati mbaya nikatereza na kuanguka kwenye mtaro mrefu alafu wa maji machafu, nilijua ndio mwisho wangu nikahangaika kutoka nikafanikiwa kuona nguzo za lile daraja ndio watu wakanivuta nikatoka nikiwa nimeloa chepe

Mzee kusikia habari alitoka kazini na kuja mbio nyumbani.
 
Mimi mjomba wangu alidharaulika sana na ndugu zake wadamu na baba yake mzazi (babu).
Alibakia na suruali moja ikabidi aanze kutembea usiku mchana analala.Alikuwa anakula mara moja kwa siku( waliokuwa wananunua msosi walikuwa wanatoa shombo nyingi)
Kufupisha stori fedha yake ya kwanza kuipata ilikuwa milioni 18.Siku amekuja nayo wanandugu wakapendekeza ichimbiwe chini.Alimnunulia babu kila kitu mpaka viwembe hilux ilikuja imejaa vitu.Babu yangu alivyoona vile vitu akaanza kulia ila alivipokea kwani alishawahi kumtabiria atakuja fanya kazi stand ndio kunamfaa.Alifanya kazi Sandvik Tanzania licha ya cheti chake cha elimu ya masafa marefu( Hajawahi kukanyaga chuo chochote). Nimechoka kusimulia.Usimdharau mtu usimkatie tamaa mtu.Hiyo ndio stori yangu ya leo.
Asante .
 
Miaka hio niko dar, nimepanda dala dala natoka gongo la mboto kuja kariakoo, kufika mitaa ya airport (ndege) naona njiwa anaingia ndani ya dala dala yetu kupitia dirisha la nyuma na akajibanza siti ya nyuma hadi tulipofika kituo cha TAZARA, nikamuona yule njiwa anapaa kutokea dirishani.

Hadi leo najiuliza ina maana yule njiwa alishindwa kuruka na kupaa kutoka Airport to Tazara, hadi apande dala dala? Duh.
Hii ya njiwa imenikumbusha japo haina uhusiano na uzi huu, miaka kadhaa nyuma nipo ofisi fulani; ile asubuhi tumefungua ofisi mara tunakutana na njiwa yupo juu ya desk ya mtu fulani aliyekuwa likizo. Ukizingatia yule njiwa alikuwa amepakwa rangi nyekundu chini ya mabawa halafu ni hawa njiwa wa kufugwa na maeneo yale si makazi ya watu ebana eeeh si kila mtu akaogopa hata kuingia. Sasa kuna mmaza mmoja akaanza kumkandia jamaa aliyekuwa likizo kuwa huwa ni mshirikina na atakuwa anahusika na hilo tukio(na kweli yule mwamba alikuwa na vielementi fulani visivyoeleweka), wote wakamsapoti na wakakubaliana yule njiwa akatupwe chooni.

Niliwapinga nikawaomba yule njiwa nimchukue ama wamwachie badala ya kuuwawa kikatili kwa kutupwa chooni. hoja yangu ilikuwa ni kwasababu dirisha tulikuta halijafunga vizuri hivyo niliamini aliingilia hapo. Ila sikueleweka, wakasema huyu ni jini, basi wakamtupa kwa choo.

Sasa lile tukio lilikuwa habari kuu kwa siku hiyo, hadi pale officer mmoja alipowasili mchana kutokea field huko alikokuwa akitekeleza majukumu yake akasema; jana majira ya jioni aliona watoto(vijana) wakimfukuza huyo njiwa ndipo alipoingia kwa fensi na kubaki juu ya mti, akasema anahisi ndio huyo baadae aliingia ndani.
 
Ha
Hii ya njiwa imenikumbusha japo haina uhusiano na uzi huu, miaka kadhaa nyuma nipo ofisi fulani; ile asubuhi tumefungua ofisi mara tunakutana na njiwa yupo juu ya desk ya mtu fulani aliyekuwa likizo. Ukizingatia yule njiwa alikuwa amepakwa rangi nyekundu chini ya mabawa halafu ni hawa njiwa wa kufugwa na maeneo yale si makazi ya watu ebana eeeh si kila mtu akaogopa hata kuingia. Sasa kuna mmaza mmoja akaanza kumkandia jamaa aliyekuwa likizo kuwa huwa ni mshirikina na atakuwa anahusika na hilo tukio(na kweli yule mwamba alikuwa na vielementi fulani visivyoeleweka), wote wakamsapoti na wakakubaliana yule njiwa akatupwe chooni.

