Awamu ya 6 iweke wazi kuwa ni kosa la jinai kutoa maoni kinzani kuhusu mikopo inayochukuliwa na serikali toka mataifa makubwa.
*Ndugai alivuliwa uspika.
*Meneja TRC alipoteza kazi.
*Askari alikutwa kajinyonga
*Gerad Hando amepoteza kazi EFM.
Kama taifa tunaelekea wapi?
*Ndugai alivuliwa uspika.
*Meneja TRC alipoteza kazi.
*Askari alikutwa kajinyonga
*Gerad Hando amepoteza kazi EFM.
Kama taifa tunaelekea wapi?