Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujuzi mpya huo,Mkuu unaongezea ujuzi au unauliza maana kama nimepitwa!
Wakati naanza kucheza niligundua ukishalifungua game kwa data unazima data unacheza then match ikiisha kama matokeo umeridhika nayo unawasha data then unaruhusu ikusanye matokeo uendelee na match nyingineMkuu unaongezea ujuzi au unauliza maana kama nimepitwa!
Kwa unavyoona hii dls 19 na dls20 ipi ipo vizuri?Link nimeweka.
Dls 19 lina mazuri yake hasa upigaji wa faul na mashuti sema ni jepesi kushinda match labda onlineKwa unavyoona hii dls 19 na dls20 ipi ipo vizuri?
tofauti kiuchezaji upo dls 2020 la playstore ni zito linamapungufu mengi graphics zake sio mzuri,Substution unapangiwa yani ovyo kwakuwa sija download kupitia playstore kwangu naona ni bora napata graphics Hd Mchezaji namuona kama Tv vile,Kwa unavyoona hii dls 19 na dls20 ipi ipo vizuri?
Na ukitaka kufaidi game online zile ni mechi ngumu man to man.Dls 19 lina mazuri yake hasa upigaji wa faul na mashuti sema ni jepesi kushinda match labda online
Mkuu, mbona unaleta uhondo nusunusu,tupe uelekeo tulishushe hilo la 20 ambalo si la playstore...tofauti kiuchezaji upo dls 2020 la playstore ni zito linamapungufu mengi graphics zake sio mzuri,Substution unapangiwa yani ovyo kwakuwa sija download kupitia playstore kwangu naona ni bora napata graphics Hd Mchezaji namuona kama Tv vile,
lile la playstore 2020 ni takaka si la kuangaika nalo.
Mkuu inaelekea unapoishi kuna takataka nyingi sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ulitaka kusema takataka ama, na ulipakua wap tofauti na playstore.??
Mi nnalo hadi uvivu kulichezaMi mwenyewe nataka link maana nilijaribu kupakua playstore likazingua mb zangu zaidi ya 300 zikapotea bure
Halina radha nilipakua playstore,bora nicheze online dls19Ulipakua kupitia wap na Uvivu kivp? Mi nilikuwa nalo la 2019 nimelifuta juzi tu baada ya kuona hakuna Challenge yoyote ile watu nawafunga mpka 20
Mimi nahangaika nalo ntaleta mrejesho nimegugo tuHuyu jamaa alie leta huu uzi sijui alipakua wap
Linki hii maweka mara ya piliMimi nahangaika nalo ntaleta mrejesho nimegugo tu
DLS 19 v6.13 Mod All Player 204cm ViP » Sakib.ProMi mwenyewe nataka link maana nilijaribu kupakua playstore likazingua mb zangu zaidi ya 300 zikapotea bure
Mkuu nilivyoona unachelewa nikachukua lile la 21 sijui wewe uliwahi kulijaribu?
Ha ha ha ha ha vyura naoNimeingia online [emoji23] nikakutana na UTOPOLO nikasema Allhamdulillah[emoji1317] ngoja niwape salaamView attachment 1501655