Tupeane maujanja ya Dream League Online/Offline

Tupeane maujanja ya Dream League Online/Offline

Kama umefanikiwa kukidownload na kurename fuata maelezo ya picha click kwenye kila alama nyekundu tumia App inaitwa ZArchiver kufungulia file maneger alafu fanya hivi
View attachment 1499921View attachment 1499922View attachment 1499924View attachment 1499926View attachment 1499929View attachment 1499930View attachment 1499931View attachment 1499932View attachment 1499934View attachment 1499937
Usisahau iyo kwenye picha ya mwisho ni hatua ya mwisho usisahau kuweka kuweka tiki kwenye "Apply to all files" Ukishafanikiwa ivyo cancell app zote zinazorun underground kisha kafungue game utaona game limebadilika kuanzia wachezaji na coins zitakuwa unlimited haziishi wala haziongezeki.
Jalibu alafu nipe mrejesho.
Mimi nataka kujua vipi unawafanya kina Sarah wapige miguu yote pia wawe na kimo cha 204cm.
 
Tunamsubiri yeye tu hapa
74.28 MB file on MEGA
Screenshot_20200707-181201.png

DullyJr KENZY martinezstavo
 
Mbona nikienda android...ftgames07 sioni file lake?naona la caches tu
kama game halijawai kuchezwa kwenye simu yako hauwezi kuliona linajitengeneza lenyewe endapo tu app ya game ume istall na kuifungua anagalau mara 1
 
kama game halijawai kuchezwa kwenye simu yako hauwezi kuliona linajitengeneza lenyewe endapo tu app ya game ume istall na kuifungua anagalau mara 1
Inagoma kuinstall hapo nn shida mzee?
Screenshot_20200707-201907.jpg
 
Kama umeicheza basi kuna hatua labda umeluka au umeifuta bila kujua,
Fungua file manager kisha fungua "Android" kisha fungua "data" kisha tafuta kitu kimeandikwa hivi "com.firsttouchgames.dls3" kisha ukifungua utakuwa hapo utakuwa caches na chini "files" fungua files utakuta vijidudu vingi hapo jezi wachezaji na nk kama nilivyotuma kwenye maelezo ya picha uko juu
Nimeshaicheza tayari mkuu
 
Dah! Mi bado nacheza la mwake 2019 hilo la mwaka huu mpka uwe online lilinishinda. Ila mkuu hizo pesa umekusanya sio mchezo, na unafanya vp kila mchezaji anakuwa na 100?
mkuu 2020 sio lazima ucheze online mi nacheza offline pia lakini sijadownload kupitia play store na hizo pesa ni rahisi kuzijaza fuata maelekezo ya picha comments zilizotangulia.
Mchezaji kuwa na 100 ni rahisi unamjaza mauwezo kwenye kitufe vja develop player.
 
mkuu 2020 sio lazima ucheze online mi nacheza offline pia lakini sijadownload kupitia play store na hizo pesa ni rahisi kuzijaza fuata maelekezo ya picha comments zilizotangulia.
Mchezaji kuwa na 100 ni rahisi unamjaza mauwezo kwenye kitufe vja develop player.
Afu hilo la 2020 hata mechi za mashindano unaweza weka data off then match ikiisha unawasha kukusanya data
 
Back
Top Bottom