Niliwapinga nikawaomba yule njiwa nimchukue ama wamwachie badala ya kuuwawa kikatili kwa kutupwa chooni. hoja yangu ilikuwa ni kwasababu dirisha tulikuta halijafunga vizuri hivyo niliamini aliingilia hapo. Ila sikueleweka, wakasema huyu ni jini, basi wakamtupa kwa choo.

Sasa lile tukio lilikuwa habari kuu kwa siku hiyo, hadi pale officer mmoja alipowasili mchana kutokea field huko alikokuwa akitekeleza majukumu yake akasema; jana majira ya jioni aliona watoto(vijana) wakimfukuza huyo njiwa ndipo alipoingia kwa fensi na kubaki juu ya mti, akasema anahisi ndio huyo baadae aliingia ndani.
hahahah

Nakuambia ndugu kuna mambo ya ajabu mengi sanaa dunia hii 🤣🤣🤣
 
Ha
Mimi mjomba wangu alidharaulika sana na ndugu zake wadamu na baba yake mzazi (babu).
Alibakia na suruali moja ikabidi aanze kutembea usiku mchana analala.Alikuwa anakula mara moja kwa siku( waliokuwa wananunua msosi walikuwa wanatoa shombo nyingi)
Kufupisha stori fedha yake ya kwanza kuipata ilikuwa milioni 18.Siku amekuja nayo wanandugu wakapendekeza ichimbiwe chini.Alimnunulia babu kila kitu mpaka viwembe hilux ilikuja imejaa vitu.Babu yangu alivyoona vile vitu akaanza kulia ila alivipokea kwani alishawahi kumtabiria atakuja fanya kazi stand ndio kunamfaa.Alifanya kazi Sandvik Tanzania licha ya cheti chake cha elimu ya masafa marefu( Hajawahi kukanyaga chuo chochote). Nimechoka kusimulia.Usimdharau mtu usimkatie tamaa mtu.Hiyo ndio stori yangu ya leo.
Asante .
Hakika mkuu

Hii story ni very powerful
 
Kipindi nasoma nipo darasa la pili nilikuwa natoka shule nimeshuka kwenye haisi/daladala kwa wanaopajua mabatini (mwanza) zamani kulikuwa na kama kimtaro kirefu mno pale stendi ya mabatini huu apande wa laini polisi.

Nikiwa navuka kwenye daraja bahati mbaya nikatereza na kuanguka kwenye mtaro mrefu alafu wa maji machafu, nilijua ndio mwisho wangu nikahangaika kutoka nikafanikiwa kuona nguzo za lile daraja ndio watu wakanivuta nikatoka nikiwa nimeloa chepe

Mzee kusikia habari alitoka kazini na kuja mbio nyumbani.
🤣🤣🤣

Naifahamu ile mitaro mirefu mkuu

Pole snaa
 
Miaka hio niko dar, nimepanda dala dala natoka gongo la mboto kuja kariakoo, kufika mitaa ya airport (ndege) naona njiwa anaingia ndani ya dala dala yetu kupitia dirisha la nyuma na akajibanza siti ya nyuma hadi tulipofika kituo cha TAZARA, nikamuona yule njiwa anapaa kutokea dirishani.

Hadi leo najiuliza ina maana yule njiwa alishindwa kuruka na kupaa kutoka Airport to Tazara, hadi apande dala dala? Duh.
Alichoka 😅
 
Mimi mjomba wangu alidharaulika sana na ndugu zake wadamu na baba yake mzazi (babu).
Alibakia na suruali moja ikabidi aanze kutembea usiku mchana analala.Alikuwa anakula mara moja kwa siku( waliokuwa wananunua msosi walikuwa wanatoa shombo nyingi)
Kufupisha stori fedha yake ya kwanza kuipata ilikuwa milioni 18.Siku amekuja nayo wanandugu wakapendekeza ichimbiwe chini.Alimnunulia babu kila kitu mpaka viwembe hilux ilikuja imejaa vitu.Babu yangu alivyoona vile vitu akaanza kulia ila alivipokea kwani alishawahi kumtabiria atakuja fanya kazi stand ndio kunamfaa.Alifanya kazi Sandvik Tanzania licha ya cheti chake cha elimu ya masafa marefu( Hajawahi kukanyaga chuo chochote). Nimechoka kusimulia.Usimdharau mtu usimkatie tamaa mtu.Hiyo ndio stori yangu ya leo.
Asante .
mjomba alitoboa akiwa na umri gani?
 
Back
Top Bottom