Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.mi nimekuta hilo nikalidownload, sasa sijui hilo lako na hili lipi boraMambo mengi mtaani mpaka nimechelewa,dream league soccer 2021 limetolewa lini? Si wanalitoa mwisho wa mwaka?
Link ipo juu hapo, soma comment zilizopitaWazee mbona mnanichanganya napataje DLS 20 offline. Mi nilivyoona ni online sikupoteza muda. Wacha nisome comments zote nielewe. Wenye link basi ya kupata hii game offline mode afanye mambo.
ahaaa hili nalipata.mi nimekuta hilo nikalidownload, sasa sijui hilo lako na hili lipi boraView attachment 1501860
Hili na hilo lako lipi bora mkuu?ahaaa hili nalipata
Hili inabidi upakue apk,data na obb kisha utumie zachiver kuexctract hayo mafile kisha uinstall appNi lisaa sasa nahangaika na hii link kila nikipakua lina inapakua kwa speed ikifika 50mb inaanza kwenda polepole kisha nakata naanza upya. Napoteza mda na mb
Hii link ipo sehemu mbili ya kudownload jalibu sehemu ya pili alafu nipe mrejesho angalia picha niliyotuma izo sehemuNi lisaa sasa nahangaika na hii link kila nikipakua lina inapakua kwa speed ikifika 50mb inaanza kwenda polepole kisha nakata naanza upya. Napoteza mda na mb
Hapo sasa ni obb hamna kwenye simu yakoNisha pakua ila mbona tena narudishwa playstore? View attachment 1502125
Mkuu hujanijibu bado ni wapi kuna uhondo kati ya hili la 21 au hilo lako hapoHapo sasa ni obb hamna kwenye simu yako
Kwahiyo nilifute hili niweke hilo?Fantastic jalibu nipe mrejesho
....Mkuu weka link ya dls 21.kwa mtazamo wako lipi konki kati ya hili na dls 19?.mi nimekuta hilo nikalidownload, sasa sijui hilo lako na hili lipi boraView attachment 1501860
21 ni fake ni graphics tu izo watu wameandika namba 21 na nalotumia mimi naliona lina uhondo sanaMkuu hujanijibu bado ni wapi kuna uhondo kati ya hili la 21 au hilo lako hapo
Hapo obb unaweza kudownload kupitia playstore kama app inavyokuelekeza kurahisisha ni kama mb 294 tu alafu litacheza ukifanikiwa nambie nikuelekeze namna ya kufanya waonekane HDNisha pakua ila mbona tena narudishwa playstore? View attachment 1502125
Nimeligugo tu mkuu ila lipo fresh na ni easy kuliinstall,Hahaaaa hilo lako umelitoa wapi?
Kuna Obb file hapohapo fanya uipakue hiyo pia kisha extract then install gameMkuu mm nisha lipakua la huyo mdau tatizo linakuja kwenye obb, eti simu yangu haina obb sijui nifanye vp