Tupe mkasa wako ulivyoishia kumuoa uliyedhani utapiga na kusepa

Tupe mkasa wako ulivyoishia kumuoa uliyedhani utapiga na kusepa

Kuna malaya mmoja pale ambiance nilikua mteja wake adi akawa kama demu wangu kabisa, akija kazini akiona hakueleweki anakuja gheto kulala maana sikua naishi mbali sana na pale, tulijikuta tunapendana mno adi akaanza kua na wivu na mimi, akabeba mimba na kuzaa,
Akawa anasema natamani niolewe na wewe lakini najijua mimi sifai kua mke, nikimuuliza kwanini anadai anajijua tu, ila wee nakufanya kama mme wangu japo sitakuja kuishi na wewe.

Umalaya kaacha mwaka 2016 sa hivi ni mfanyabiashara mzuri baada ya kupata danga la maana hakua mtz alikuja kikzai ila alizunguka nae nchini mikoani miaka 2 ndio akapata mtaji,
Sasa hivi ana mimba yangu nyingine. Wa kwanza ana miaka 10.
Samboko huyo inatakiwa umuoe. Au ni story tu kama za Mikitomikito?

Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
 
Wabaya? Heri yako wewe mzuri. Ila kumbuka aliyekuumba wewe ndiye aliyewaumba wao.

Nyie wazungu wakiwaita manyani huwa mnapaniki sana ila waafrika kwa waafrika mnaitana wabaya.

Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Mimi mwenyewe sura yangu mbovu ka ngiri au kiboko hata sio nzuri ulishawahi ona sura hyo?
Mimi mtu aniete vyovyote I don't care najiamini nilivo, Ila binadamu hutofautiana Kuna watu wazuri wa sura, umbo na kila kitu, pia Kuna watu sura zao sio nzuri Ni personal that's bitter truth
 
Samboko huyo inatakiwa umuoe. Au ni story tu kama za Mikitomikito?

Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa mkuu, sikufikiria kumuoa japo tulipendana sana lkn yeye ndio alikataa na kuniambia wala usiweke hilo akilini mwako,
Na hayo aliniambia baada ya kupata mimba aliacha kwenda kujiuza akaniomba nimsapoti adi mtoto akifika mwaka atalea mwenyewe maana hakua na akiba kubwa japo ktk uchunguzi nkajua ana m4 bank nkapotezea,
Yaani akiwa na mimba tuliishi km tumeoana anaeza lala home hata mwezi ndio anarudi kwao, alikua akinipikia, kufua na mengineyo adi kajifungua.

Ni mwanamke mzuri mwenye hashima sana pamoja na kujiuza hana zile tabia mbovu kama wengi wao walivyo.
 
Ana ukatili fulani hivi

Ni aina ya wanaume wengi akikuacha anataka yakukute ( kama ya nesi wake)huoni anahadithia kwa madaha as if ni kitu kizuri, bad enough huyo nesi hajawahi mkosea lolote ( kutokana na maelezo yake)

Uzuri liko litakalompata kufidia kwa aliyomfanyia it's just a matter of time[emoji848]

Wewe acha kupiga ramli!
imani za zama za mawe hizo!!!
We mshamba wa wapi? Bukene?
 
Kweli kabisa mkuu, sikufikiria kumuoa japo tulipendana sana lkn yeye ndio alikataa na kuniambia wala usiweke hilo akilini mwako,
Na hayo aliniambia baada ya kupata mimba aliacha kwenda kujiuza akaniomba nimsapoti adi mtoto akifika mwaka atalea mwenyewe maana hakua na akiba kubwa japo ktk uchunguzi nkajua ana m4 bank nkapotezea,
Yaani akiwa na mimba tuliishi km tumeoana anaeza lala home hata mwezi ndio anarudi kwao, alikua akinipikia, kufua na mengineyo adi kajifungua.

Ni mwanamke mzuri mwenye hashima sana pamoja na kujiuza hana zile tabia mbovu kama wengi wao walivyo.
Mkuu muweke tu ndani utulie nae

Maisha yenyewe yako wapi haya na ushamzalisha mtoto 1 mwingine anakuja tena
 
Guluguja anawadere tu, halafu kuna watu wana wivu watasema huyu ni mwanaume.
0fgjhs6v6rllfjeti.jpg
 
Naona wadada wanavyokuwa makini kujua waliopo single na waliooa kupitia huu uzi.
Msiseme sikuwashtua mapema ohoo [emoji2211][emoji124]
Hii kitu haina formula, inatokea tu mkuu
 
NIlijikuta nimemuonea huruma tu kutokana na mazingira aliyokuwa anaishi nikaamua nijisogezee tu. Ninachoshukuru kapewa kisichoonekana kwa macho na kinachoonekana kwa macho pia kapewa.
Hongera sana mkuu
 
We jamaa umenichekesha sana, hivi huyo jamaa yako amewahi kusikia unamuita mke wake guluguja au ni kiwakilishi tu umekitumia hapa [emoji3][emoji23]

(Najaribu kumuumbia picha huyu guluguja lakini nashindwa, naishia kucheka tu)
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom