Tupe mkasa wako ulivyoishia kumuoa uliyedhani utapiga na kusepa

Nimejiwekea vitu viwili katika maisha haya.

1. Sitakua na mtoto wa nje ya ndoa

2. Hakuna mimba yangu itatolewa.

Sahivi nina 30yrs na bado hii miiko miwili sinaivunja.
Hujafa, hujaumbika. Muda ni Mwalimu mzuri sana. Mungu akusimamie katika hilo.
 
Miaka ya nyuma kidogo kuna jamaa yangu alienda mbeya huko vijijini ndani ndani kuna mishe gani sijui alikua anapiga huko. Sasa jamaa kutokana na hali ya kule baridi na nini akakamatia guluguja moja matata akawa anaso
Utoto ulimsumbua but trust me jamaa anaweza kuwa na amani ndoani kuliko waliooa pisi kali
 
Ninachokumbuka tu ni kwamba niliodhani nitawaoa na nilipowaacha walifeli hadi mitihani ya kidato cha nne.Walipata zero kabisa na lawama zikaangukia kwangu.Utoto ni shida sana🤔🤔🤔🤔
 
Dah! Imeisha vibaya ya nesi.
 
Si kitu poa.. huwa namuonea huruma mno. Lkn sikua na namna na sina namna mpaka sasa. Sababu nmeshaoa na mke nilieoa sina kasoro yoyote naiona kwake. Ni mke bora kabisa..
All is well. Sio lazima mchumba awe mke. Hamna haja ya kuwa guilty. Ni bahati mbaya hamkuweza kuwa mume na mke. kulinda afya yake ni wajibu wake.
 
Hawa wakibadilikaga huwa wanakuwa watu Pouwa sana. Nimekipenda kisa chako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…