Tupaze sauti kuhusu uonevu na ukandamizaji wa mawazo huru

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Awamu ya 6 iweke wazi kuwa ni kosa la jinai kutoa maoni kinzani kuhusu mikopo inayochukuliwa na serikali toka mataifa makubwa.

*Ndugai alivuliwa uspika.
*Meneja TRC alipoteza kazi.
*Askari alikutwa kajinyonga
*Gerad Hando amepoteza kazi EFM.

Kama taifa tunaelekea wapi?



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…