Niliisoma primary na bwana mdogo anaitwa moshi katemi pale Isenga primary mwanza,,,kipindi icho nilikua naimba rap nilikua nakubalika kinoma,,,,nakumbuka niliushangaza umati siku ya kuhitimu nilivonata na biti kwenye mziki mkubwaaa na sikuwahi ifanyia mazoezi biti amabayo watu waliikalia chimbo miezi ili waje kufunika.
Washkaji hawakuamini kwa umahili niliouonesha walidhani niliwaibia kitambo kumbe walaaa.
Kipindi hicho moshi katemi (Mo-MUSIC) alikua shabiki yangu,,,leo hii mi ndo shabiki na mziki nlitupa kuleee nikapendana na shule ya medicine ndo nmezamia huko mazima