Tupaze sauti kuhusu udhaifu wa mfumo wa E-Filling TRA

Tupaze sauti kuhusu udhaifu wa mfumo wa E-Filling TRA

mwita ke mwita

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2010
Posts
7,922
Reaction score
3,618
Mfumo wa Effiling kwa sasa ndio unatumika kwa ajili ya walipa kodi kujaza na kutuma Return zao kwa kipindi cha tangu March mwaka huu mfumo huu umekuwa na shida kubwa, Ukiingia kwenye mfumo unakuwa loged out, kuna return unatuma zinakuwa rejected, unatuma return mara kibao ndio zikubali, mtandao hauko stable sio siku za kawaida wala siku za deadline sio asubuhi sio usiku.

Tupaze sauti zetu TRA na Nchi isikie, Waziri Mwigulu achana na mambo ya kuwa agent wa kwenye mpira , shughulikia effiling

Alphayo Kidata shughulikia Efiling iwe stable MAMA SAMIA wabane watendaji wako Efiling iwe stable.
wadau na watumiaji wanateseka sana
 
Aisee unaweza ukaanza kusubmit VAT Returns tar 5 ila hadi inafika tar 20 deadline hujafanikiwa ni mwendo wa log in, logged out, network inazunguka tu. Ni shida kwa kweli. Ila nadhani wanajua hiyo shida na huenda wanafanyia kazi maana tangu mfumo mpya umeanza wanaextend deadlines.🤔
 
Aisee unaweza ukaanza kusubmit VAT Returns tar 5 ila hadi inafika tar 20 deadline hujafanikiwa ni mwendo wa log in, logged out, network inazunguka tu. Ni shida kwa kweli. Ila nadhani wanajua hiyo shida na huenda wanafanyia kazi maana tangu mfumo mpya umeanza wanaextend deadlines.[emoji848]
Kasumba ya network kusumbua hiyo ni changamoto sana kwa system, ndiyo maana wana extend muda wa submission wa hizo returns.

Njoo kwenye kipengele cha ku-register for payment hapa ndo unaweza kukasirika kabisa,


Ishu nyingine ambayo ni ya hovyo kabisa ni pale umesha submitt return na unataka kuprinti assessment ni balaa, yaani ni usumbufu mno. Print without preview ndo inakubali

Na system pia inazitakaa baadhi ya EFD receipts, unakuta TIN # haijakosewa wala nini, inakubidi uanze kutengeneza VAT A/C upeleke TRA ukiwa na copy ya risiti zilizotemwa na system yaani ni kero.
 
Kasumba ya network kusumbua hiyo ni changamoto sana kwa system, ndiyo maana wana extend muda wa submission wa hizo returns.

Njoo kwenye kipengele cha ku-register for payment hapa ndo unaweza kukasirika kabisa,


Ishu nyingine ambayo ni ya hovyo kabisa ni pale umesha submitt return na unataka kuprinti assessment ni balaa, yaani ni usumbufu mno. Print without preview ndo inakubali

Na system pia inazitakaa baadhi ya EFD receipts, unakuta TIN # haijakosewa wala nini, inakubidi uanze kutengeneza VAT A/C upeleke TRA ukiwa na copy ya risiti zilizotemwa na system yaani ni kero.
Yaani kuna siku nilikua naregister payment na ina deadline,, nilikoma hadi nimetegeshea usiku saa 7 ndiyo nikafanikiwa. Sijui kunakuwa na jam watu wanakimbizana na deadline. Inaleta hasiraa
 
Back
Top Bottom