Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Washington 😂Tuliosoma na mawaziri wa awamu ya tano.
Tunacomment wapi😂😂😂
Shati la namna hiyo tuliliita Dona kipindi hicho shuleni kwetu na lile jeupe lilifahamika kama shati Sembe.mjerumani nilimpokea akiwa mpoole ila hata alivokuja kupinda nilishangaa sana yani shati jeupe la shule limekua kama jezi ya yanga kabisa [emoji119][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kakikwazo ka form two pale.
Mimi nilijua aliyeimba hapo ni G NakoByter beast jina lake halisi ni Rashid tulikuwa tunamuita chid pengo huyu ndo ameingiza ile sauti ya " minyama tu akitingisha minyama tu" kwenye nyimbo ya chibonge
Asha now mnamuita kidoa huyu manzi alikuwa anazurura sana skuli kazurura sana pale Turiani secondary pale magomeni kalikuwa kanashinda ubalozini
Tupo Mzee Baba...Duuh Makongo mastaa walikua wengi sana...Kipindi Naaanza form 1 pale mAkongo kwenye korido na Canteen nilikua napishana na hii list hapaMlisoma makongo hampo humu!!!
Ka uzi kidogo ilikuwaje?Underground acha tu, kuzaraulika, mi sina hamu, nimekata tamaa wakat water kaniita anisaidie, nyege zote ziliniisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Patrick siwingwa tumemaliza nae samora Machel mbeyaNilisoma na dogo ake izzo anaitwa Patrick simwinga shule moja hapo dar sema hakukaa sana akahama na mi pia nikahama hio shule nikaenda zangu mkoani
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh kumbe alihamia samora Machel pale airportPatrick siwingwa tumemaliza nae samora Machel mbeya
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Alikuwa anasoma mita
Dah jamaa alipiga kipande kitamu sanaByter beast jina lake halisi ni Rashid tulikuwa tunamuita chid pengo huyu ndo ameingiza ile sauti ya " minyama tu akitingisha minyama tu" kwenye nyimbo ya chibonge
Asha now mnamuita kidoa huyu manzi alikuwa anazurura sana skuli kazurura sana pale Turiani secondary pale magomeni kalikuwa kanashinda ubalozini
umemaliza mwaka gan samora machel??Patrick siwingwa tumemaliza nae samora Machel mbeya
Mmiliki alikua ruge na MangustinoMkuu sorry naomba kujua m/wamiliki wa THT