Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

Nimesoma na shamia shughuli msasani.

Darasa na sita kizimkazi primary school.

Nilikua kiranja wao nawapiga makonzi darasa zima.
 
Mwasiti almasi alikua jirani yetu enzi maishi mwenge tangu akiwa mdogo alikua anapenda sana kuimba
 
Ndio kakakimbilia kwenye sanaa. Kamshukuru sana Kanumba kukaingiza huko baada ya kukalamba mzigo alafu akajimilikisha. Ila wasanii wa bongo bhana dah[emoji1787][emoji119]
Lulu kaanza sanaa akiwa mdogo sana nadhani alikuwa shule ya msingi
 
wew mbona kama black rhino
 
Nmesoma nawaziri mmoja kwenye selikali hii ya samia. Tumesoma pale udsm. Mwaka wa tatu tukapanga geto msewe.. tukawa tunacheki nae porn na kwenda kimboka. Ila kwa sasa ni mheshimiwa. Tunafahamiana fresh ila hatuwasiliani.
Labda kama unajiwezaaa na una mishe ya maaan..!! Hiyo cennection muhimu sana.
 
Me nakuuliza tu... Hii Jitegemee ndy ile imepakana na Shule ya Msingi Mlina reli au jitegemee gani???
 
Huu uzi ukiendelee hivi hvi..
Hapo 2028 kuna mtu atakuja kusema alisoma na Director Poor brain πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Dadek enzi hizo mimi sishikiki...
 
Umesoma shule gani sasa njombe boy au mwakavuta
 
Huu uzi ukiendelee hivi hvi..
Hapo 2028 kuna mtu atakuja kusema alisoma na Director Poor brain πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Dadek enzi hizo mimi sishikiki...
Umeuongoza vyema Mkuu unastahir respect ya P.Funk au Master J katika uzi huuπŸ˜…
 
Umeuongoza vyema Mkuu unastahir respect ya P.Funk au Master J katika uzi huuπŸ˜…
Aloooh weeeh mi kitambo veta..
Hapa nasubri miaka yangu mitano tuu....kuna watu watanitaja na mimi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™πŸ™Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…