Yeah huwa huchezwa wakati wa utulivu umekosa la kufanya mi mara nyingi nikiwa siko sawa inanisaidia kunipunguzia stress nakutana na mtu online nacheza uku nachati nacheka kidogo,nakasirika nikishinda nafurahia mda unaenda.Ninalo tatizo me huwa silichezi sana hasa online. Niko division 7.
Sio mchezo online unatandikwa mpaka simu unatmani huivunje πππ mkuu we umewai kuwe forwards nyuma matokeo yalikuwaje?Online kuna watu wanafumua mpk unajiuliza walio division ya kwanza wapoje wapoje..π
Maana unakutana na division ya 6 watu wanagada..
Hili gemu mi naona lina kaudhaifu fulani hasa kwa mabeki hata wawe na spidi 100 lkn bado kuwapata maforward inasumbua! Ni lzm ufungwe tu!.. ndio maana wengine huchukua wachezaji wa Kati au ma forward huwaweka kama mabeki!..
Niliwai kuhack nikafika division 1 nilifungwa lakini ni nili survive kiugumu saaana,ili ubakie unatakiwa ushinde mechi 6 jumla ya mechi zipo kama 12Online kuna watu wanafumua mpk unajiuliza walio division ya kwanza wapoje wapoje..π
Maana unakutana na division ya 6 watu wanagada..
Hili gemu mi naona lina kaudhaifu fulani hasa kwa mabeki hata wawe na spidi 100 lkn bado kuwapata maforward inasumbua! Ni lzm ufungwe tu!.. ndio maana wengine huchukua wachezaji wa Kati au ma forward huwaweka kama mabeki!..
Sijawahi kuwaweka mi nachezaga tu kawaida hata sahivi kuna njemba nimetoka kulitwanga 4 kwa 3 jamaa lilikuwa limenipania!Sio mchezo online unatandikwa mpaka simu unatmani huivunje πππ mkuu we umewai kuwe forwards nyuma matokeo yalikuwaje?
Wakuu,
Wadau na wapenzi wa games njoeni tupeane maujanja ya kucheza Dream league game online,offline na local multiplayer.
Natumia kikosi cha Liverpool hiki hapa
View attachment 1499569
Sifa ya wachezaji wangu wote wana urefu wa 204 inches inaniwezesha kucheza kwa kujiamini wana kasi,mipira ya juu naichukua vizuri.
View attachment 1499571
Pia wachezaji wote wanapiga miguu yote kulia na kushoto kwaiyo hainipishida shida kupanga kikosi kila mfumo ninaotaka.
View attachment 1499572
Sijawai kuvuka division 5 naishia hapo nikiwa na stress nacheza sana nafungwa sana nashuka mpaka tier 10 naanza upya kupandisha division π
View attachment 1499573
Karibuni wajuzi wa ku-Hack nakadhalika,tunasubili toleo jipya 2020/2021.
Ulikuwa wapi ku kanseli ndugu..?Nishawai kufungwa 6 -0πππnikimpata mnyonge najipozea
Mi kipigo kikizidi mbio nazijua bhana.. πππsijawai ku kaseli ndugu napambana mpaka mwisho, alafu ukizoesha kukata kata app ya game inaleta shida inakuwa nzito ukicheza na kugandaganda
ππππ Pole sana nitakueleza subiri kidogo Mkuu
Kama umefanikiwa kukidownload na kurename fuata maelezo ya picha click kwenye kila alama nyekundu tumia App inaitwa ZArchiver kufungulia file maneger alafu fanya hiviMkuu download hivi kitu alafu rename hivi profile.dat